Je, wakimaliza kununua wapinzani kitafuata nini?

Nakujib swali la kwanza, kuwa ccm inajiamin maana serikali n ccm, jesh ni wao, mahakama ni wao, usalama ni wao, n.k
Sasa kwann wasijiamin

Kama ndiyo hivyo kujiamini tuombe tafsiri ya Serikali na chama. Nasema hivi nikiwa na maana kazi nyingi za chama cha CCM zinafanywa na Serikali. Mfano mahakama, jeshi, madaktari, walimu NK hivi ni vyombo vya Serikali na kazi yao ni kusimamia na kutekeleza kazi za wananchi wote na kulinda raia. Lakini mbona kuna ukakasi wa kuonea upande mmoja wakati kwenye kodi raia wote wanatoa na isitengwa kiasi hiki ni cha wapinzani na hiki ni cha chama tawala?
 
Last edited:
Umeuliza vema kbsa.Kosa la Chadema ni kuingiza Mamluki 2015 na kuacha vijana waliokulia bavicha.Ukiangalia Siha,Ukonga,Monduli wote waliojitoa walikuwa ccm walijitoa 2015.Cha kusikitisha Ss Monduli wanampigia chapuo Fredy Lowasa ambao ni walewale wasio na mizizi ya chadema.Swali ni je mfano Monduli hakuna vijana au watu walijenga chama toka zamani enzi ya Dr Slaa wa 2008?

Kwa Kweli tujifunze bila hivyo CCM watatusumbua sana. Tuangalie mfano wa marehemu Bilago Kwa mbunge mtarajiwe alivyomjenga.
 
Umeuliza vema kbsa.Kosa la Chadema ni kuingiza Mamluki 2015 na kuacha vijana waliokulia bavicha.Ukiangalia Siha,Ukonga,Monduli wote waliojitoa walikuwa ccm walijitoa 2015.Cha kusikitisha Ss Monduli wanampigia chapuo Fredy Lowasa ambao ni walewale wasio na mizizi ya chadema.Swali ni je mfano Monduli hakuna vijana au watu walijenga chama toka zamani enzi ya Dr Slaa wa 2008?
Hata Dr. Slaa ametokea CCM
 
WanaJF, nimetafakari sana katika hiki kipindi cha misukosuko Kwa viongozi wa upinzani na raia lakini badò kichwa haijatulia Kwa sababu majibu sipati.

1. Kwa nini CCM inajiamini namna hiyo?

2. Kwa nini Serikali inatumia nguvu kubwa kuwazibiti upinzani na kujifunika na shuka la kufuata sheria wakati tunaona viongozi wengi wa Serikali na CCM wanavunja sheria hadharani?

3. Je Serikali inajiamini kuwa katika Jeshi ndani yake hakuna wanaowapenda wapinzani au hakuna wapinzani lakini upo rohoni au hawana ndugu au watoto ambao ni wapinzani?

4. CCM Kwa nini hawajiulizi watu wanakichukia chama chao? Ni nani anapenda kufanyiwa mabaya na kama hawataki mabaya Kwa nini wanawafanyia wapinzani na raia wake hivyo. Ukiangalia ajira hakuna, watu wanafukuzwa makazini, watu wamevunjiwa nyumba, wanafunzi kunyimwa mikopo. Haya aliyafanya nani au ni nani anatakiwa afanye?

5. Kwa nini Serikali haisikilizi kilio cha wananchi wake kuhusu ajira na hali ngumu ya maisha?

6. Lengo lao Kwa wananchi na viongozi ambao hawaiungi mkono CCM ni nini? Kwa nini wanapenda watanzania wote tuwe ndiyo? Maendeleo hayawezi kuletwa na upande mmoja hata siku moja. Na tukikubali kunyamazishwa tumekwisha. Kwa Kweli wananchi wa Buyungu wameonyesha ujasiri mkubwa na kutoa hisia na matumaini Kwa upinzani na tunategea kupata viongozi wenye damu ya upinzani.

Hatujui hatima ya wapinzani na raia ambao watakomaa bila kwenda upande wa pili. Mungu ibariki Tanzania.

Moja. Toa uthibitisho kuwa wapinzani wananunulia. Hapo hapo tueleze wewe unahisi why wanunuliwe na kwa faida ipi.

Mbili. Unaposema Watu wengi wanaichukia. Kigezo chako cha Watu wengi. Ni nani. Au kelele za humu mitandaoni. Lazima uwajue vizuri Watz kuwa ni wambeya. Wapenda majungu. Hawatakiani mema na Tangu niwajue Hakuna kiongozi aliyesifiwa na Watu kama nyie.

Tatu. Ajira gani Serikali inatoa. JPM ana 2.9 years. Kwa mtu yeyote serious unafikiri ni rahisi kuyafany hata hayo Yeye na wenzake wanayoyafanya. Basi we Hujawahi Ongoza hata kikundi cha wavuta cha Arussha wenzako. Ungejua Sio simple as you are want as to believe.

Nne. Wewe katika maisha yako umeshafanya nini Watu tuseme tukuamini kuwa you are a credible person. Tell me a little bit about Mbowe, Slaa. Lowassa...

Tano. Tuambie kidogo. Nini cha Halali ulifanya kabla ya JPM Sasa ujio wake umekufanya ushindwe. Please usitoe Fallacies za majumuisho.

Sita. Be a man and stand for what is the Truth and the truth is never according to you but according to itself.
 
WanaJF, nimetafakari sana katika hiki kipindi cha misukosuko Kwa viongozi wa upinzani na raia lakini badò kichwa haijatulia Kwa sababu majibu sipati.

1. Kwa nini CCM inajiamini namna hiyo?

2. Kwa nini Serikali inatumia nguvu kubwa kuwazibiti upinzani na kujifunika na shuka la kufuata sheria wakati tunaona viongozi wengi wa Serikali na CCM wanavunja sheria hadharani?

3. Je Serikali inajiamini kuwa katika Jeshi ndani yake hakuna wanaowapenda wapinzani au hakuna wapinzani lakini upo rohoni au hawana ndugu au watoto ambao ni wapinzani?

4. CCM Kwa nini hawajiulizi watu wanakichukia chama chao? Ni nani anapenda kufanyiwa mabaya na kama hawataki mabaya Kwa nini wanawafanyia wapinzani na raia wake hivyo. Ukiangalia ajira hakuna, watu wanafukuzwa makazini, watu wamevunjiwa nyumba, wanafunzi kunyimwa mikopo. Haya aliyafanya nani au ni nani anatakiwa afanye?

5. Kwa nini Serikali haisikilizi kilio cha wananchi wake kuhusu ajira na hali ngumu ya maisha?

6. Lengo lao Kwa wananchi na viongozi ambao hawaiungi mkono CCM ni nini? Kwa nini wanapenda watanzania wote tuwe ndiyo? Maendeleo hayawezi kuletwa na upande mmoja hata siku moja. Na tukikubali kunyamazishwa tumekwisha. Kwa Kweli wananchi wa Buyungu wameonyesha ujasiri mkubwa na kutoa hisia na matumaini Kwa upinzani na tunategea kupata viongozi wenye damu ya upinzani.

Hatujui hatima ya wapinzani na raia ambao watakomaa bila kwenda upande wa pili. Mungu ibariki Tanzania.

Mkuu, ngoja nijaribu kukujibu kadiri ninavyoelewa suali lako namba moja kama ifuatavyo:
CCm inajiamini kwa sababu tuna katiba mbovu, hii katiba tulionayo hivi sasa inawapa kiburi kikubwa sana. Katiba hii inampa uwezo mkubwa sana Raisi, na hata kama akikiuka katiba kwa mujibu wa katiba hii hii ni kwamba hawezi kushitakiwa. Raisi anafanya atakavyo, kwa awatakao na kwa wakati autakao bila hofu yoyote! hata kama itatokea Raisi huyo akaua watu hadharani hakuna atakaeweza kumgusa! Watu watapiga mayowe lakini hakuna atakaeweza kumgusa!
Kumbuka kama ni katiba hii hii ambayo matokeo ya uchaguzi hayahojiwi! ni katiba hii inayompa uwezo Raisi kuchagua tume ya uchaguzi eti itakayomchagua yeye kama raisi!

Kitu chengine ambacho kinawafany CCM wajiamini ni udhaifu tulionao watanzania, walishatujua kitambo kwamba tuwaoga sana, hatuwezi hata kujisotora! Kazi yote tunawaachia viongozi wa siasa na wao wakishindwa tunabaki tu kulalamika. Huu ni udhaifu wetu wenyewe, tusimtafute mchawi.

Jengine ni kwamba mbali ya kuwa waoga watanzania tumekuwa wabinafsi sana, tunakubali kuuza heshima yetu kwa thamani ndogo ya mali, kiongozi aliepiganiwa kwa shida na jasho na pengine damu kumwagika.... kesho kiongozi huyo huyo ananunulika kirahisi sana! Tuambizane ukweli tu wenzetu watanzania bara ndio mnaingia bei kirahisi na kutusaliti kirahisi tu, kwa kweli hatuko tayari kuwasamehe kwa hili....kwa kuwa mnatucherwesha na mnaturejesha nyuma kwa ubinafsi wenu!

Kwa kweli Tanzania inahitaji watu wenye muamko, yaani tusijipweteke tukawasubiri kina Tundu Lissu mpaka wapigwe risasi bila ya sisi kufanya kitu! Wahenga walinena abwebae hujikaza!!!
 
Last edited:
WanaJF, nimetafakari sana katika hiki kipindi cha misukosuko Kwa viongozi wa upinzani na raia lakini badò kichwa haijatulia Kwa sababu majibu sipati.

1. Kwa nini CCM inajiamini namna hiyo?

2. Kwa nini Serikali inatumia nguvu kubwa kuwazibiti upinzani na kujifunika na shuka la kufuata sheria wakati tunaona viongozi wengi wa Serikali na CCM wanavunja sheria hadharani?

3. Je Serikali inajiamini kuwa katika Jeshi ndani yake hakuna wanaowapenda wapinzani au hakuna wapinzani lakini upo rohoni au hawana ndugu au watoto ambao ni wapinzani?

4. CCM Kwa nini hawajiulizi watu wanakichukia chama chao? Ni nani anapenda kufanyiwa mabaya na kama hawataki mabaya Kwa nini wanawafanyia wapinzani na raia wake hivyo. Ukiangalia ajira hakuna, watu wanafukuzwa makazini, watu wamevunjiwa nyumba, wanafunzi kunyimwa mikopo. Haya aliyafanya nani au ni nani anatakiwa afanye?

5. Kwa nini Serikali haisikilizi kilio cha wananchi wake kuhusu ajira na hali ngumu ya maisha?

6. Lengo lao Kwa wananchi na viongozi ambao hawaiungi mkono CCM ni nini? Kwa nini wanapenda watanzania wote tuwe ndiyo? Maendeleo hayawezi kuletwa na upande mmoja hata siku moja. Na tukikubali kunyamazishwa tumekwisha. Kwa Kweli wananchi wa Buyungu wameonyesha ujasiri mkubwa na kutoa hisia na matumaini Kwa upinzani na tunategea kupata viongozi wenye damu ya upinzani.

Hatujui hatima ya wapinzani na raia ambao watakomaa bila kwenda upande wa pili. Mungu ibariki Tanzania.
CCM wanafanya haya kwasababu mbili sababu ya kwanza ni kuwafunga macho jumuiya ya kimataifa waweze kuamini kwamba CCM 2020 haijaiba kura imeshinda kihalali jambo la pili ni wanataka wawe na adui mmoja tu cuf (zanzibar) ili iwe rahizi kwao kuwashughulikiya ujuwe cuf 2020 bado itakuwa na mgogoro na wagombea wake hawatakubaliwa isipokuwa wa lipumbb tu kwa hivyo uwezekano upo wa wagombea wa cuf kusimama kama wangombea wa chadema na hapo ndipo itakapo kuwa shida kwa ccm ndio maana wanafanya mikakati hii na ikishakuwa bara hakuna mpizani jeshi lote litapelekwa zanzibar hiyo ndio mipango ya ccm
 
kwa sasa ccm ni dhaifu sana kuliko chama chochote tanzania kwa sasa.......bila mapolis na rushwa hiki chama ni hoi.
 
Kama ndiyo hivyo kujiamini tuombe tafsiri ya Serikali na chama. Nasema hivi nikiwa na maana kazi nyingi za chama cha CCM zinafanywa na Serikali. Mfano mahakama, jeshi, madaktari, walimu NK hivi ni vyombo vya Serikali na kazi yao ni kusimamia na kutekeleza kazi za wananchi wote na kulinda raia. Lakini mbona kuna ukakasi wa kuonea upande mmoja wakati kwenye kodi raia wote wanatoa na isitengwa kiasi hiki ni cha wapinzani na hiki ni cha chama tawala?
ndio mfumo ulivo hvyo bado tunatembelea nyayo za ujamaa zinazosema serikal na chama tawala ni ndugu wa damu.
tuondoe huu mfumo unaounganisha serikal na chama ndio tutafanikiwa
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom