Je Watanzania Huwa Na Nyimbo Za Kikabila Zinazosifika?

Nyimbo wanazo sijabisha hilo, maana kila kabila dunia hii lina nyimbo zake za asili kama ilivyo kwamba wana lugha zao za asili, lakini ninachosema ni kwamba walishazitelekeza. Kupata nyimbo za asili sio issue, mbona kazi ya dakika chache tu, lakini cha msingi ni kwamba unakuta watu wa pale wengi hata hawana shughuli nazo na hawaziimbi wala kuongea lugha zao.

Hapa naweza nikakupa nyimbo za kizaramo, lakini kuwakuta wazaramo kitaa wakiziimba au wakiongea ongea lugha yao ya asili ni vigumu, wengi hawajui hata salamu na ndio taswira maeneo mengi Tanzania, watu wanaishi kama watumwa, hawajui asili yao na hawafundishi watoto wao mila na desturi zao. Mtoto anakua kama wale Wamarekani weusi wasiokua na asili wala kujua walitokea wapi. Wao hujua kwao ni Afrika, lakini hawajui chochote zaidi ya hapo na hutukanwa sana.
Ahaaaa! Naona point ya kwanza umeihama baada ya kuona haina uhalisia!

Kwanza fahamu kuwa ili lugha ya asili iongelewe vizuri ni lazima watu kadhaa wa lugha hiyo wakutane, au basi iwe nyumbani!

Miji mingi ya Tanzania ia mchanganyiko wa makabila, hakuna mji uko na kabila moja, mawili au matatu pekee. Sasa weww kama unapita tu mtaa huo utawaskia wapi wanaongea kilugha wakati wapo watu wa makabila mengi? Lakini hii haiondoi uhalisia kuwa hawajui maana hizo lugha ndo zimewakuza!

Twende na hili la kutokujua lugha za asili au kuziongea! Umetumia mfano wa wazalamo! Nami nikujibu kwa mfano huo huo!

Kwanza nikufahamishe kuwa moja ya watu ambao eneo lao la asili limeingiliwa na watu wengi kutokana na ukuaji wa mji ni wazaramo! Dar imekuwa kubwa kiasi kwamba makabila yote 126+ ya tanzania yanapatikana dar, ambako ndiko kwa wazaramo! sasa kwa mchanganyiko huo wa makabila yote hayo, unategemea wazaramo ambalo pia kwa asili ni kabila dogo, wakutane saa ngapi hapo dar ili uwaskie wanaongea kizaramo? Ndio maana kikawepo kiswahili kurahisisha mambo!

Lakini pia hao hao wazaramo ambao tunawatumia kama mfano wakirudi kwenye miji yao basi huongea! Pia, kwa wale wazaramo wanaoishi pembezoni kidogo hasa mkoani pwani ambako wanaishi kama jamii moja wanaongea sana na ndo lugha yao ya kwanza!

Makabila mengine yanaongea sana lugha hizi na ndio lugha zao za kwanza, kiswahili cha pili na kiingereza cha tatu!

Sisi sio kama huko kwenu, hapo nairobi unakuta wakikuyu wamejaa kila sehemu, kuna mitaa imejaa wakikuyu tupu hata mjaluo hagusi, na mitaa wamejaa wajaluo tupu,
 
Ahaaaa! Naona point ya kwanza umeihama baada ya kuona haina uhalisia!

Kwanza fahamu kuwa ili lugha ya asili iongelewe vizuri ni lazima watu kadhaa wa lugha hiyo wakutane, au basi iwe nyumbani!

Miji mingi ya Tanzania ia mchanganyiko wa makabila, hakuna mji uko na kabila moja, mawili au matatu pekee. Sasa weww kama unapita tu mtaa huo utawaskia wapi wanaongea kilugha wakati wapo watu wa makabila mengi? Lakini hii haiondoi uhalisia kuwa hawajui maana hizo lugha ndo zimewakuza!

Twende na hili la kutokujua lugha za asili au kuziongea! Umetumia mfano wa wazalamo! Nami nikujibu kwa mfano huo huo!

Kwanza nikufahamishe kuwa moja ya watu ambao eneo lao la asili limeingiliwa na watu wengi kutokana na ukuaji wa mji ni wazaramo! Dar imekuwa kubwa kiasi kwamba makabila yote 126+ ya tanzania yanapatikana dar, ambako ndiko kwa wazaramo! sasa kwa mchanganyiko huo wa makabila yote hayo, unategemea wazaramo ambalo pia kwa asili ni kabila dogo, wakutane saa ngapi hapo dar ili uwaskie wanaongea kizaramo? Ndio maana kikawepo kiswahili kurahisisha mambo!

Lakini pia hao hao wazaramo ambao tunawatumia kama mfano wakirudi kwenye miji yao basi huongea! Pia, kwa wale wazaramo wanaoishi pembezoni kidogo hasa mkoani pwani ambako wanaishi kama jamii moja wanaongea sana na ndo lugha yao ya kwanza!

Makabila mengine yanaongea sana lugha hizi na ndio lugha zao za kwanza, kiswahili cha pili na kiingereza cha tatu!

Sisi sio kama huko kwenu, hapo nairobi unakuta wakikuyu wamejaa kila sehemu, kuna mitaa imejaa wakikuyu tupu hata mjaluo hagusi, na mitaa wamejaa wajaluo tupu,
Unajua Wakenya ni wajinga sana..ni kawivu kanawasumbua kuona life style yetu kwa hiyo wanatafuta defaults ku-discredit kisa hawaskii lugha zetu nyingine za kikabila wasijue ni kustaarabika. Mie nikikutana na Mkenya hata Kiswahili siongei nae maana wanani-bore wanavyoboronga naongea nae Kiingereza ili anielewe vizuri.
 
Ahaaaa! Naona point ya kwanza umeihama baada ya kuona haina uhalisia!

Kwanza fahamu kuwa ili lugha ya asili iongelewe vizuri ni lazima watu kadhaa wa lugha hiyo wakutane, au basi iwe nyumbani!

Miji mingi ya Tanzania ia mchanganyiko wa makabila, hakuna mji uko na kabila moja, mawili au matatu pekee. Sasa weww kama unapita tu mtaa huo utawaskia wapi wanaongea kilugha wakati wapo watu wa makabila mengi? Lakini hii haiondoi uhalisia kuwa hawajui maana hizo lugha ndo zimewakuza!

Twende na hili la kutokujua lugha za asili au kuziongea! Umetumia mfano wa wazalamo! Nami nikujibu kwa mfano huo huo!

Kwanza nikufahamishe kuwa moja ya watu ambao eneo lao la asili limeingiliwa na watu wengi kutokana na ukuaji wa mji ni wazaramo! Dar imekuwa kubwa kiasi kwamba makabila yote 126+ ya tanzania yanapatikana dar, ambako ndiko kwa wazaramo! sasa kwa mchanganyiko huo wa makabila yote hayo, unategemea wazaramo ambalo pia kwa asili ni kabila dogo, wakutane saa ngapi hapo dar ili uwaskie wanaongea kizaramo? Ndio maana kikawepo kiswahili kurahisisha mambo!

Lakini pia hao hao wazaramo ambao tunawatumia kama mfano wakirudi kwenye miji yao basi huongea! Pia, kwa wale wazaramo wanaoishi pembezoni kidogo hasa mkoani pwani ambako wanaishi kama jamii moja wanaongea sana na ndo lugha yao ya kwanza!

Makabila mengine yanaongea sana lugha hizi na ndio lugha zao za kwanza, kiswahili cha pili na kiingereza cha tatu!

Sisi sio kama huko kwenu, hapo nairobi unakuta wakikuyu wamejaa kila sehemu, kuna mitaa imejaa wakikuyu tupu hata mjaluo hagusi, na mitaa wamejaa wajaluo tupu,

Kwanza kabisa hamna point nilioihama, nimekwambia dunia yote hii kila kabila lina asili yake na lugha yao. Hilo lipo, hivyo kwako wewe kukusanya nyimbo za makabila tofauti sio kiashiria tosha kwamba mumedumisha asili yenu. Ukweli ni kwamba wengi mumemezwa, hamna asili ya kwenu, lugha zenu za sili mnazichukia na kuona wanaoziongea kuwa washamba.
Halafu huwa mnaona wanao ongea Kingereza kuwa watumwa, hivyo mnaishia kuwa na lugha moja tu, na pia yenyewe hamjaimudu vizuri, maisha ya utumwa hayo.

Halafu hilo la kusema kwamba makabila yameingiliana Tanzania, sio kila mahali, kunao maeneo unakuta mkusanyiko wa kabila moja eneo moja lakini lugha ya asili hawaitumii. Hao Wazaramo naweza nikakubaliana na wewe maana hata Dar yenyewe ilikua yao na wakaipoteza na kusukumwa nje, lakini pia ni vigumu sana kuwakuta wakiongea lugha yao wenyewe kwa wenyewe.
Hili janga la nyie kutelekeza asili zenu limeangaziwa, hebu pitia hii mada nimeanzisha huku Kiswahili kimeua lugha za asili za Watanzania kimya kimya
 
Kwanza kabisa hamna point nilioihama, nimekwambia dunia yote hii kila kabila lina asili yake na lugha yao. Hilo lipo, hivyo kwako wewe kukusanya nyimbo za makabila tofauti sio kiashiria tosha kwamba mumedumisha asili yenu. Ukweli ni kwamba wengi mumemezwa, hamna asili ya kwenu, lugha zenu za sili mnazichukia na kuona wanaoziongea kuwa washamba.
Halafu huwa mnaona wanao ongea Kingereza kuwa watumwa, hivyo mnaishia kuwa na lugha moja tu, na pia yenyewe hamjaimudu vizuri, maisha ya utumwa hayo.

Halafu hilo la kusema kwamba makabila yameingiliana Tanzania, sio kila mahali, kunao maeneo unakuta mkusanyiko wa kabila moja eneo moja lakini lugha ya asili hawaitumii. Hao Wazaramo naweza nikakubaliana na wewe maana hata Dar yenyewe ilikua yao na wakaipoteza na kusukumwa nje, lakini pia ni vigumu sana kuwakuta wakiongea lugha yao wenyewe kwa wenyewe.
Hili janga la nyie kutelekeza asili zenu limeangaziwa, hebu pitia hii mada nimeanzisha huku Kiswahili kimeua lugha za asili za Watanzania kimya kimya
Hawawezi kutumia mbele yako wewe sisi si Wakabila tumestaaribika. Ni aibu kuongea lugha asiyojua Mgeni mbele yake.
 
INAFRIKA BAND IN ACTION II (Michuzi blog) SONG: INDEGE


Source: Muhidin Michuzi
 
Kwanza kabisa hamna point nilioihama, nimekwambia dunia yote hii kila kabila lina asili yake na lugha yao. Hilo lipo, hivyo kwako wewe kukusanya nyimbo za makabila tofauti sio kiashiria tosha kwamba mumedumisha asili yenu. Ukweli ni kwamba wengi mumemezwa, hamna asili ya kwenu, lugha zenu za sili mnazichukia na kuona wanaoziongea kuwa washamba.
Halafu huwa mnaona wanao ongea Kingereza kuwa watumwa, hivyo mnaishia kuwa na lugha moja tu, na pia yenyewe hamjaimudu vizuri, maisha ya utumwa hayo.

Halafu hilo la kusema kwamba makabila yameingiliana Tanzania, sio kila mahali, kunao maeneo unakuta mkusanyiko wa kabila moja eneo moja lakini lugha ya asili hawaitumii. Hao Wazaramo naweza nikakubaliana na wewe maana hata Dar yenyewe ilikua yao na wakaipoteza na kusukumwa nje, lakini pia ni vigumu sana kuwakuta wakiongea lugha yao wenyewe kwa wenyewe.
Hili janga la nyie kutelekeza asili zenu limeangaziwa, hebu pitia hii mada nimeanzisha huku Kiswahili kimeua lugha za asili za Watanzania kimya kimya

Ahh...asante kwa uzi huo. Mimi mwenyewe nilikuwa na shida hiyo. Ingawa nililelewa uluhyani, niliishi mjini kati ya 5 - 11 years na hata nikawa sijui lugha yangu vile. Baadaye nikaenda boarding na kisha high school na ni baada tu ya high school ndipo niliweza kuanza kujifunza lugha yangu vyema.
 
Ahh...asante kwa uzi huo. Mimi mwenyewe nilikuwa na shida hiyo. Ingawa nililelewa uluhyani, niliishi mjini kati ya 5 - 11 years na hata nikawa sijui lugha yangu vile. Baadaye nikaenda boarding na kisha high school na ni baada tu ya high school ndipo niliweza kuanza kujifunza lugha yangu vyema.

Duh hongera maana kuanza kuitumia lugha yako ya asili katika ukubwani lazima ilikua changamoto.

Pia mimi nililelewa mjini sema wazazi wangu walisisitiza umuhimu wa lugha yetu ya asili. Kila siku waliongea na mimi kwa kilugha, lakini nje nikiwa na marafiki mwendo ulikua sheng na kingereza ila nikiongea na watu wazima nilikua natumia kiswahili au kingereza.
 
Unajua Wakenya ni wajinga sana..ni kawivu kanawasumbua kuona life style yetu kwa hiyo wanatafuta defaults ku-discredit kisa hawaskii lugha zetu nyingine za kikabila wasijue ni kustaarabika. Mie nikikutana na Mkenya hata Kiswahili siongei nae maana wanani-bore wanavyoboronga naongea nae Kiingereza ili anielewe vizuri.
Umenikumbusha kuna workshop tulikuwa mwanza na wakenya na mmoja wao alikuwa miongoni mwa watoa mada! Aisee ilibidi tukubaliane tutumie kiingereza ili wote tuelewane maana kiswahili kile kilikuwa kasheshe
 
Nimekupa hiyo link ili upitie mijadala ya huko upate elimu maana sio kuniuliza kujua maana ya mother tongue! Hilo swali anapaswa kuulizwa mwanangu
Naona unaleta majigambo ya kama yule jamaa aliyedai anafahamu kila kitu akaulizwa swali akasema hilo hata dereva wake analifahamu akamuita alijibu kumbe yeye mweupe kichwani.
 
Kwanza kabisa hamna point nilioihama, nimekwambia dunia yote hii kila kabila lina asili yake na lugha yao. Hilo lipo, hivyo kwako wewe kukusanya nyimbo za makabila tofauti sio kiashiria tosha kwamba mumedumisha asili yenu. Ukweli ni kwamba wengi mumemezwa, hamna asili ya kwenu, lugha zenu za sili mnazichukia na kuona wanaoziongea kuwa washamba.
Halafu huwa mnaona wanao ongea Kingereza kuwa watumwa, hivyo mnaishia kuwa na lugha moja tu, na pia yenyewe hamjaimudu vizuri, maisha ya utumwa hayo.

Halafu hilo la kusema kwamba makabila yameingiliana Tanzania, sio kila mahali, kunao maeneo unakuta mkusanyiko wa kabila moja eneo moja lakini lugha ya asili hawaitumii. Hao Wazaramo naweza nikakubaliana na wewe maana hata Dar yenyewe ilikua yao na wakaipoteza na kusukumwa nje, lakini pia ni vigumu sana kuwakuta wakiongea lugha yao wenyewe kwa wenyewe.
Hili janga la nyie kutelekeza asili zenu limeangaziwa, hebu pitia hii mada nimeanzisha huku Kiswahili kimeua lugha za asili za Watanzania kimya kimya

Sikusema umehama mada, nilisema umeacha point ya awali ya mikoa ya katikati mwa Tanzania kutokuwa na nyimbo za asili, ndo nikawa nasubiri utaje hiyo mikoa ili nikuonyeshe utamaduni wao maana kwa hali kusafiri tu kawaida sio rahisi kujua mambo ya ndani kama haya!

Kuhusu suala la kuksanya nyimbo za makabila tofauti kutoonyesha kuwa nadumisha asili yangu kama unavyodai!

Labda nikueleze hivi, ukiongelea asili unagusa nyanja nyingi! Kuna asili ya kabila, nchi na pia rangi/races. Sasa ukiongea kuwa tumemezwa hatuna asili, unamaanisha asili ipi?

Asili ya kabila utakuta kila kabila lina utamaduni wao unaowatambulisha na kuwatofautisha na kabila jingine japo baadhi ya mambo yanaweza kufanana kati ya kabila moja na jingine! Hapa ndo utakuta lugha, mavazi, chakula, nyimbo, imani nk!

Asili ya nchi mara nyingi huwa na mambo machache kama lugha,(ambapo Tanzania kama taifa asili ya lugha yetu ni kiswahili), mavazi nk!

Asili ya rangi inaeleweka sina haja ya kueleza sana! Sasa wewe unapong'aka kuwa wengi wetu wamemezwa sijui unataka uambiweje uelewe? Kuhusu watu wanaoishi mjini nimeshafafanua sana kwa nini kiswahili kinachukua nafasi kubwa, sina haja ya kurudia! Lakini bado wazazi wanaporudi kwenye majumbani hujitahidi kuwafundisha watoto lugha za asili!

Kwa wale wazazi ambao wameoana wakiwa ni kutoka kabila mbili tofauti ambazo hazielewani, watoto wao hujikuta wanatakiwa kuelewa lugha zote mbili, ya baba na mama ili wakienda kusalim wazee kijijini isiwe shida kuwasiliana! Mfano kama baba Mpare na mama mhehe basi baba atajitahidi watoto waelewe kipare huku mama akijitahidi waelewe kihehe! Kiswahili hicho ni automatic! Kama wazazi wote ni kabila moja kazi huwa ndogo zaidi! Hivyo ndivyo tz ilivyo!

Kwa mantiki hiyo hiyo hoja uliyopandikizwa kichwani kuwa lugha za asili zinachukiwa ni uongo mliouanzisha hapo Kenya ili muendelee kujionuesha kuwa mko juu baada ya kuona speed yetu inawatia tumbo joto! Hivi bila hata aibu unaweza kusema mbele za watu kuwa tunachukia lugha zetu? Mambo mengine uwe unafikiria kwanza kabla hujasema!

Pia umesema eti kuna miji mingine unakuta wapo watu wengi wa kabila moja lakini hawaongei kilugha! Labda nikuulize kuwa ni mji gani huo? Utaje, maana mpaka ukasema umeshauona, hebu useme tukupe majibu hapa!

Suala la kuwa tunaona wanaoongea kiingereza kuwa ni watumwa!

Sio kweli kuwa huwa tunasema kuwa wanaoongea kiingereza ni watumwa, La hasha! Maana hata sisi tunakiongea!

Ambacho huwa tunasema ni kuwa wanaoona kuwa kiingereza ndo kila kitu kuliko lugha zote, na kujivunia kiingereza hicho huku sio asili yao hao ndo watumwa! Na hili linawahusu ninyi wakenya, huwa mnajisifia sana lugha hiyo na kuipa kipaumbele kuliko vitu vyote, huo ndo utumwa tunaousema! Na kwa hili hamtaukwepa utumwa hadi hapo akili zenu zitakapobadilika na kuona kiingereza na kijaluo ni lugha sawa, tofauti ni matumizi tu!

Ziko nchi nyingi sana Africa ambazo zinaongea kiingereza lakini hawajivuni kama ninyi hapo Kenya! Angalia SA, wao wanajivunia Kizulu au Hoxha kuliko kiingereza, lakini wanaongea kiingereza ili kuwaunganisha! Uganda wanaongea kiingereza bora kabisa hapa Africa kuliko nchi yoyote, lakini hawajivuni kama ninyi! Wao wanajivunia kiganda zaidi na lugha nyingine! Kiingereza huwaunganisha tu! Angalia hata Nigeria, Igbo, Hausa na Yoruba zinathaminiwa kuliko kiingereza, na hawajivunii kiingereza kama ninyi mfanyavyo hapo utumwani Kenya!


Huo uzi ngoja nikufuate huko maana unataka kufanya mawazo ya mtu mmoja yawe mawazo ya taifa lenye watu 50+m
 
Naona unaleta majigambo ya kama yule jamaa aliyedai anafahamu kila kitu akaulizwa swali akasema hilo hata dereva wake analifahamu akamuita alijibu kumbe yeye mweupe kichwani.
Huyo alisema anajua kila kitu! Literally, hakuna mtu yeyote hapa chini ya Jua anayejua kila kitu! Mimi nimesema kuhusu kujua maana ya mother tongue!


Tofautisha vizuri kauli yangu na ya huyo bwana
 
Ethno Croatia 2011 - Tanzanian song - Hoye Hoye U tamaduni

Kauzeni Lyamba from Tanzania playing the nose flute, and all the other Ethno Croatia 2011 participants.

We started to have pouring rain by the end of our concert in Grožnjan, Croatia, on the 19th of July 2011. The last song of the concert was performed in a small hall near the stage.

It was lit!
 
MK254

Nikukumbushe tena wakenya ndo mnaongoza kuacha mila zenu, sio lugha tu hadi mavazi! Hebu jikumbushe wenzio waliokuwa wanaandamana kudai mavazi ya kimagharibi halafu useme hapa nani kaacha asili kati yetu na nyie!!


Eti my dress, my choice

 
Nimesema Watanzania waliopakana na mataifa majirani bado hawajawa watumwa, wamefaulu kudumisha asili zao, Wahaya, Wanyakyusa, Wasukuma, Wamaasai n.k. Lakini wengine wote walishamezwa, wengi hata hawajui salamu kwa lugha zao.
Kwa hiyo kujua kiswahili kuliko kikabila tumekuwa watumwa, ha haa, Jamaa baada ya kukubaliana na utumwa wenu mmetafuta pa kutuita watumwa ili mfanane, ukaona uje na kiswahili, mkuu unapaswa ujue kiswahili kina asilimia kubwa ya misamiati ya lugha za kikabila za hili eneo la Tanganyika na Zanzibar. Kiarabu kireno na kiingereza vina mchango sumni sana. Najua umeshangaa neno sumni, sumni na kidogo vyote vina maana moja tu, kuna ya kibantu na arabu hapo. So it was agreed that all these tribes in order to unite, tuunge nguvu kwenye kiswahili ambacho kilikuwa kimesambaa zaidi. Hakuna utumwa hapo mkuu, sababu hata kikikuyu kina lugha ambazo zilikuwepo kabla ya current Kikuyu language, likewise kuna ancient Chinese and current one. So muingiliano wa watu huwezi kuucontrol buda, na muingiliano wa watu hukuza na kudiversify lugha, hence lugha hazitabaki the same, ww mwenyewe umejifunza zaidi kiswahili humu jamvini, na sasa unabonga zaidi na wanao kiswahili, na wanao wanajikuta wana baba mzungumzaji mzuri wa Swahili na wao wamezungukwa na jamii inabonga Swahili muda mwingi wakiwa home, skuli ndio kiingereza kwa sana, likizo kwa bibi na babu Kikuyu, ww kwa akili yako mwanao atakuwa bora kwenye lugha gani? Muda mwingi atatumia wapi na akiwa na watu wanasema lugha gani. Let's be analytical and burry this topic for good.

Sasa hapo kama una akili sawasawa utaona muda mwingi atakuwa around Swahili language, hence Swahili growth ma niga, ww unadhani ni kwann Swahili ni second most spoken language in Africa, ni tokana na social political factors which you as an individual ma Frnd can't stop it. Ndio maana unaona serikali ya Tz inataka kuiweka kwenye mtaala wa elimu, sababu no way out English speakers will surpass Swahili ones.
Kwa iyo hata Swahili kuingizwa kwenye mtaala wenyu wa elimu, hauepukiki, eti mnajaribu kupunguza kuenea kwa kuleta sheng, itabaki kuwa kama lugha ya kikabila cha watu wa Nairobee ambacho kitamezwa na Swahili.
Sababu inaongelewa Congo mshariki, Burundi, Rwanda, Ug, SA wameomba walimu, Zambia kaskazini, Msumbiji kaskazini, visiwa vyote bahari ya Hindi, Bongo enyewe kubwa kushinda Naija, imagine tukija kuwa MTU nyomi kama Naija, wote waswahili.

Swahili will become the first most spoken language, nations are making decisions, Zimbabwe, Ethiopia etc are cracking their minds on how to teach their people Swahili so that they are not left behind in the near future. Wewe baki hapo na utumwa wakati mtumwa anakuja kuwa mfalme like Joseph.
 
Tatizo upo egocentric na unaleta mentality yako ya Kenya Tanzania. A fact I find u stupid culture is not all on Kenyan perspective. U need to learn n respect other people way of living young man. Kenya is not the best example to be proud of as far as honoring culture.
Jamaa huwaga stupid sometimes
 
Unajua Wakenya ni wajinga sana..ni kawivu kanawasumbua kuona life style yetu kwa hiyo wanatafuta defaults ku-discredit kisa hawaskii lugha zetu nyingine za kikabila wasijue ni kustaarabika. Mie nikikutana na Mkenya hata Kiswahili siongei nae maana wanani-bore wanavyoboronga naongea nae Kiingereza ili anielewe vizuri.
Exactly
 
Kwa hiyo kujua kiswahili kuliko kikabila tumekuwa watumwa, ha haa, Jamaa baada ya kukubaliana na utumwa wenu mmetafuta pa kutuita watumwa ili mfanane, ukaona uje na kiswahili, mkuu unapaswa ujue kiswahili kina asilimia kubwa ya misamiati ya lugha za kikabila za hili eneo la Tanganyika na Zanzibar. Kiarabu kireno na kiingereza vina mchango sumni sana. Najua umeshangaa neno sumni, sumni na kidogo vyote vina maana moja tu, kuna ya kibantu na arabu hapo. So it was agreed that all these tribes in order to unite, tuunge nguvu kwenye kiswahili ambacho kilikuwa kimesambaa zaidi. Hakuna utumwa hapo mkuu, sababu hata kikikuyu kina lugha ambazo zilikuwepo kabla ya current Kikuyu language, likewise kuna ancient Chinese and current one. So muingiliano wa watu huwezi kuucontrol buda, na muingiliano wa watu hukuza na kudiversify lugha, hence lugha hazitabaki the same, ww mwenyewe umejifunza zaidi kiswahili humu jamvini, na sasa unabonga zaidi na wanao kiswahili, na wanao wanajikuta wana baba mzungumzaji mzuri wa Swahili na wao wamezungukwa na jamii inabonga Swahili muda mwingi wakiwa home, skuli ndio kiingereza kwa sana, likizo kwa bibi na babu Kikuyu, ww kwa akili yako mwanao atakuwa bora kwenye lugha gani? Muda mwingi atatumia wapi na akiwa na watu wanasema lugha gani. Let's be analytical and burry this topic for good.

Sasa hapo kama una akili sawasawa utaona muda mwingi atakuwa around Swahili language, hence Swahili growth ma niga, ww unadhani ni kwann Swahili ni second most spoken language in Africa, ni tokana na social political factors which you as an individual ma Frnd can't stop it. Ndio maana unaona serikali ya Tz inataka kuiweka kwenye mtaala wa elimu, sababu no way out English speakers will surpass Swahili ones.
Kwa iyo hata Swahili kuingizwa kwenye mtaala wenyu wa elimu, hauepukiki, eti mnajaribu kupunguza kuenea kwa kuleta sheng, itabaki kuwa kama lugha ya kikabila cha watu wa Nairobee ambacho kitamezwa na Swahili.
Sababu inaongelewa Congo mshariki, Burundi, Rwanda, Ug, SA wameomba walimu, Zambia kaskazini, Msumbiji kaskazini, visiwa vyote bahari ya Hindi, Bongo enyewe kubwa kushinda Naija, imagine tukija kuwa MTU nyomi kama Naija, wote waswahili.

Swahili will become the first most spoken language, nations are making decisions, Zimbabwe, Ethiopia etc are cracking their minds on how to teach their people Swahili so that they are not left behind in the near future. Wewe baki hapo na utumwa wakati mtumwa anakuja kuwa mfalme like Joseph.
Sio ujinga sisi kutoa maoni ya kwamba kwenye sera ya Tanzania kusisitiza uzungumzaji wa lugha ya kiswahili, na kwa wananchi wengi wa Tanzania kutelekeza malugha zao za kiasili na kuzungumza tu Kiswahili kunaathiri hizi lugha za kiasili kiasi cha kwamba hivi karibuni baadhi ya hizo lugha zitapotea. There is that danger, and it is real.

Kwa maoni ya watz wengi, wakenya ni watumwa wa kiakili kwa wao kupendelea kuzungumza kiingereza kuliko Kiswahili. Je, kwanini sio utumwa wa kiakili kwa mtanzania kuachana na lugha yake ya kiasili na kuzungumza tu Kiswahili? Ni kwasababu gani amue kuzungumza Kiswahili kama sio dhana yake ya kwamba lugha yake ya nyumbani ni inferior?

Hakuna mkenya anayekataa ya kwamba Kiswahili kisiendelezwe na kitukuzwe. Na jambo nzuri sana ya kwamba Zimbabwe na Ethiopia wana mipango ya kufanya lugha ya Kiswahili kama moja ya somo katika mashule. Kiswahili kweli ndio liwe lugha linalotuunganisha sote wana Africa mashariki na kati. However, that should not come at the expense of the other languages......get it? That is our point!

It isnt untrue that most Tanzanians do not.speak their local languages.
 
Sio ujinga sisi kutoa maoni ya kwamba kwenye sera ya Tanzania kusisitiza uzungumzaji wa lugha ya kiswahili, na kwa wananchi wengi wa Tanzania kutelekeza malugha zao za kiasili na kuzungumza tu Kiswahili kunaathiri hizi lugha za kiasili kiasi cha kwamba hivi karibuni baadhi ya hizo lugha zitapotea. There is that danger, and it is real.

Kwa maoni ya watz wengi, wakenya ni watumwa wa kiakili kwa wao kupendelea kuzungumza kiingereza kuliko Kiswahili. Je, kwanini sio utumwa wa kiakili kwa mtanzania kuachana na lugha yake ya kiasili na kuzungumza tu Kiswahili? Ni kwasababu gani amue kuzungumza Kiswahili kama sio dhana yake ya kwamba lugha yake ya nyumbani ni inferior?

Hakuna mkenya anayekataa ya kwamba Kiswahili kisiendelezwe na kitukuzwe. Na jambo nzuri sana ya kwamba Zimbabwe na Ethiopia wana mipango ya kufanya lugha ya Kiswahili kama moja ya somo katika mashule. Kiswahili kweli ndio liwe lugha linalotuunganisha sote wana Africa mashariki na kati. However, that should not come at the expense of the other languages......get it? That is our point!

It isnt untrue that most Tanzanians do not.speak their local languages.
Kiswahili ni asili yetu pia na mnachoshindwa kuelewa ni level ya ustaarabu wa Mtanzania! Sisi tangu utoto tunafundishwa kutoongea lugha zetu za kikabila mbele ya asiyeelewa. Kwetu sie hata kujua kabila la mtu shida huwezi kukutana na mtu ukaanza kumuuliza kabila. Naomba usenge wenu wa kutoheshimu tamaduni za wengine mpeleke kwenu.
 
Kiswahili ni asili yetu pia na mnachoshindwa kuelewa ni level ya ustaarabu wa Mtanzania! Sisi tangu utoto tunafundishwa kutoongea lugha zetu za kikabila mbele ya asiyeelewa. Kwetu sie hata kujua kabila la mtu shida huwezi kukutana na mtu ukaanza kumuuliza kabila. Naomba usenge wenu wa kutoheshimu tamaduni za wengine mpeleke kwenu.
Huku Kenya pia si jambo nzuri kuzungumza kikabila mkiwa na asiyeelewa hio lugha! Hapo sasa mtatangamana kivipi?

English and Kiswahili ni lugga mbili zinazotumiwa na wakenya kutoka tabaka mbali mbali kuungana.

Watanzania wengi wanazungumza Kiswahili kuliko makabila yao.
 
Back
Top Bottom