kunahaja ya kwenda kumfanyia maombi huyo Babuyeno, kwanza amekula madesa au amedesa kwa wamasai ambao wamekuwa wakiuza vikombe kwenye minada wamasai wamekuwa wakiuza kiloriti minadani na dawa zingine nae kaiga na kujichukulia umaarufu. sasa wengine wakidesa kwake shida au inamuuma. mwizi akiibiwa mtaa mzima watajuwa kuwa kaonewa!Kwa fikra za haraka haraka kwa hizi tetesi baada ya mzee wa kaya kupata kikombe ndipo akamdhibitishia mzee mandela
mzee wakaya nae ni myu kama wengine, kwahiyo akienda kunashida gani?, au yeye ulitaka awe na mtengenezaji kikombe wakwake? tumuombee mzee wa kaya ili mungu amsaidie kama mungu mwenye mipaka anaesema atibu akiwa samunge tu ampe hekima na afungue mipaka ili wagonjwa menye kuelemewa zaidi awafuate kule waliko.Kwa fikra za haraka haraka kwa hizi tetesi baada ya mzee wa kaya kupata kikombe ndipo akamdhibitishia mzee mandela
mzee wakaya nae ni myu kama wengine, kwahiyo akienda kunashida gani?, au yeye ulitaka awe na mtengenezaji kikombe wakwake? tumuombee mzee wa kaya ili mungu amsaidie kama mungu mwenye mipaka anaesema atibu akiwa samunge tu ampe hekima na afungue mipaka ili wagonjwa menye kuelemewa zaidi awafuate kule waliko.
Nawasifu usalama wa taifa! Wamefanikiwa kutuhamisha akili!
Nawasifu usalama wa taifa! Wamefanikiwa kutuhamisha akili!
Kwa taarifa yako nikwamba siku EL ameenda na Nelson Mandela kwa Mwaisapila a.k.a.(Babu)Babu maarufu hadi south!