Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Yameongewa mengi sana khs kuishambuliwa kwa Tundu Lisu na wengi wao wameelekeza lawama zao upande mmoja tu, yaani kwamba Tundu Lisu ni ,,innocent“ na watu walitaka kumdhuru!
Lkn wote wanaohukunu hivyo Tundu Lisu wala hawamjui kiundani, yaani maisha yake binafsi, Je mnajuaje kama ilikuwa ni revenge? Labda alidhulumu mtu, labda alizaa na Mke wa mtu na Mume wa Mwanamke akaamua kurevenge, labda ni chadema na power struggle, who knows?
Ila nijuavyo mimi hakuna anayepigwa risasi namna ile bila ya sababu, kwani alikuwa targeted ina maana kuna kitu alifanya ambacho hata yeye anakijua, sasa kama kilistahili yeye kupewa hiyo adhabu, jibu analo yeye Tundu Lisu, lkn ni lazima kuna kitu alifanya mahali, ...
Lkn wote wanaohukunu hivyo Tundu Lisu wala hawamjui kiundani, yaani maisha yake binafsi, Je mnajuaje kama ilikuwa ni revenge? Labda alidhulumu mtu, labda alizaa na Mke wa mtu na Mume wa Mwanamke akaamua kurevenge, labda ni chadema na power struggle, who knows?
Ila nijuavyo mimi hakuna anayepigwa risasi namna ile bila ya sababu, kwani alikuwa targeted ina maana kuna kitu alifanya ambacho hata yeye anakijua, sasa kama kilistahili yeye kupewa hiyo adhabu, jibu analo yeye Tundu Lisu, lkn ni lazima kuna kitu alifanya mahali, ...