sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,026
Hiii ni post maalum kwajili ya watu wenye wivu na chuki ambao mafanikio ya Diamond yamegeuka kuwa mwiba kwao, Kila anachofanya sasa wanakilinganisha na nje ya nchi maana hapa ndani kakosa mpinzani.
Hii imekuwa too much sasa, Mara ya kwanza wiki chache kanunua ile cadillac toleo la 2015 zikapigwa kelele ni ya zamani na hata bakhresa anayo, bila kujua hio ilikuwa ya wasiaidizi na mabodigadi 😂😂 Majuzi hapo Diamond kaleta kitu chenyewe, Cadillac toleo jipya la 2020, kama kawaida wenye wivu na chuki wakakurupuka kusema hata uber huko marekani wanatumia 😂, hawa watu aisha yao jinsi wanavyoishi, wanavyofkiri, wanavyoongea, wanavyolala, wanachoota ni dhahiri vinaendeshwa sana na maisha ya Diamon.
Kwa nch zilizoendelea kama marekani ni kawaida gari yoyote kuikuta uber, aina yeyote ya gari duniani inaweza ikatumika kama usafiri wa uber, watu wanaichukulia uber kama huduma inayotolewa na gari zenye hadhi ya chini tu kitu ambacho si sawa, hata magari yenye hadhi za juu kama cadillac (ile kama ya Diamond 😂), Bughatti, Lamborghini, Ferrari, n.k nazo zinaweza kutumika kwenye UBER bila kikwazo chochote.
Ila cha ajabu ni kwamba yule dada wa mitandaoni kaposti cadillac ya mwaka 2015 ka sikosei ambayo ni gari ya wasaidizi na mabodigadi wa Diamond, ile cadillac ya pili kwajili ya Diamond ya toleo la mwaka jana kuikuta uber ni ndoto.
Hii imekuwa too much sasa, Mara ya kwanza wiki chache kanunua ile cadillac toleo la 2015 zikapigwa kelele ni ya zamani na hata bakhresa anayo, bila kujua hio ilikuwa ya wasiaidizi na mabodigadi 😂😂 Majuzi hapo Diamond kaleta kitu chenyewe, Cadillac toleo jipya la 2020, kama kawaida wenye wivu na chuki wakakurupuka kusema hata uber huko marekani wanatumia 😂, hawa watu aisha yao jinsi wanavyoishi, wanavyofkiri, wanavyoongea, wanavyolala, wanachoota ni dhahiri vinaendeshwa sana na maisha ya Diamon.
Kwa nch zilizoendelea kama marekani ni kawaida gari yoyote kuikuta uber, aina yeyote ya gari duniani inaweza ikatumika kama usafiri wa uber, watu wanaichukulia uber kama huduma inayotolewa na gari zenye hadhi ya chini tu kitu ambacho si sawa, hata magari yenye hadhi za juu kama cadillac (ile kama ya Diamond 😂), Bughatti, Lamborghini, Ferrari, n.k nazo zinaweza kutumika kwenye UBER bila kikwazo chochote.
Ila cha ajabu ni kwamba yule dada wa mitandaoni kaposti cadillac ya mwaka 2015 ka sikosei ambayo ni gari ya wasaidizi na mabodigadi wa Diamond, ile cadillac ya pili kwajili ya Diamond ya toleo la mwaka jana kuikuta uber ni ndoto.