Je wanafunzi wanaosoma chuo cha mipango humani resource watajiriwa wapi?

BHANGUWIHA

New Member
Nov 30, 2012
4
0
Ndungu zangu naomba mnieleweshe kwani mimi ni miongoni mwa wanafunzi ambao wanachukua kozi mpya ya Human resource planning and managemnt,je soko letu liko je huko duniani?
Mwanafunzi.
 
Ndungu zangu naomba mnieleweshe kwani mimi ni miongoni mwa wanafunzi ambao wanachukua kozi mpya ya Human resource planning and managemnt,je soko letu liko je huko duniani?
Mwanafunzi.

Peleka kule nafasi za kazi na tender au jukwaa la elimu watakua na majibu mazuri zaidi, huku watu wanajadili pesa na namna ya kuzitengeneza.
 
Ndungu zangu naomba mnieleweshe kwani mimi ni miongoni mwa wanafunzi ambao wanachukua kozi mpya ya Human resource planning and managemnt,je soko letu liko je huko duniani?
Mwanafunzi.

Yaani wewe umeenda kusoma bila kujua baadae unatakiwa kuwa nani? Hii ndo Tanzania, Tatizo kuna watu wanaenda Chuo ili waonekane, watu wanaenda chuo ili kufurahisha ndugu jamaa na marafiki, watu wanaenda chuo kwa sababu wamekaa sana mtaa,

Inasikitisha mtu anasoma bila kujua lengo la hiyo kozi ni nini, na sijui ulichaguliwa au ulichagua mwenyewe, Mkuu hii nchi sio ile ya enzi za Nyerere ukisoma makozi ya Ajabu ajabu inakula kwako mazima,

Ni bora sasa watu wajikite ku opt kozi ambazo zina muelekeo wa kujiajiri mtaani,
 
waza kujiajiri na si kuajiriwa hii Tanzania imebadilika sana ajira hakuna.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom