Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
Je, unajua chanzo cha usingizi?
Usingizi hutokea kwa binadamu endapo atatulia kwa mda unao kadiliwa kufikia dk15 pasipo kutikisika, Mtu huyo lazima asinzie.
Nyongeza: pia ukitulia kwa mda huo pasipo kutikisika huku umefumba macho lazima asinzie mapema zaidi.
Ikumbukwe Usingizi ni tendo lisilo la hiyari.
Usingizi hutokea kwa binadamu endapo atatulia kwa mda unao kadiliwa kufikia dk15 pasipo kutikisika, Mtu huyo lazima asinzie.
Nyongeza: pia ukitulia kwa mda huo pasipo kutikisika huku umefumba macho lazima asinzie mapema zaidi.
Ikumbukwe Usingizi ni tendo lisilo la hiyari.