Umeshaamka zimalizieDaaah, ishara 50 na huu uchovu ntaanzaje kuzimaliza na huu uchovu? Amor Unforgetable utanisummarizia hapa.
Cc Unforgetable
kwan wewe na huyu kingsman ni ndugu ?
Watakuwakwan wewe na huyu kingsman ni ndugu ?
Mbona mnafuatana kama kumbi kumbi
😂😂 yaliyomo yamo mkuuKwanini Lily?
..Mungu akunyimi vyote,..wafupi oyee..je wajua watu wafupi wana maisha marefu(long life span) kuliko warefu? Sambamba na hilo wafupi hawazeeki haraka kama warefu.
Hebu fafanua kidogo hapaRevealed!
Je,wajua kuwa tangawizi inatibu Kansa ya Damu?
Shuka chini kidogo hawajakusikia vizuri..Mungu akunyimi vyote,..wafupi oyee..
...😂😂😂Shuka chini kidogo hawajakusikia vizuri
Wangekusikia wangekuitikia tu
Hpa fafanua kidogo mkuuJe wajua mwisho wa mkunjo wa karatasi ni mikunjo saba haijalishi lnaukubwa gani
Na bado maji yanauzwa beiJe wajua mwanza ndio mkoa wenye kiasi kikubwa cha maji kuliko mkoa wowote hapa tz na singida ndio mkoa mkame kabisa
8. Kushindwa kumtoa mtu akilini mwako imamaanisha kwamba nawe upo akilini mwa mtu huyo.
Huu uongo sasaJe wajua kwamba maharage ukiweka chumvi wakati wa kuyapika hayaivi?
UongoWajua chura hanywi maji