H Heri D New Member Dec 30, 2017 3 0 Feb 12, 2018 #1 Naomba mnisaidie wana JF kuna dogo langu linariseat form-6 Je, wanawekewa alama kama wanazopata au hatakama amepata 'A' unawekewa principal pass tu yaan 'C' kama wanazopata ilivyo kwa mfumo wa chuo??????
Naomba mnisaidie wana JF kuna dogo langu linariseat form-6 Je, wanawekewa alama kama wanazopata au hatakama amepata 'A' unawekewa principal pass tu yaan 'C' kama wanazopata ilivyo kwa mfumo wa chuo??????
S Stephen Kessy Member Feb 11, 2018 5 5 Feb 12, 2018 #3 Wanaweka alama bhna kuna ambao wanapataga hadi B
AdvocateFi JF-Expert Member Jan 15, 2012 11,492 5,040 Feb 12, 2018 #4 Yap kama upo tayar nikuekelekeze shule ambayo utakuta hao wanapata one had two had utashangaa