_ID
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,409
- 7,399
Habari zenu wanajukwaa,
Direct to the point. Nina mpenzi wangu ambae tumedumu kwa muda wa mwaka mmoja na nusu. hakika katka muda wote huu tumepata kufahamiana na kujuana vema amepata kuyajua mazuri na madhaifu yangu na mm pia nmepata kujua yake.
Hakika nikiri kuwa huyu mwanamke ananiheshmu na kunitii.(naamini ananipenda pia japo siwez usemea moyo wake,lakn yy hunisisitizia kila mara kwamba ananipenda sana).HANA tabia za ajabu ajabu kama vile kuomba pesa(wanawake wengi wa kileo usipowapa pesa basi sahau kuhusu kupendwa,lakn yy hayuko hvo.), ulevi, dharau, ubinafsi. Na nikiri tu kwamba huyu ndo mwanamke wa kwanza kudumu nae katka mahusiano kwa mda mrefu kwa sababu nakumbka wanawake wengne wote nliowah ku date nao tulikuwa tukidumu sana bas n wiki tatu tu.
Sababu kubwa ya kutodumu ni dharau, kujiona classic na kuomba omba pesa.miaka ya nyuma kuna sku nlikuwa namtongoza msichana fulan wa kanda ya kaskazini nadhan mnawajua vile wako na sura mzuri yaan they are really cute, katka convo akajichanganya kuomba pesa asee pale pale nilifuta namba yake na kuendelea na mishe zangu. mm nina allergy na mwanamke mwenye dharau na anaeomba omba pesa hata awe mzuri kias gan yan hisia huwa znakata ghafla kama vile wajumbe walivokata majina ya watia nia.
Back to the point; huyu mpenz wangu amekuwa na magonjwa mengi mengi yasiyoisha mpaka nawaza je nikiingia nae kwny ndoa si ndo ntachoma pesa zote kumuuguza? Ana pumu, maumivu ya tumbo, maumivi ya kichwa, homa za kila week, Macho yanamsumbua.
Akilala asubuhi anaamka kachanjwa chale, (sometime anachanjwa hata akiwa macho ila anaemchanja hamwoni),akitembea sana anavimba miguu hata kama ni zile route za town tu. (Ashawahi kuja kwangu akakaa mwezi mzma kwa hyo nlishuhudia haya magonjwa kwa macho yangu) Yaan ukituma sms ya salamu "mambo" tegemea reply ya "kichwa kinaniuma" mpaka unachoka kumpa pole kila sku.
Sasa kila sku amekuwa akiniuliza Dany hv kwel utanioa? huwa namjibu tu Ndio ili kumridhisha.sasa mm nko njiapanda hapa je niendelee kuwa nae au nimwache tu kiroho safi nisimpotezee mda wake. Ikumbukwe kuwa huko nyuma nshawahi kumwacha kama mara mbili hv bila kosa lolote asee alilia mpaka nikamwonea huruma nikamrudia.
Naomben ushauri wenu je huyu mwanamke nikimuoa tutafanya maendeleo kweli au ndio nitakuwa nimejipa kibarua cha kumuuguza?
Direct to the point. Nina mpenzi wangu ambae tumedumu kwa muda wa mwaka mmoja na nusu. hakika katka muda wote huu tumepata kufahamiana na kujuana vema amepata kuyajua mazuri na madhaifu yangu na mm pia nmepata kujua yake.
Hakika nikiri kuwa huyu mwanamke ananiheshmu na kunitii.(naamini ananipenda pia japo siwez usemea moyo wake,lakn yy hunisisitizia kila mara kwamba ananipenda sana).HANA tabia za ajabu ajabu kama vile kuomba pesa(wanawake wengi wa kileo usipowapa pesa basi sahau kuhusu kupendwa,lakn yy hayuko hvo.), ulevi, dharau, ubinafsi. Na nikiri tu kwamba huyu ndo mwanamke wa kwanza kudumu nae katka mahusiano kwa mda mrefu kwa sababu nakumbka wanawake wengne wote nliowah ku date nao tulikuwa tukidumu sana bas n wiki tatu tu.
Sababu kubwa ya kutodumu ni dharau, kujiona classic na kuomba omba pesa.miaka ya nyuma kuna sku nlikuwa namtongoza msichana fulan wa kanda ya kaskazini nadhan mnawajua vile wako na sura mzuri yaan they are really cute, katka convo akajichanganya kuomba pesa asee pale pale nilifuta namba yake na kuendelea na mishe zangu. mm nina allergy na mwanamke mwenye dharau na anaeomba omba pesa hata awe mzuri kias gan yan hisia huwa znakata ghafla kama vile wajumbe walivokata majina ya watia nia.
Back to the point; huyu mpenz wangu amekuwa na magonjwa mengi mengi yasiyoisha mpaka nawaza je nikiingia nae kwny ndoa si ndo ntachoma pesa zote kumuuguza? Ana pumu, maumivu ya tumbo, maumivi ya kichwa, homa za kila week, Macho yanamsumbua.
Akilala asubuhi anaamka kachanjwa chale, (sometime anachanjwa hata akiwa macho ila anaemchanja hamwoni),akitembea sana anavimba miguu hata kama ni zile route za town tu. (Ashawahi kuja kwangu akakaa mwezi mzma kwa hyo nlishuhudia haya magonjwa kwa macho yangu) Yaan ukituma sms ya salamu "mambo" tegemea reply ya "kichwa kinaniuma" mpaka unachoka kumpa pole kila sku.
Sasa kila sku amekuwa akiniuliza Dany hv kwel utanioa? huwa namjibu tu Ndio ili kumridhisha.sasa mm nko njiapanda hapa je niendelee kuwa nae au nimwache tu kiroho safi nisimpotezee mda wake. Ikumbukwe kuwa huko nyuma nshawahi kumwacha kama mara mbili hv bila kosa lolote asee alilia mpaka nikamwonea huruma nikamrudia.
Naomben ushauri wenu je huyu mwanamke nikimuoa tutafanya maendeleo kweli au ndio nitakuwa nimejipa kibarua cha kumuuguza?