Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,101
- 34,050
Tatizo Elimu Elimu Elimu usimshangae kijana wa Bwn. Muddy wa MeccaSasa badala ya kuleta exact quote ya Pope wewe unaleta kichwa Cha habari Cha gazeti? Au ni unaona magazeti ndio wasema kweli?
Tatizo Elimu Elimu Elimu usimshangae kijana wa Bwn. Muddy wa MeccaSasa badala ya kuleta exact quote ya Pope wewe unaleta kichwa Cha habari Cha gazeti? Au ni unaona magazeti ndio wasema kweli?
Kafiri namba moja ni Muhammad (S.A.W), Mbakaji wa mtoto Aysha wa miaka 9Tulia dawa iingie vizuri wewe Kafiri
Zanzibar kuna wakristo wasiozidi 1% hivyo hata wakipatikana wawili kwenye baraza la mawaziri sio mbaya lakini huku hakuna yeyote anayeweza kujinasibu kwamba dini fulani ndio wengi zaidi hivyo naamini hata ikitokea kuzidiana si zaidi 5% sasa inakuwaje wengine wawe 20 na wengine wawe 3 tu? Ni udini tu ndio sababu.
Nani kasema hakuna, wapo tena wengi tu,
Ila wakristo mumezidi yaani mumeruhusu na vyeti munatoa shubaamit
Mnamwagana tu urojo
1000% correct,
Na lengo la uzi huu ni kuusema huohuo uislamu hawana lolote kutaja waarabu ndio kutaja waislam ila wanavyobaguluwa na wazungu wenzao kimya kabisa
"hawatawadhuru ila maudhi tu"
Wazungu weusi wametaharuki
Afrika kila nchi kuna ubaguzi wake wengine wanabaguana kwa ukabila wengine kidini mfano mzuri Bongo wakristo wakizidi kwenye vyeo huko serikalini inakuwa poa kama ilivyo sasa lakini ikitokea waislamu wakawakaribia tu hata kama wasiwazidi wakristo basi inakuwa Nongwa,hapo utaona hata upinzani wa ccm na chadema unawekwa pembeni wakristo wa pande zote mbili wanaungana kuwasakama waislamu.
Wakati wa Jk waislamu walikuwa kibao na ndio wakati uccm na ucdm ulipamba moto. Unachosema kimetokea lini? Au unawashwa Calio
Mnachotaka nyinyi ili iwe jambo halikua basi pawe kimyaaaa, hata nzi asipite ndii mtaamini jambo halikuzungumziwa.Mnajisaulisha haraka sana duuh..
Humu kulijaa nyuzi za JK mdini leo ushasahau ?! Na hapo wauslam hawakua hata 30% ya serikali
Asante na hongera kwa kunielewaHakuna wazungu weusi bali kuna waarabu weusi ambao wanaamini hata lugha ya Mola ni kiarabu
Ubakaji alioufanya Bwn. Muhammad (S.A.W) kwa mtoto Aisha ulimfanya awe kafir wa kwanza kabla yetu sisi, hivyo anaweza kabisa kuwa Muasisi wetu wa UkafiriMuhammad ni Muislam hakuna muislam kafiri,makafiri ni mayahudi na manaswala(wakristo) pole sana kwa uchungu wa dawa vumilia tu
Ewe ni bin muddy wa MakkaMimi ni mfuasi wa Uislam huyo Mwamedi simjui
Muasisi wenu ni Paulo wenyewe mnamuita mtume huyo bwege nazi ndio amewaingiza cha kike,poleni sana maana siku ya hukumu nyie mtakuwa kuni kule motoni.
Ewe mfuasi wa Mwamedi mbona hueleweki....hebu leta hoja yako tujadili sheikh"Bin" maana yake mtoto wa.....,sasa mimi sio mtoto wa huyo unayemuita muddy
Huyu ni msomali na majina yote ulioandika yana asili ya kisomali,na msomali mi mwafrika.Waarabu sasa ndio wanaongoza katika Ushoga duniani
Mpaka Ma Imamu wanaojitangaza rasmi kuwa Mashoga wapo sana kama IMAM NUR WARSAME na DAAIYE ABDULLAH na wana Waumin wengi tu USA na Canada
View attachment 1661038View attachment 1661039
Uislamu tofauti na unavyoujuwa wewe,katika uislamu,ukienda kinyume na na masharti ya uislamu,automatic unatoka nje ya uislamu,hata kama ukijiita muislamu,uislamu ni kufuata matendo yaliyoruhusiwa katika uislamu,sio kujiita muislamu,ni sawa na mtu kujiita Mwalimu wakati hajasomea ualimu wala hafundishi,huyo tunamuita Mwalimu jina,sio Mwalimu hasa.
Utakuwa mjinga,kila unaloambiwa katika vijiwe vya pombe za kienyeji.Ukitaka uelewe jambo lolote,tafuta vyanzo vya uhakika wa hilo unalotaka kulielewa.Ni sawa na kuwa wataka ujuwe udaktari,unakwenda kwa mganga wa kienyeji.Kafiri namba moja ni Muhammad (S.A.W), Mbakaji wa mtoto Aysha wa miaka 9
Laanakhum,
View attachment 1661043
Hakuna ubakaji hapo,ukiwa wewe kwenu mumedumaa kwa kukosa lishe,ndio mtu wa miaka 9 kwenu ni mwenye afya mbovu,lakini katika familia zinazoshiba na zisizokula vyakula vyenye kemikali,ambazo zinadumaza,huyo anakuwa mtu na afya yake.Mariya mama wa Yesu,alikuwa na miaka 9 wakati ana mchumba Joseph mwenye miaka 90,ni kutokana na Afya ya watu wanaokula lishe bora.Ikiwa kwenu mnadumaa kwa kula lishe duni,usifikirie watu wote wko sawa wewe.Mariya mama wa Yesu amezaa Yesu ana miaka 12,bila operesheni wala matatizo yoyote.Watu wa mashariki ya kati,vyakula vyao sana ni nyama,maziwa bila kuwa na kemikali.Hata jamii za kimasai,mtoto alikuwa akichumbiwa bado yuko tumboni,wewe washangaa mtu mwenye miaka 9,kuolewa.Ubakaji alioufanya Bwn. Muhammad (S.A.W) kwa mtoto Aisha ulimfanya awe kafir wa kwanza kabla yetu sisi, hivyo anaweza kabisa kuwa Muasisi wetu wa Ukafiri
Maandishi hao umeona wapi?Wakati Qur'an yenyewe,inasema kuwa binadamu aliubwa kutoka na udongo mweusi.Na atakayemuita Mtume wa Allah "mweusi" na Auwawe