Je, Watanzania 'tulioshadadia' Mitandaoni 'Kumfitinisha' Msanii Diamond Platinumz na Tuzo za BET ambayo ameikosa tuliifikiria Tanzania zaidi?

Ameshindwa yeye na familia yake Mimi walaa simo maana hajawahi nisaidia hata 100 yake ya kula!!!sihusiki naye kwa lolote yeye ni mtanzania mwenzangu tu riziki yake hainihusu
 
It is a wake-up call, msanii ni kioo cha jamii. Kama jamii haikubaliani na jambo fulani, msanii hawezi kuwa mkubwa kuliko jamii. Ajipange upya jamii itamfurahisha zaidi
 
Back
Top Bottom