MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kwamba kumbe kama Mtu fulani wa Kimataifa au Kampuni ya Kimataifa ikiwa inaidai nchi fulani wakigundua vile vya Kukamata vyote vimeshakamatwa na Wadai wengine basi kinachofuata sasa ni Kumvizia Rais wa nchi au Makamu wake au Waziri Mkuu husika Siku nae akisafiri tu katika hizo nchi basi nae anakamatwa hadi Deni lao limalizwe Kulipwa?
Je hii ni kweli au Mwanamume nimelishwa tu Tango Pori name pia nikalila hivyo hivyo? Manake nilianza Kuogopa sasa nikijiuliza hivi Japan haitudai chochote labda kisha wakaamua kubaki nae Kassim na Kabudi wake huko huko Yokohama hadi Walipwe chao?
Karibuni Kimjadala.
Je hii ni kweli au Mwanamume nimelishwa tu Tango Pori name pia nikalila hivyo hivyo? Manake nilianza Kuogopa sasa nikijiuliza hivi Japan haitudai chochote labda kisha wakaamua kubaki nae Kassim na Kabudi wake huko huko Yokohama hadi Walipwe chao?
Karibuni Kimjadala.