MR.NOMA
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 338
- 502
Salam wanajanvi, Naomba tusaidiane uelewa na kushare maarifa juu ya hawa watu ambao naamini wengine sio Masai,wanazunguka katika miji mingi wakiwa na mifuko imejaa dawa na nyigine wakiwa wamebeba kwamkono.Je wanapewa vibali na nani? Na nani anathibitisha ubora wa dawa zao?