NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,514
- 17,424
Wakuu,
Nakubali tatizo kubwa ni katiba iliyopo na najua muda si mrefu tutaipata!
Tatizo kubwa zaidi hapa kwetu ni kwamba;-tuliamua kama Taifa
, kuwepo mishahara MIKUBWA sana, posho kubwa sana na mafao makubwa Sana yawepo kwenye siasa kuliko kada nyingine zenye mashiko na maendeleo kwa wote!!
YAANI kada nyingine zinadharaulika SIO kitu na wataalamu kuzikimbia Kwasababu hazina utajiri wa haraka kama wa kwenye siasa!
Naamini yupo atashika hatamu ambaye alishakinai Fedha na ukwasi na kuona SIO kitu atashusha mishahara na kuondoa posho za anasa za siasa na Hapo tutapata maendeleo ya kweli kuliko blah blah zilizopo Sasa!
Tutaepuka matatizo mengi Sana kama mauaji,unafiki,sifa za kijinga kama hizo zilizopo,hata rushwa zitapungua, ulozi na uchawi utapungua kwenye siasa na tutapata wanasiasa wazalendo wa kweli kuliko wachumia tumbo wengi waliopo!
Ninaamini kama SIO mimi ni wewe unaeweza kupindua meza kibabe kwenye HILI ukishika hatamu siku Moja!
Tuendelee kuimba kwa PAMOJA WIMBO huu;-
"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"!!
Nakubali tatizo kubwa ni katiba iliyopo na najua muda si mrefu tutaipata!
Tatizo kubwa zaidi hapa kwetu ni kwamba;-tuliamua kama Taifa
, kuwepo mishahara MIKUBWA sana, posho kubwa sana na mafao makubwa Sana yawepo kwenye siasa kuliko kada nyingine zenye mashiko na maendeleo kwa wote!!
YAANI kada nyingine zinadharaulika SIO kitu na wataalamu kuzikimbia Kwasababu hazina utajiri wa haraka kama wa kwenye siasa!
Naamini yupo atashika hatamu ambaye alishakinai Fedha na ukwasi na kuona SIO kitu atashusha mishahara na kuondoa posho za anasa za siasa na Hapo tutapata maendeleo ya kweli kuliko blah blah zilizopo Sasa!
Tutaepuka matatizo mengi Sana kama mauaji,unafiki,sifa za kijinga kama hizo zilizopo,hata rushwa zitapungua, ulozi na uchawi utapungua kwenye siasa na tutapata wanasiasa wazalendo wa kweli kuliko wachumia tumbo wengi waliopo!
Ninaamini kama SIO mimi ni wewe unaeweza kupindua meza kibabe kwenye HILI ukishika hatamu siku Moja!
Tuendelee kuimba kwa PAMOJA WIMBO huu;-
"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"!!