Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
Kwa karibu wiki 2 hivi zimepita shirika la ujajusi la Israel MOSAD inatuhumiwa kwa kuhusika na kifo cha kiongozi wa Hamas huko Dubai, Katika hali ya ajabu sana moja ya watu walihusika wametumia passport za mataifa ya Magharibi, Je katika Tanzania ya leo ni nani anaweza kufaa au kwa watu wa usalama kwenda kujifunza toka kwao, Je ni KGB,CIA,MOSAD au shirika la ujajusi la China??