Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,189
Licha ya UCHAKACHUAJI mkubwa unaosadikiwa kutendeka kwenye Uchaguzi wetu Mkuu mwaka huu hajachangia tu
Uchakachuaji utakua umepunguza sana idadi ya WATETEZI WA MASLAHI YETU SISI WANYONGE. Lakini uzoefu unaonyesha kwamba wabunge WATETEZI WA WANYONGE wasionunulika na mtu wala kulazimishwa kufwata mkondo fulani wa FIKRA bila kujiamulia mwenyewe mara nyingi hutumia gharama ndogo sana kwenye Uchaguzi. Wale wenye kutetea MASLAHI NYINGINEZO hujitahidi kumalizana na sisi pale kwa pale na tusimjue tena hadi miaka 5 ipite.
Mbali na watu WAPAMBANAJI WAZOEFU kwa upande wa CCM kama (1) Ole Sendeka, (2) Mama Malecela, (3) Sitta, na (4) Mwakyembe, kati ya wengi ambao sijawataja hapa, WAPAMBANAJI bado wapo??
Je, kwa mazingira ya aina hiyo unafikiri leo hii huenda tukawa na WAPAMBANAJI WANGAPI wa kutegemewa kutetea maslahi yetu na kuendelea kutumainiwa siku zote kunapojitokeza kuamulia JAMBO LOLOTE AMBALO LIKO KARIBU SANA NA MIOYO YETU kule bungeni Dodoma???
Uchakachuaji utakua umepunguza sana idadi ya WATETEZI WA MASLAHI YETU SISI WANYONGE. Lakini uzoefu unaonyesha kwamba wabunge WATETEZI WA WANYONGE wasionunulika na mtu wala kulazimishwa kufwata mkondo fulani wa FIKRA bila kujiamulia mwenyewe mara nyingi hutumia gharama ndogo sana kwenye Uchaguzi. Wale wenye kutetea MASLAHI NYINGINEZO hujitahidi kumalizana na sisi pale kwa pale na tusimjue tena hadi miaka 5 ipite.
Mbali na watu WAPAMBANAJI WAZOEFU kwa upande wa CCM kama (1) Ole Sendeka, (2) Mama Malecela, (3) Sitta, na (4) Mwakyembe, kati ya wengi ambao sijawataja hapa, WAPAMBANAJI bado wapo??
Je, kwa mazingira ya aina hiyo unafikiri leo hii huenda tukawa na WAPAMBANAJI WANGAPI wa kutegemewa kutetea maslahi yetu na kuendelea kutumainiwa siku zote kunapojitokeza kuamulia JAMBO LOLOTE AMBALO LIKO KARIBU SANA NA MIOYO YETU kule bungeni Dodoma???