Elections 2010 Je wapiga kura wa Igunga wanaambiwa kwa nini uchaguzi wa mbunge unafanyaka sasa?

HISIA KALI

JF-Expert Member
Oct 26, 2010
694
108
Mwaka jana alikwenda rais Kikwete akawaambia wana Igunga kuwa Rostam Aziz ni mtu muhimu na mchapa kazi ndani ya CCM hivyo achaguliwe. Viongozi wa upinzani walienda wakasema Rostam Aziz ni fisadi yeye pamoja na chama chake hivyo hasichaguliwe

Mwisho wa siku wana Igunga walimchagua Rostam Aziz na CCM. Hii ina maana alichosema Kikwete ndicho wana Igunga walichokiamini.

Sasa cha kushangaza hata kabla ya mwaka kwisha tangu uchaguzi ufanyike, Rostam Aziz amejiuzulu ubunge kwa kutuhumu zile zilikuwa zinasemwa na viongozi wa upinzani kuwa Rostam Aziz ni fisadi. Tena safari hii tuhumu hizi zimetolewa na chama chake cha CCM.

Wana Igunga wenye akili zao na watumia hizo akili kufikiri wanatakiwa kutafakari hili.
 
Mwaka jana alikwenda rais Kikwete akawaambia wana Igunga kuwa Rostam Aziz ni mtu muhimu na mchapa kazi ndani ya CCM hivyo achaguliwe. Viongozi wa upinzani walienda wakasema Rostam Aziz ni fisadi yeye pamoja na chama chake hivyo hasichaguliwe

Mwisho wa siku wana Igunga walimchagua Rostam Aziz na CCM. Hii ina maana alichosema Kikwete ndicho wana Igunga walichokiamini.

Sasa cha kushangaza hata kabla ya mwaka kwisha tangu uchaguzi ufanyike, Rostam Aziz amejiuzulu ubunge kwa kutuhumu zile zilikuwa zinasemwa na viongozi wa upinzani kuwa Rostam Aziz ni fisadi. Tena safari hii tuhumu hizi zimetolewa na chama chake cha CCM.

Wana Igunga wenye akili zao na watumia hizo akili kufikiri wanatakiwa kutafakari hili.

Hili ni swali la msingi sana, si kwa wana Igunga pekee,bali kwa waTZ wote. Tazama watu wanavyochezewa akili, eti Magufuli anasema akichaguliwa Kafumu watajengewa barabara na madaraja, walishindwaje chini ya ubunge wa Rostam aliyekuwa mhimili wao?
 
Mwaka jana alikwenda rais Kikwete akawaambia wana Igunga kuwa Rostam Aziz ni mtu muhimu na mchapa kazi ndani ya CCM hivyo achaguliwe. Viongozi wa upinzani walienda wakasema Rostam Aziz ni fisadi yeye pamoja na chama chake hivyo hasichaguliwe

Mwisho wa siku wana Igunga walimchagua Rostam Aziz na CCM. Hii ina maana alichosema Kikwete ndicho wana Igunga walichokiamini.

Sasa cha kushangaza hata kabla ya mwaka kwisha tangu uchaguzi ufanyike, Rostam Aziz amejiuzulu ubunge kwa kutuhumu zile zilikuwa zinasemwa na viongozi wa upinzani kuwa Rostam Aziz ni fisadi. Tena safari hii tuhumu hizi zimetolewa na chama chake cha CCM.

Wana Igunga wenye akili zao na watumia hizo akili kufikiri wanatakiwa kutafakari hili.

Hili ni swali la msingi sana, si kwa wana Igunga pekee,bali kwa waTZ wote. Tazama watu wanavyochezewa akili, eti Magufuli anasema akichaguliwa Kafumu watajengewa barabara na madaraja, walishindwaje chini ya ubunge wa Rostam aliyekuwa mhimili wao?
Jamani kwani kazi ya akili ni nini?...si kupambanua mambo?
Matendo yote mnayotaja hapo juu ni mpaka akili ikubali kuwa ni ya kishetani, ndipo mtu atachukua hatua positive!
Kama akili imegoma, basi tena!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom