Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,495
- 9,275
Wataalamu wa #Malezi wanatuambia ni muhimu kuwapa watoto elimu ya afya ya uzazi ili kuwaepusha na madhara kama kujihusisha na kujamiiana wangali wadogo, mimba za utotoni, ndoa za utotoni na kupata magonjwa ya zinaa.
Lengo kuu likiwa ni kuwawezesha watoto kujilinda na kujitunza ili waendelee kukua wakiwa na ustawi na maadili bora yatakayowafikisha kwenye ndoto na malengo yao ya baadae.
Lengo kuu likiwa ni kuwawezesha watoto kujilinda na kujitunza ili waendelee kukua wakiwa na ustawi na maadili bora yatakayowafikisha kwenye ndoto na malengo yao ya baadae.