Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,470
- 5,477
Katika ulimwengu wa sheria na mamlaka huwa kuna haki vs wajibu
Kila haki ina wajibu. Vivyo hivyo, uhuru wowote una mipaka.
Leo ntaka nilete mjadala juu ya uhuru wa habari na iwapo kama taifa tunahitaji media yetu kuwa censored. Mimi sio guru wa maswala ya media ila naamini kwamba Uhuru lazima uwe na mipaka.
Swali la kujiuliza ni nani mwenye mamlaka ya kuweka mipaka hiyo? Ni nani anaamua kwamba sasa hapa habari hii isiende hewani na anatumia vigezo gani? Nani anaamua kwamba h/abari hii uliyotoa sio sawa na kutoa adhabu kwa vyombo vya habari?
Je, media censoeship iwe tu katika maswala ya kisiasa? Je, kunaweza kuwa na open media censorship?Je ni media gani ziwe censored na zipi zisiwe censored?
Je, haki ya individuals kupashana habari je inalindwaje?Je, haki ya faragha inalindwaje?
Naleta mjadala huu kwa sababu naamni kabisa kwamba uhuru wa vyombo vya habari ni muhimu sana kama mhimili wa tano.Mhimili wa nne ukiwa ni nguvu ya umma.
Tujadili hapa ni kwa kiwango gani watanzania wanataka uhuru wa habari na kwa malengo gani? Kuleta chokochoko? Kusambaza umbea, kufanya uchochezi?
Tujadili hapa tukizingatia desturi zetu na hali ya nchi yetu na uwezo wa media zetu.
Kila haki ina wajibu. Vivyo hivyo, uhuru wowote una mipaka.
Leo ntaka nilete mjadala juu ya uhuru wa habari na iwapo kama taifa tunahitaji media yetu kuwa censored. Mimi sio guru wa maswala ya media ila naamini kwamba Uhuru lazima uwe na mipaka.
Swali la kujiuliza ni nani mwenye mamlaka ya kuweka mipaka hiyo? Ni nani anaamua kwamba sasa hapa habari hii isiende hewani na anatumia vigezo gani? Nani anaamua kwamba h/abari hii uliyotoa sio sawa na kutoa adhabu kwa vyombo vya habari?
Je, media censoeship iwe tu katika maswala ya kisiasa? Je, kunaweza kuwa na open media censorship?Je ni media gani ziwe censored na zipi zisiwe censored?
Je, haki ya individuals kupashana habari je inalindwaje?Je, haki ya faragha inalindwaje?
Naleta mjadala huu kwa sababu naamni kabisa kwamba uhuru wa vyombo vya habari ni muhimu sana kama mhimili wa tano.Mhimili wa nne ukiwa ni nguvu ya umma.
Tujadili hapa ni kwa kiwango gani watanzania wanataka uhuru wa habari na kwa malengo gani? Kuleta chokochoko? Kusambaza umbea, kufanya uchochezi?
Tujadili hapa tukizingatia desturi zetu na hali ya nchi yetu na uwezo wa media zetu.