game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 10,386
- 23,275
What a poor research,Sio Watanzania wote huwa wametelekeza asili yao, hususan Watanzania wanaoishi kwenye mipaka na nchi jirani. Ukiangalia kwa mfano huyo Saida Kaloli ametokea kwa Wahaya, nyimbo zake huwa zinapendwa sana Uganda maana Wahaya wapo mpakani na nchi hiyo.
Ukienda hata kule Kigoma wanapenda sana kucheza nyimbo zao za asili maana wamepakana na Warundi. Pia ukienda kwa Wanyakyusa kule Mbeya unakuta wamekaribiana na Zambia, Kwa kifupi ukiangalia Watanzania ambao bado wanapenda lugha zao za asili utakuta kwa njia moja au nyingine wanatengamana na makabila ya kutokea nchi jirani.
Lakini ukiingia ingia ndani wengi hata hawajui salamu kwa lugha za asili, kazi kuvaa milegezo hapo Dar na kupaka 'poda'.
Mimi natokea Iringa, Naona jinsi huijui Tanzania.
Umekuwa ni wa Kawaida sana kaka.