Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,457
- 1,409
Watanzania tunataka maendeleo hatuna shida na kitu kinachoitwa demokrasia watanzania tunataka elimu bure,watanzania tunataka kuhudumiwa vizuri tunapokwenda mahospitalini,ofisi za serikali,watanzania tunataka treni mwendokasi,watanzania tunataka barabara nzuri hatutaki uhuru unaoruhusu wanaume kwa wanaume kuoana,hatutaki demokrasia ya kutukana viongozi,hatutaki demokrasia ya kukejeli juhudi za maendeleo hivyo tunashauri vyama vya upinzani waje na hoja ya jinsi gani watatuletea maendeleo na kudumisha mila na utamaduni wetu ambao ndio prestige yatu sio hoja dhaifu ya demokrasia kwani demokrasia ni upuuzi kama hakuna maendeleo.