Je Wajua? Mwaka ambapo Tanzania iliingia kwenye CAF RANKING kwa mara ya kwanza

hiram

JF-Expert Member
Aug 1, 2013
266
393
KUHUSU RANKING
Afrika ina nchi 54 lakini ni nchi 32 tu zipo kwenye CAF RANKING na TANZANIA ikiwemo, hii ina maana kwamba mataifa 22 ya Afrika hayamo na ni kwasababu timu za nchi hizo hazifanyi vizuri kwenye mashindano ya CAF.
Tanzania iliingia kwa mara ya kwanza kwenye CAF RANKING mwaka 2017 baada ya kuwa na alama tano(5) zilizotokana na DAR ES SALAAM YOUNG AFRICANS kuingia GROUP STAGE ya CAF CONFEDERATION CUP alama hizo zilisababisha tanzania kuwa nafasi ya 16 kwenye RANK za CAF
Kipindi hicho Group Stage ilikuwa na Timu Nane tu afrika nzima

nanebora.jpg

Hata hivyo kwa kuwa Yanga hawakuwa na usaidizi wa timu nyingine yoyote mwaka uliofuata 2018 point zikapungua na kuwa 2 nchi ikaporomoka hadi nafasi ya 24,
Mwaka 2019 YANGA wakapata usaidizi wa SIMBA TANZANIA ikawa na jumla ya alama 18 na kushika nafasi ya 12 na tukapeleka timu 4 kwenye mashindano ya CAF
Mgawanyo wa alama 18 ni kama ifuatavyo
MWAKA 2016 YANGA MAKUNDI SHIRIKISHO alama 0.5 x 2 jumla alama 1
MWAKA 2017 HAKUNA TIMU ILIYOINGIA MAKUNDI
MWAKA 2018 YANGA MAKUNDI SHIRIKISHO alama 0.5x 4 jumla alama 2
MWAKA 2019 SIMBA ROBO FAINALI KLABU BINGWA alama 3 x 5 jumla alama 15
jumla kuu alama 18
ranks.jpg

NILICHOGUNDUA
Kinyume na akina GENTAMYCINE wanachoamini kwamba Yanga miaka yote aliyoshiriki amevuna alama tatu kumbe aliwahi kuwa na alama 5 na kwa mara ya kwanza kuiingiza nchi katika RANKINGS za CAF kumbe alama hizi huwa zinapungua kadri miaka inavyoenda

 
KUHUSU RANKING
Afrika ina nchi 54 lakini ni nchi 32 tu zipo kwenye CAF RANKING na TANZANIA ikiwemo, hii ina maana kwamba mataifa 22 ya Afrika hayamo na ni kwasababu timu za nchi hizo hazifanyi vizuri kwenye mashindano ya CAF.
Tanzania iliingia kwa mara ya kwanza kwenye CAF RANKING mwaka 2017 baada ya kuwa na alama tano(5) zilizotokana na DAR ES SALAAM YOUNG AFRICANS kuingia GROUP STAGE ya CAF CONFEDERATION CUP alama hizo zilisababisha tanzania kuwa nafasi ya 16 kwenye RANK za CAF
Kipindi hicho Group Stage ilikuwa na Timu Nane tu afrika nzima

View attachment 1798465
Hata hivyo kwa kuwa Yanga hawakuwa na usaidizi wa timu nyingine yoyote mwaka uliofuata 2018 point zikapungua na kuwa 2 nchi ikaporomoka hadi nafasi ya 24,
Mwaka 2019 YANGA wakapata usaidizi wa SIMBA TANZANIA ikawa na jumla ya alama 18 na kushika nafasi ya 12 na tukapeleka timu 4 kwenye mashindano ya CAF
Mgawanyo wa alama 18 ni kama ifuatavyo
MWAKA 2016 YANGA MAKUNDI SHIRIKISHO alama 0.5 x 2 jumla alama 1
MWAKA 2017 HAKUNA TIMU ILIYOINGIA MAKUNDI
MWAKA 2018 YANGA MAKUNDI SHIRIKISHO alama 0.5x 4 jumla alama 2
MWAKA 2019 SIMBA ROBO FAINALI KLABU BINGWA alama 3 x 5 jumla alama 15
jumla kuu alama 18
View attachment 1798469
NILICHOGUNDUA
Kinyume na akina GENTAMYCINE wanachoamini kwamba Yanga miaka yote aliyoshiriki amevuna alama tatu kumbe aliwahi kuwa na alama 5 na kwa mara ya kwanza kuiingiza nchi katika RANKINGS za CAF kumbe alama hizi huwa zinapungua kadri miaka inavyoenda

Mkuu sidhani ata kama wewe pia unaelewa ulichokiandika, unamaanisha nini unaposema CAF RANKING? Una uhakika kuwa kuna nchi ambazo hazipo katika Raking ya vilabu Africa kisa hawafanyi vizuri kwenye mashindano ya kimataifa?

Hivi sasa yanga yupo nafasi ya 57 kama sijakosea katika Raking ya vilabu karibia 400, na kila ligi iliyo chini ya CAF lazima timu zake ziwekwe kwenye Ranking kulingana na ubora wao na ushiriki wa mashindano ya kimataifa kama CAF champions League na CAF confederation cup, kutokufanya vizuri darasani hakukufanyi usiwe kwenye ranking ndomana kuna mtu wa Kwanza na mwisho kwenye kila sehemu, katafute vizuri data inawezekana Una hoja nzuri ila imekosa fact
 
Mkuu sidhani ata kama wewe pia unaelewa ulichokiandika, unamaanisha nini unaposema CAF RANKING? Una uhakika kuwa kuna nchi ambazo hazipo katika Raking ya vilabu Africa kisa hawafanyi vizuri kwenye mashindano ya kimataifa?

Hivi sasa yanga yupo nafasi ya 57 kama sijakosea katika Raking ya vilabu karibia 400, na kila ligi iliyo chini ya CAF lazima timu zake ziwekwe kwenye Ranking kulingana na ubora wao na ushiriki wa mashindano ya kimataifa kama CAF champions League na CAF confederation cup, kutokufanya vizuri darasani hakukufanyi usiwe kwenye ranking ndomana kuna mtu wa Kwanza na mwisho kwenye kila sehemu, katafute vizuri data inawezekana Una hoja nzuri ila imekosa fact
Boss umekurupuka Nchi au Clabu inahitaji kuwa na alama angalau moja ili kuwa kwenyye Ranking
Yanga ni ya 57 kwa sababu ina alama 1 kwa sasa lakini timu kama Azam haimo kwa kuwa haikuwahi kuingia makundi, hivyo nchi ambazo timu zake hazijawahi kuingia makundi hazimo kwenye Ranking
Hata Yanga kama haitavuna chochote mwaka huu basi mwakani itabaki haina alama hata moja kwa kuwa Ranking huzingattia mafanikio ya miaka mitano tu na Yanga wanasafiria nyota ya 2018 group stage
 
system inayotumika kwa sasa ya 5 year ranking system ilianza 2017 ulichondika kwamba ndo mara ya kwanza tanzania kuaningia ni uongo huko nyuma simba iliwahi kuwa ya 32 ikawa ya 43 afrika ila mfumo ukabadilika
 
system inayotumika kwa sasa ya 5 year ranking system ilianza 2017 ulichondika kwamba ndo mara ya kwanza tanzania kuaningia ni uongo huko nyuma simba iliwahi kuwa ya 32 ikawa ya 43 afrika ila mfumo ukabadilika
Boss nimeattach screen shot inaonesha Tangu 2011 position za nchi mbali mbali usiwe na haraka hebu soma taratibu ui appreciate Young Africans. Mfano mwaka 2011 Morocco ilikuwa ya 8 ikiwa na alama 20 na mwaka 2020 ikawa ya 1 na point 190 sasa unaposema kabla ya 2017 ranking hazikuwepo unanichosha kaka mkubwa

ranks.jpg
 
Boss umekurupuka Nchi au Clabu inahitaji kuwa na alama angalau moja ili kuwa kwenyye Ranking
Yanga ni ya 57 kwa sababu ina alama 1 kwa sasa lakini timu kama Azam haimo kwa kuwa haikuwahi kuingia makundi, hivyo nchi ambazo timu zake hazijawahi kuingia makundi hazimo kwenye Ranking
Hata Yanga kama haitavuna chochote mwaka huu basi mwakani itabaki haina alama hata moja kwa kuwa Ranking huzingattia mafanikio ya miaka mitano tu na Yanga wanasafiria nyota ya 2018 group stage
Mkuu wewe ndio umekurupuka, inaonekana mpira umeanza kufatilia hivi majuzi, yanga amekuwa kwenye ranking miaka mingi sana ata kabla hajaingia hatua ya makundi kombe la shirikisho japokuwa namba yake ilikuwa hairidhishi, Simba pamoja na kwamba ana historia nzuri ya mashindano ya kimataifa Ila katika Ile miaka 5 ambayo alikaa bila kombe pia alikuwa kwenye ranking

Na sio kweli kwamba kupata points eti hadi uingie hatua ya makundi au robo final, kila hatua ina points zake ila kuanzia hatua ya makundi kuendelea ndo kuna points nyingi, na unavokaa muda mrefu bila kushiriki au kufika hatua nzuri points zako zinakuwa zinapungua na wanahesabu kila baada ya miaka 5, huyo Azam ambae hajawahi kuingia ata makundi Tu nae yupo kwenye ranking maana kuna vi decimal point anavuna anaposhiriki, kufanya mtihani na ukafeli ni tofauti na ambae hajafanya mtihani kabisa, zero ( 0) nayo ni namba Mzee
 
Boss nimeattach screen shot inaonesha Tangu 2011 position za nchi mbali mbali usiwe na haraka hebu soma taratibu ui appreciate Young Africans. Mfano mwaka 2011 Morocco ilikuwa ya 8 ikiwa na alama 20 na mwaka 2020 ikawa ya 1 na point 190 sasa unaposema kabla ya 2017 ranking hazikuwepo unanichosha kaka mkubwa

View attachment 1799403
Duhh mkuu unaelewa ata hiyo chat hapo inaongelea nini? Hiyo ni chat ambayo inaonesha nchi ambazo msimu ujao zitakuwa na nafasi ya kuingiza team 4 kwenye mashindano ya kimataifa, Yani CAF champions League na CAF confederation cup. Sasa sijaelewa hoja yako hapo ni ipi?

Kuanzia namba 1 Hadi 12 ndio wanaingiza team 4 na kuanzia 13 wanaingiza team 2 Tu, hiyo nafasi tuliipata tena ule msimu uliofata baada ya Simba kufika robo finali Ila tukaipoteza baada ya kufanya vibaya Kwa team zote, ambayo Simba ilitolewa na Ud Songo na Yanga kutolewa na Zesco na Hatimae points kupungua
 
Duhh mkuu unaelewa ata hiyo chat hapo inaongelea nini? Hiyo ni chat ambayo inaonesha nchi ambazo msimu ujao zitakuwa na nafasi ya kuingiza team 4 kwenye mashindano ya kimataifa, Yani CAF champions League na CAF confederation cup. Sasa sijaelewa hoja yako hapo ni ipi?

Kuanzia namba 1 Hadi 12 ndio wanaingiza team 4 na kuanzia 13 wanaingiza team 2 Tu, hiyo nafasi tuliipata tena ule msimu uliofata baada ya Simba kufika robo finali Ila tukaipoteza baada ya kufanya vibaya Kwa team zote, ambayo Simba ilitolewa na Ud Songo na Yanga kutolewa na Zesco na Hatimae points kupungua
Tatizo wewe hausomi ili uelewe unasoma ili ujibu
Chati ya mashindano ya mwakani hii hapa chini kizungu inaitwa RANKING FOR 20/21 wakati chati niliyokuwekea mwanzoni ni HISTORICAL RANKING.
Halafu hatikupeleka timu nne kwa sababu tu ya Robo fainali. Tulipeleka timu nne kwasababu robo fainali ya simba ilituvunia alama 15 na nchi ilikuwa tayari na alama 3 jumla 18 vinginevyo tungepeleka timu mbili tu
Unaweza kuingia robo fainali na point zisitoshe au kwa mfano Egypt hata timu zake zitolewe zote bado mwakani ataingiza timu nne kwasababu amelimbikiza point nyingi
 
Boss nimeattach screen shot inaonesha Tangu 2011 position za nchi mbali mbali usiwe na haraka hebu soma taratibu ui appreciate Young Africans. Mfano mwaka 2011 Morocco ilikuwa ya 8 ikiwa na alama 20 na mwaka 2020 ikawa ya 1 na point 190 sasa unaposema kabla ya 2017 ranking hazikuwepo unanichosha kaka mkubwa

View attachment 1799403
Hebu soma maneno yako hapa alafu unambie ulikuwa unamaanisha nini kwenye hiyo chat uliyo attach sio unabadirika badirika tu kama kinyonga
 
Hebu soma maneno yako hapa alafu unambie ulikuwa unamaanisha nini kwenye hiyo chat uliyo attach sio unabadirika badirika tu kama kinyonga
HEBU NGOJA NIJARIBU KU SUMMARIZE KWA MARA YA MWIISHO HOJA YANGU
1. 5 year CAF RANKING ni utaratibu unaotumika kuzipanga timu kwa mujibu wa perfomance zao kwenye mashindano ya CAF
2. Alama huanza kuhesabiwa pale timu inapoingia makundi
3. Tanzania ilianza kuhesabiwa alama hizo mwaka 2017 baada ya YANGA kuingia makundi kombe la shirikisho
4. kama unasema kila nchi imo kwenye RANKING niambie burundi ni ya ngapi au madagascar au comoro nchi zote hizo pamoja na zingine 20 hazimo kwa sababu timu zake hazijaingia makundi kwenye mashindano yoyote naomba kama hujaelewa hapa basi neda kasome makala mbali mbali mitandaoni mimi sitakujibu TENA
 
HEBU NGOJA NIJARIBU KU SUMMARIZE KWA MARA YA MWIISHO HOJA YANGU
1. 5 year CAF RANKING ni utaratibu unaotumika kuzipanga timu kwa mujibu wa perfomance zao kwenye mashindano ya CAF
2. Alama huanza kuhesabiwa pale timu inapoingia makundi
3. Tanzania ilianza kuhesabiwa alama hizo mwaka 2017 baada ya YANGA kuingia makundi kombe la shirikisho
4. kama unasema kila nchi imo kwenye RANKING niambie burundi ni ya ngapi au madagascar au comoro nchi zote hizo pamoja na zingine 20 hazimo kwa sababu timu zake hazijaingia makundi kwenye mashindano yoyote naomba kama hujaelewa hapa basi neda kasome makala mbali mbali mitandaoni mimi sitakujibu TENA
We hapo umetoa orodha ya team 12 je hiyo ranking ndio inaishia hapo? Sisi hatuongelei ranking ya nchi tunaongelea nafasi ya nchi kuingiza team zaidi ya moja kwenye mashindano ya kimataifa kwahiyo Burundi pia ipo ndio, kwani kabla ya Tanzania kukaa nafasi ya 12 unajua ilikuwa nafasi ya ngapi?

Tatizo lako ni kwamba hunastick kwenye point uliyoanza nayo, unachange kuringana na uelekeo wa upepo mkuu, na kuhusu ranking haijaanza mwaka 2017 nchi za wenzetu kama misri na Morocco wameanza kuingiza team 4 kwenye mashindano ya kimataifa tangu siku nyingi kabla ya 2017 ndomana nasema hoja yako kuna sehemu inajichanganya
 
We hapo umetoa orodha ya team 12 je hiyo ranking ndio inaishia hapo? Sisi hatuongelei ranking ya nchi tunaongelea nafasi ya nchi kuingiza team zaidi ya moja kwenye mashindano ya kimataifa kwahiyo Burundi pia ipo ndio, kwani kabla ya Tanzania kukaa nafasi ya 12 unajua ilikuwa nafasi ya ngapi?

Tatizo lako ni kwamba hunastick kwenye point uliyoanza nayo, unachange kuringana na uelekeo wa upepo mkuu, na kuhusu ranking haijaanza mwaka 2017 nchi za wenzetu kama misri na Morocco wameanza kuingiza team 4 kwenye mashindano ya kimataifa tangu siku nyingi kabla ya 2017 ndomana nasema hoja yako kuna sehemu inajichanganya
Kweli mkuu RANKING haijaanza 2017 ila TANZANIA tumeingia 2017 na tumeingizwwa na YANGAAA
jamani mbona kichwa kigumu
 
We hapo umetoa orodha ya team 12 je hiyo ranking ndio inaishia hapo? Sisi hatuongelei ranking ya nchi tunaongelea nafasi ya nchi kuingiza team zaidi ya moja kwenye mashindano ya kimataifa kwahiyo Burundi pia ipo ndio, kwani kabla ya Tanzania kukaa nafasi ya 12 unajua ilikuwa nafasi ya ngapi?

Tatizo lako ni kwamba hunastick kwenye point uliyoanza nayo, unachange kuringana na uelekeo wa upepo mkuu, na kuhusu ranking haijaanza mwaka 2017 nchi za wenzetu kama misri na Morocco wameanza kuingiza team 4 kwenye mashindano ya kimataifa tangu siku nyingi kabla ya 2017 ndomana nasema hoja yako kuna sehemu inajichanganya
Halafu kwa mwandiko huu inawezekana nabishana na mwanafunzi wa sekondari ya kata maneno kama "hunastick" ungeondoa hiyo "h" na "kuringana" ungeweka "l" badala ya "r"
 
Back
Top Bottom