HISIA KALI
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 694
- 108
Mwaka jana alikwenda rais Kikwete akawaambia wana Igunga kuwa Rostam Aziz ni mtu muhimu na mchapa kazi ndani ya CCM hivyo achaguliwe. Viongozi wa upinzani walienda wakasema Rostam Aziz ni fisadi yeye pamoja na chama chake hivyo hasichaguliwe
Mwisho wa siku wana Igunga walimchagua Rostam Aziz na CCM. Hii ina maana alichosema Kikwete ndicho wana Igunga walichokiamini.
Sasa cha kushangaza hata kabla ya mwaka kwisha tangu uchaguzi ufanyike, Rostam Aziz amejiuzulu ubunge kwa kutuhumu zile zilikuwa zinasemwa na viongozi wa upinzani kuwa Rostam Aziz ni fisadi. Tena safari hii tuhumu hizi zimetolewa na chama chake cha CCM.
Wana Igunga wenye akili zao na watumia hizo akili kufikiri wanatakiwa kutafakari hili.
Mwisho wa siku wana Igunga walimchagua Rostam Aziz na CCM. Hii ina maana alichosema Kikwete ndicho wana Igunga walichokiamini.
Sasa cha kushangaza hata kabla ya mwaka kwisha tangu uchaguzi ufanyike, Rostam Aziz amejiuzulu ubunge kwa kutuhumu zile zilikuwa zinasemwa na viongozi wa upinzani kuwa Rostam Aziz ni fisadi. Tena safari hii tuhumu hizi zimetolewa na chama chake cha CCM.
Wana Igunga wenye akili zao na watumia hizo akili kufikiri wanatakiwa kutafakari hili.