Ameshindwa yeye na familia yake Mimi walaa simo maana hajawahi nisaidia hata 100 yake ya kula!!!sihusiki naye kwa lolote yeye ni mtanzania mwenzangu tu riziki yake hainihusu
It is a wake-up call, msanii ni kioo cha jamii. Kama jamii haikubaliani na jambo fulani, msanii hawezi kuwa mkubwa kuliko jamii. Ajipange upya jamii itamfurahisha zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.