Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu hawa askari hovyo kabisa, kuna siku kaniambia nimeover speed, akanionesha picha ilibaki kidogo nikubali ile kucheki vizuri gari zinafanana rangi na ukubwa ila sio gari yangu.... hata hakubisha akaniacha niende. Sema tuu umakini ndio unahitajikaUkiona cha kuruhusu upande kinzani jua upande wako cha kuzuia wamekitoa vinginevyo utapigwa tochi na kubaki unajiuliza hii ni wapi!
Nahisi ni wao wenyewe mkuu.Njia ya Dar- Bagamoyo-Msata....Msata-Segera etc
Vinachukuliwa na nani?
Mchezo huu wanao sana kama Una haraka unaliwa!mkuu hawa askari hovyo kabisa, kuna siku kaniambia nimeover speed, akanionesha picha ilibaki kidogo nikubali ile kucheki vizuri gari zinafanana rangi na ukubwa ila sio gari yangu.... hata hakubisha akaniacha niende. Sema tuu umakini ndio unahitajika
Trafic wachache sana wenye huo uadilifuKama wangekuwa na Nia njema pale ambapo kimeng'oka wangekaa tuwaone ikibidi watuelekeze kuwa tunaingia 50kph zone
Hili ndio jibu la huu Uzi mkuuUkiwakomalia hawakufanyi kitu. Walileta huu ujinga Dar mkubwa wao akasema hakuna kitu kama hicho.
Shida ni hapo uliposema kupoteza muda...na wanajua hatupendi kupoteza muda.Hili ndio jibu la huu Uzi mkuu
Mimi mpaka leo msimamo wangu ni ule ule na kuna thread kadhaa nilichangia humu kuhusiana na hizi faini za Overspending kwa kutumia picha za watsapp...
Utajuaje kama ni hicho kibao bila kuingia ndani ya hamsini?Hapana huwa vinakuwa sambamba, cha upande unaoingia 50 na unaotoka...
Inawahusu maderevaHii mada inawahusu wenye magari yao, mimi mtembea kwa miguu ngoja nipite zangu hivi...
1...2....3 🚶♂️🚶♂️🚶♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Ni suala la uzoefu tu kutokana na kuendesha sana kwenye Highways za Bongo...Utajuaje kama ni hicho kibao bila kuingia ndani ya hamsini?
True kuna mazingira yake ikiwemo rasta kabla ya matuta...ingawa sio maeneo yoteNi suala la uzoefu tu kutokana na kuendesha sana kwenye Highways za Bongo...
Hapo juu nimeeleza mazingira yanayopelekea kujua kwamba sasa unaingia kwenye speed limit ya 50 hata kama kibao kimetolewa...
Huu ni uwizi aisee
WELL IN GOODInawahusu madereva
Shukrani sana mkuu kwa kuleta mada hii...ni madereva wengi sana wameumizwakwa stail hii...nadhani askari pia wamo humu...wasome koment za watu vizuri
Yaani hiki alichoandika RRONDO kinataka kufanana na hiki kilichowakuta wananchi..Je ushawahi kupigwa tochi ambayo huielewi? Yaani umefuata vibao vyote vizuri kabisa lakini unafika mbele unaoneshwa picha kwenye 50kph zone imepita na 85kph au zaidi?...
Hii iko sawa. Huyu yuko ndani ya 50kph zone. Ninachozungumzia ni hiki kibao kinaondolewa halafu unaingia hapa anaekupiga picha akiwa huko kwenye busYaani hiki alichoandika RRONDO kinataka kufanana na hiki kilichowakuta wananchi..View attachment 1773524