Developer IOS
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 1,457
- 1,409
Habari wakuu
Naomba kuuliza sisi wapiga kura tulioacha shughuli zetu na kwenda kupanga foleni kumchagua mbunge wetu Tundu Lissu tumesikia mbunge wetu kashapona ila yuko kwenye ziara ya kimataifa ningependa kujua je ziara hizo zitatunufaishaje wapiga kura wake?
Naomba kuuliza sisi wapiga kura tulioacha shughuli zetu na kwenda kupanga foleni kumchagua mbunge wetu Tundu Lissu tumesikia mbunge wetu kashapona ila yuko kwenye ziara ya kimataifa ningependa kujua je ziara hizo zitatunufaishaje wapiga kura wake?