GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
Zikiwa zimebaki dk 2 tu Mrusi Vasili Arkhipov adondoshe Bom la Nyuklia huko Marekani. Anaahirisha kuachia Bom hilo tarehe 27/10/1962.
Shujaa huyu inasikitisha hamna anayemkumbuka. Lakini kama angeamua kufanya ambacho aliagizwa nadhani Dunia hii ingemkumbuka kama mmoja ya watu waovu walioharibu ustawi wa dunia yetu.
Vasili alikuwa ametumwa aangushe Bom hilo Nchini Marekani.Bila shaka kabisa Marekani wangejibu na hapo tungekuwa na Vita mbaya kabisa kuwahi kupata kutokea Duniani. Vita ya 3 ya Dunia ya matumizi ya Mabomu ya Nyuklia.
Lakini Shujaa huyu aliyeepusha janga hilo nobody remembers him. Hii inasikitisha sana.
Najua nawe kuna mengi unayajua kuhusu Shujaa huyu, kamanda wa ukweli. Usisite kushirikiana nasi.