Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,313
- 12,123
Sasa mkuu huoni hiyo ISIPOKUWA tayari inaanza kuleta giza kumaliza kila kitu, we hao wote muhimu wasipohojiwa huo ushahidi unaupata wapi?.3. Kwenye mahojiano hayo kama atakanusha kuwa yeye si Daudi Bashite kama alivyodanganya jana pale Star TV, then kazi ya kukusanya ushahidi inaanza kwa kutolewa samansi ya kuwahoji wahusika wote wakuu isipokuwa mke, mzazi, walimu, hospitali kufuatia kitu kinachoitwa "fiduciary relationship" ambapo sheria inampa kinga ya kuhojiwa kijinai mtu wa karibu kama mke dhidi ya mume, mzazi na mtoto, mwalimu na mwanafunzi, daktari na mgonjwa, mwanasheria na mteja, padri na muumini etc. Hivyo kuanzia hospitali aliyozaliwa utakusanywa ushahidi wa documentary evidence aliandikishwa kwa majina gani?. Kisha Vizazi na Vifo kupata cheti cha kuzaliwa. Shule alipoandikishwa darasa la kwanza. Shule ya sekondari, Necta, vyuo, ajira alipitia, hadi idara ya uhamiaji.
Yani unachunguza asili yangu ISIPOKUWA hutakiwi wauliza wazazi wangu, jamaa zangu, walimu walionifundisha, mke wangu anaenijua!..Ina maana unaenda pata umbeya ambao ninaweza ukana huko mbeleni sio?.