Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,736
- 14,631
Huyu ndiye yule mkalimani niliyekuambia sasa.Unatumia Google translate? Kiswahili kigumu hiki ulichoandika
Huyu ndiye yule mkalimani niliyekuambia sasa.Unatumia Google translate? Kiswahili kigumu hiki ulichoandika
Mkalimani 😂Unatumia Google translate? Kiswahili kigumu hiki ulichoandika
Mkuu mbna kinaelewekaUnatumia Google translate? Kiswahili kigumu hiki ulichoandika
🤣🤣🤣Mkalimani 😂
Dah noma kweli kweliHuyu ndiye yule mkalimani niliyekuambia sasa.
Kilele ni popote pale ambapo ukifika unajikuta unapiga kelele bila ridhaa yako, wala bila ya kushurutishwa
View attachment 1760051
zina zunguka jua sio kujizungusha zenyeweTeh teh, kwa hiyo kule kunako venus jua linachomoza Magharibi kuelekea Mashariki?
wee trecta vipawatila siaminiJe wajua kwamba meli ndio chombo cha usafiri chenye mwendo mdogo kuliko vyote duniani?
🙏🙏🙏Hii Habari Ipo JF Miaka Tele Mpaka.
Mods Iungwe Kwenye Thread Kuu
Inasadikika hizi ni stori za kutungaTunadanganywa sana haya mambo ya time travel aisee. Kuna ile story ya jesh la marekani kuitumia hii teknolojia jeshini lakini majibu kua togauti na kuamua kutemana nayo, sijui nayo ina chumvi kiasi gani.
kwa iyo hawa endi chooniJe wajua hata mwanaume ana uwezo wa kubeba mimba na kujifungua
we wacha uongo kinyonga jeeJe wajua kuwa kasuku ndiye kiumbe pekee anayeweza kuona nyuma bila kugeuza shingo yake
ndio najuaJe wajua mimi ni taahira??????