Je, wajua mila na desturi vilivyochangia ongezeko kubwa la UKIMWI Kagera?

ichumu lya,
Sina utaalamu wa sheria, lakini sielewi ushahidi gani utatolewa bila mashaka kuwa vifo idadi kadhaa vilitokana hasa na serikali kutotoa tahadhari ya aina kadhaa.

1. Maisha kwa nadharia ya Darwin na hata kwa mafundisho mengine ni mchango wa elimu/maarifa, maumbile, akili, utashi na mengineyo. Na kuhusu UKIMWI kuna maadili pia. Hakuna serikali inayoweza kujiaminisha kuweza kudhibiti hayo mambo kama raia wenyewe hawajiongezi.

Vipi: Vifo vya malaria; kipindupindu; magonjwa yasiyoambukizwa n.k. serikali itafidia mangapi? hakuna serikali ya namna hiyo labda mada yako ililenga kuonyesha kuwa ngono siyo sababu kubwa lakini maelezo yako hayajitoshelezi.
 
Sijui unataka utafiti gani zaidi ya mashuhuda au niweke video za waanga ndio uamini au umekuwa Petro aliyetaka kuhakikisha makovu ya YESU. Mambo aya yamebaki kuwa siri mioyoni mwa wana KAGERA.
Anachosema huyo mdau kuhusu kuchangia wembe au kisu kwenye kunyoa au tohara ni kosa lililokuwa linafanyika ktk jamii nyingi hapa Tanzani hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000.

Swali ni kwanini huo wembe na visu viuwe zaidi mkoa wa Kagera tu?
Kuna sababu nyingine naomba uendelee na utafiti wako.

Mikoa ya kusini walikuwa wananyoa nywele watoto wakitoka jando/unyago au wakifiwa wananyolewa kama Kagera lakini hakukutokea shida ya UKIMWI kubwa kama Kagera.

Tena kusini kisu au wembe mmoja walikuwa wanatahiria watoto hata 20 huku kifaa kikiwa na damu mbichi, ile kata weka pembeni lete mwingine kata.

Hapa Tanzania kuna jamii zingine walikuwa wana azimana nyembe kunyolea ndevu na kutolea mwiba au pini kutolea mwiba.
 
Vifo havikutokea mikoa ya kusini kwa sababu chimbuko la UKIMWI ni Uganda, Sasa sijui ulitaka maambuki yatoke Uganda yaingie Lindi bila kupitia Kagera. Ndiyo maana maeneo yaliyokumbwa na maambukizi ayo kwa wingi ni Yale ya mpakani kama Kanyigo ambako kulikuweko na soko la pamoja kati ya Tanzania na Uganda(Ekikomero).

Haya maeneo mzunguko wa pesa ulikuwa mkubwa sana kama unavyojua penye pesa pana na hanasa nyingi sana, kwa mantiko iyo maeneo yote jirani na Kanyigo kama Bwanjai, Buyango, Kitobo na etc yakajikuta Kwenye mitego iyo iyo. Titicomb,
 
ulimi waupanga,
Haya huenda ndiyo badhi ya majibu sahihi ya sababu za familia nyingi huko Kagera kuathiriwa na UKIMWI.
Sio sababu ya mleta mada kwamba utamaduni wa kunyoa wanafamilia ndugu wa marehemu kwa kutumia wembe mmoja.

Ndio maana nilimkatalia na kumuuliza kusini mbona walikuwa wanafanya vivyo hivyo? Walikuwa wanachangia pia vifaa vya tohara?

Hoja muhimu ni kuwa Kagera ndiko uliko ingia UKIMWI ukitokea Uganda, na hakukuwa na elimu sahihi ya kujikinga na UKIMWI miaka ya mwanzoni ulipoingia.
 
ulimi waupanga,
Haya huenda ndiyo badhi ya majibu sahihi ya sababu za familia nyingi huko Kagera kuathiriwa na UKIMWI.
Sio sababu ya mleta mada kwamba utamaduni wa kunyoa wanafamilia ndugu wa marehemu kwa kutumia wembe mmoja.

Ndio maana nilimkatalia na kumuuliza kusini mbona walikuwa wanafanya vivyo hivyo? Walikuwa wanachangia pia vifaa vya tohara?

Hoja muhimu ni kuwa Kagera ndiko uliko ingia UKIMWI ukitokea Uganda, na hakukuwa na elimu sahihi ya kujikinga na UKIMWI miaka ya mwanzoni ulipoingia.
Iko hivi; mfano aliyekufa ni baba,anayeanza kunyolewa ni mama ambaye lazima ana maambukizi kwakuwa mumewe alikuwa anafanya nae tendo la ndoa kabla ya kuumwa. Kumbuka sio akiambukizwa leo anaumwa wiki au mwezi huu. Kinachofatia ni kunyoa watoto na msururu unaenda hivo kwa family relatives ili kuwatambulisha wafiwa. Huyu mjane aliyebaki ni next, UKIMWI unamchukua then utaratibu wa kunyoa kipara unarudi. Hivihivi damu inachangiwa sana tu. Na kuna ile sense ya ndugu ni damu moja hivo walikuwa hawana soni kuchangia vitu vya ncha kali. Sema hii ya kudai fidia haiingii akilini

Sent from my PBCM30 using Tapatalk
 
Iko hivi; mfano aliyekufa ni baba,anayeanza kunyolewa ni mama ambaye lazima ana maambukizi kwakuwa mumewe alikuwa anafanya nae tendo la ndoa kabla ya kuumwa. Kumbuka sio akiambukizwa leo anaumwa wiki au mwezi huu. Kinachofatia ni kunyoa watoto na msururu unaenda hivo kwa family relatives ili kuwatambulisha wafiwa. Huyu mjane aliyebaki ni next, UKIMWI unamchukua then utaratibu wa kunyoa kipara unarudi. Hivihivi damu inachangiwa sana tu. Na kuna ile sense ya ndugu ni damu moja hivo walikuwa hawana soni kuchangia vitu vya ncha kali. Sema hii ya kudai fidia haiingii akilini

Sent from my PBCM30 using Tapatalk
Hujanielewa.
Wote tunakubaliana utaratibu huu wa kushirikiana vitu vyenye ncha kali huchangia maambukizi.
Hoja yangu ni kuwa huu utaratibu huu haukuwa sababu kuu ya kuuwa watu wengi mkoa wa Kagera kuliko mikoa mingine.

Nikasema ipo mikoa mingine ambayo wanafanya vivyo hivyo, kushirikiana vitu vyenye ncha kali lakni hawakufa watu wengi kwa HIV kama ilivyotokea Kagera.

Hapa ikawekwa hoja Kagera tatizo lilikuwa ni mpakani na Uganda ulikotokea Ugonjwa na kuingia nchini kwetu.
Kulikuwa na muingiliano wa shughuli za kiuchumi na kijamii ndio watu waliambukizana UKIMWI ktk mazingira hayo.

Very simple explanation.
 
Titicomb, Sijaona sehemu alipodai kuwa ilikuwa ni sababu kuu, sababu kuu inajulikana. Mleta mada alisema "ilichangia". Na hakutaja ni kwa kiasi gani, sina ubishi katika hilo alikuwa sawa

Sent from my PBCM30 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom