Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
1. Je wajua kuwa kunguru na njiwa ndio ndege pekee wanao2mia mchanga kwa kuoga.
2. Je wajua kuwa treni/gari moshi ndio chombo kinachodumu muda mrefu? Lakn kilitengenezwa kwa mfano wa nyoka.
3. Je wajua kuwa CCM wameshi kwa kuchakachua kura Igunga.
4. Je wajua kuwa dar es salaam Ngereja kawachunia kwa hz siku mbili?
5. Je wajua kuwa kinababa wengi wanalea watoto wasio wao?
6. Je wajua kuwa janga la umeme linakaribia kuishinda Tanzania?
Hebu tuambie wewe unajua nini.....
2. Je wajua kuwa treni/gari moshi ndio chombo kinachodumu muda mrefu? Lakn kilitengenezwa kwa mfano wa nyoka.
3. Je wajua kuwa CCM wameshi kwa kuchakachua kura Igunga.
4. Je wajua kuwa dar es salaam Ngereja kawachunia kwa hz siku mbili?
5. Je wajua kuwa kinababa wengi wanalea watoto wasio wao?
6. Je wajua kuwa janga la umeme linakaribia kuishinda Tanzania?
Hebu tuambie wewe unajua nini.....