MLAU
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 4,726
- 3,354
Ni rahisi sana kusikia warembo na wanamitindo wa Marekani na Ulaya kujitokeza hadharani na kusema kama maboss wao waliwanyanyasa kingono walipokuwa katika harakati za maonyesho yao au tu katika mahoteli makubwa makubwa kikazi.
Je kwa watanzania wale warembo wetu na wanamitindo wetu wanaweza kabisa kujitokeza na kukiri kuwa kiongozi au boss fulani alininyanyasa kingono wakati wa harakati za za urembo au maonyesho fulani ya mavazi?
Je kwa watanzania wale warembo wetu na wanamitindo wetu wanaweza kabisa kujitokeza na kukiri kuwa kiongozi au boss fulani alininyanyasa kingono wakati wa harakati za za urembo au maonyesho fulani ya mavazi?