notorious big
Member
- Jan 11, 2012
- 5
- 1
Kazi ipo 2015
Kama demokrasia ya kweli ingechukua mkondo wake ndani ya uchaguzi wa ccm ,m/kiti wa kitaifa wa chama hicho asingepata kura alizopata.Kusema m/kiti alishinda kwa kishindo kwa mazingira ya uchaguzi ulivyofanyika ccm imeongeza udhaifu.Hakukuwa na haja ya kumbeba mtu eti kuwaaibisha maadui wa chama.Chama kilichokomaa kinakuwa tayari kumwondoa kiongozi ye yote aliye dhaifu.
Sasa kulikuwa na haja gani ya kufanya uchaguzi wakati ilikuwa ni lazima kura iwe ya ndio?
Wadau wa jf siku moja
kabla ya mkutano mkuu Dodoma, mh Lowassa aliwaita wajumbe wote wa mkoa
waArusha nyumbani kwake Dodoma ili kushiriki chakula cha jioni.
Baada ya hapo aliwaomba wajumbe wa mkoa wa Arusha woote kumpigia Jakaya
kura za ndiyo. Hii ni kutokana na habari zilizozagaa kuwa lowassa
anapiga kampeni ya kura za hapana kwa jakaya. Wajumbe walisimama
kuchangia mmoja mmoja huku wakilaani hao wanaovumisha kuwa mkoa wa
Arusha umejipanga kupiga kura za hapana kwa jk, walimuhakikishia mh
Lowassa kuwa hilo halipo na kura zote za ndiyo ni kwa jk.
Mjumbe mmoja alitoa ushauri kuwa ili mkoa wa Arusha usije ukachafuliwa
ni vyema kila mkoa ukapiga kura kwenye sanduku lake. Katika hafla hiyo
alikuwepo katibu wa ccm mkoa wa Arusha Marry Chatanda. Na matokeo yake
mkoa wa Arusha haukuwa na kura za maruhani.
Nape hakuungwa mkono na Mukama,Sasa subiri kiama cha EL mbele ya Kinana.Chezea JK wewe.
Lini mtapiga kura za kuwavua uanachama magamba na pia kukubali kuacha kutumia polisi kuteka, kutesa na kuua raia wasiokuwa na hatia eti ili kuzuia mabadiliko na mawazo mbadala.
Wadau wa jf siku moja kabla ya mkutano mkuu Dodoma, mh Lowassa aliwaita wajumbe wote wa mkoa waArusha nyumbani kwake Dodoma ili kushiriki chakula cha jioni.
Baada ya hapo aliwaomba wajumbe wa mkoa wa Arusha woote kumpigia Jakaya kura za ndiyo. Hii ni kutokana na habari zilizozagaa kuwa lowassa anapiga kampeni ya kura za hapana kwa jakaya. Wajumbe walisimama kuchangia mmoja mmoja huku wakilaani hao wanaovumisha kuwa mkoa wa Arusha umejipanga kupiga kura za hapana kwa jk, walimuhakikishia mh Lowassa kuwa hilo halipo na kura zote za ndiyo ni kwa jk.
Mjumbe mmoja alitoa ushauri kuwa ili mkoa wa Arusha usije ukachafuliwa ni vyema kila mkoa ukapiga kura kwenye sanduku lake. Katika hafla hiyo alikuwepo katibu wa ccm mkoa wa Arusha Marry Chatanda. Na matokeo yake mkoa wa Arusha haukuwa na kura za maruhani.[/
Acha uongo wewe,EL hawezi shawishi JK apigiwe kura ya ndiyo,usimsafishe Laigwanani kupitia JF wewe,wasalimie MONDULI.
Huko ni kujidanganya na kujipumbaza mwenyewe! Utake usitake hata ukiuosha vipi weusi wa mkaa ni asili yake! Mkishitukiwa kubalini yaishe badala ya kujishebedua kwa kudhani wengine ni mapunguani.Wadau wa jf siku moja kabla ya mkutano mkuu Dodoma, mh Lowassa aliwaita wajumbe wote wa mkoa waArusha nyumbani kwake Dodoma ili kushiriki chakula cha jioni.
Baada ya hapo aliwaomba wajumbe wa mkoa wa Arusha woote kumpigia Jakaya kura za ndiyo. Hii ni kutokana na habari zilizozagaa kuwa lowassa anapiga kampeni ya kura za hapana kwa jakaya. Wajumbe walisimama kuchangia mmoja mmoja huku wakilaani hao wanaovumisha kuwa mkoa wa Arusha umejipanga kupiga kura za hapana kwa jk, walimuhakikishia mh Lowassa kuwa hilo halipo na kura zote za ndiyo ni kwa jk.
Mjumbe mmoja alitoa ushauri kuwa ili mkoa wa Arusha usije ukachafuliwa ni vyema kila mkoa ukapiga kura kwenye sanduku lake. Katika hafla hiyo alikuwepo katibu wa ccm mkoa wa Arusha Marry Chatanda. Na matokeo yake mkoa wa Arusha haukuwa na kura za maruhani.