brian mweusi
Member
- Feb 11, 2019
- 12
- 3
Wana JF habari,
Mimi nmemaliza form 4 mwaka 2017 nilipata matokeo ambayo sio mazuri sana, nlipata F ya math na D 3 na C tatu. Nikaamua kurisiti mwaka 2018 na kufanya math ambayo nlikua na F na nkachagua civic D na chemistry D
Baada ya matokeo kutoka nilipata C kwenye math na chemistry ila civics ilibaki D, vigezo ambavyo ninavyo kwa sasa ni math C, chemistry C ,bios C, phy D ,English C .
Je, ninaweza kuchaguliwa na NACTE kwenye course ya clinical medicine? ninaomba kujulishwa na nmeapply vyuo vitano.
Mimi nmemaliza form 4 mwaka 2017 nilipata matokeo ambayo sio mazuri sana, nlipata F ya math na D 3 na C tatu. Nikaamua kurisiti mwaka 2018 na kufanya math ambayo nlikua na F na nkachagua civic D na chemistry D
Baada ya matokeo kutoka nilipata C kwenye math na chemistry ila civics ilibaki D, vigezo ambavyo ninavyo kwa sasa ni math C, chemistry C ,bios C, phy D ,English C .
Je, ninaweza kuchaguliwa na NACTE kwenye course ya clinical medicine? ninaomba kujulishwa na nmeapply vyuo vitano.