Je wajua mambo haya? yanashangaza kwa kweli

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
1,817
4,058
_JE WAJUA HAYA MAMBO YANASHANGAZAA.._
..
*Unatoa Makamasi Kwa Kutumia Kitambaa Halafu Unarudisha Kitambaa Mfukoni, Ili Iweje?*
...'
*Unanunua Ndizi Mbivu Halaf Unaosha Vizuri Ganda La Nje Then Unamenya Unalitupa Ganda, Uliosha Ili Iweje??*
...
*Unanawa Mikono Vizuri Kwa Maji Ya Uvuguvugu Kisha Unajifuta Na Tissue Halafu Unakula Chakula Kwa Kutumia Kijiko Mwanzo Mwisho, Uliosha Ili Iweje?*
..
*Unamtongoza Mwanamke Miez Mitatu Akikukubalia Unafanya Nae Ngono Ukiwa Umevaa Kondomu Kwanini? Kama Ulijua Kuwa Mwanamke Huyo Ni Hatari Kwa Afya Yako Kwanin Ulipoteza Muda Wako Kumtongoza??*
..
*Hutaki Kusuuza Kikombe Kwa Maji Ya Bafuni Ukiamin Ni Uchafu Wakati Maji Hayo Hayo Unatumia Kupigia Mswaki, Nina Mashaka Na Wewe!*
..
*Unanawa Bila Sabuni Unapotaka Kula Halafu Unakuja Kunawa Na Sabuni Baada Ya Kula, Kwani Ulikuwa Unakula Mavi??*
...
*Anakata Mti Anategemea Karatasi Halafu Juu Ya Karatasi Anaandika "USIKATE MTI"*
..
*Unampa Mimba Binti Wa Watu Akikuambia Anamimba Yako* *Unamuuliza..Iliingiaje?? Hebu Kuwa Serious Bwana*
___
 
Mtu ananawa mikono kujiandaa kula anafika mezani na kuchukua chupa ya chumvi anaongeza . Anakamata chupa ya tomato surce . Anavuta kiti kukaa sawa , mikono ile ile aliyonawa na kufunga koki ya bomba anashika kipande cha kuku mikono yote na kuanza kunyofoa kupeleka mdomoni . Simu inaita analamba vidole anapokea anazungumza . Kisha anapiga self picha ya chakula anachokula na kuendelea kula . Sisi tukiwa wadogo tulifundishwa kula na mkono mmoja tu wa kulia sio wa kushoto
 
Mtu ananawa mikono kujiandaa kula anafika mezani na kuchukua chupa ya chumvi anaongeza . Anakamata chupa ya tomato surce . Anavuta kiti kukaa sawa , mikono ile ile aliyonawa na kufunga koki ya bomba anashika kipande cha kuku mikono yote na kuanza kunyofoa kupeleka mdomoni . Simu inaita analamba vidole anapokea anazungumza . Kisha anapiga self picha ya chakula anachokula na kuendelea kula . Sisi tukiwa wadogo tulifundishwa kula na mkono mmoja tu wa kulia sio wa kushoto
mkuu hapa umeua
 
_JE WAJUA HAYA MAMBO YANASHANGAZAA.._
..
*Unatoa Makamasi Kwa Kutumia Kitambaa Halafu Unarudisha Kitambaa Mfukoni, Ili Iweje?*
...'
*Unanunua Ndizi Mbivu Halaf Unaosha Vizuri Ganda La Nje Then Unamenya Unalitupa Ganda, Uliosha Ili Iweje??*
...
*Unanawa Mikono Vizuri Kwa Maji Ya Uvuguvugu Kisha Unajifuta Na Tissue Halafu Unakula Chakula Kwa Kutumia Kijiko Mwanzo Mwisho, Uliosha Ili Iweje?*
..
*Unamtongoza Mwanamke Miez Mitatu Akikukubalia Unafanya Nae Ngono Ukiwa Umevaa Kondomu Kwanini? Kama Ulijua Kuwa Mwanamke Huyo Ni Hatari Kwa Afya Yako Kwanin Ulipoteza Muda Wako Kumtongoza??*
..
*Hutaki Kusuuza Kikombe Kwa Maji Ya Bafuni Ukiamin Ni Uchafu Wakati Maji Hayo Hayo Unatumia Kupigia Mswaki, Nina Mashaka Na Wewe!*
..
*Unanawa Bila Sabuni Unapotaka Kula Halafu Unakuja Kunawa Na Sabuni Baada Ya Kula, Kwani Ulikuwa Unakula Mavi??*
...
*Anakata Mti Anategemea Karatasi Halafu Juu Ya Karatasi Anaandika "USIKATE MTI"*
..
*Unampa Mimba Binti Wa Watu Akikuambia Anamimba Yako* *Unamuuliza..Iliingiaje?? Hebu Kuwa Serious Bwana*
___


Tabia ya kuingia na mdomo na pua msalani wakati kuingia na kikombe au mswaki inatajwa kuwa ni hatari kwa afya yako
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom