Je wajua, kwanini kundi kubwa la watu linataka uraisi? Soma hapa..

Mkalibari

JF-Expert Member
Mar 20, 2012
659
396
Kwa haraka haraka idadi ya wataka uraisi nadhani inakaribia 15 (hapo bado sijahesabu walioko vyama pinzani) kwa hapa kwetu tz..
Kati ya hao kuna wanaonekana kua kweli wana nia yakua viongozi wa kweli lakini pia humohumo ktk list hiyo kuna kundi la makanjanja, wapigaji, wasiojielewa, wezi, wakurupukaji na wengine mamluki na vibaraka wa watu/makundi flani...

Inavyoonekana katika sababu zifuatazo inawezekana ndio maana watu hawa wengi wameonekana kuutaka uraisi kwa hari na mali..

Kwa mtazamo wangu Sababu ni:-
1.uraisi ni biashara yenye faida kubwa

2.wananchi hatujielewi nani tunamtaka na kwalipi, ndio maana hata makanjanja wamo.

3.uraisi ni tasisi ilio ingiliwa, kama ilivyotokea ktk taasisi ya bunge kwa maana watu hawajui maadili na miiko ya ikulu.

4.maraisi waliopita waliwezaje na hata kundi kubwa hili lishindwe.. Inawezekana hizi zikawa kauli zao za kujipa moyo wa kuutaka uraisi.

5.raisi aliyopo amefanya ikulu ni sehemu rahisi kwakua ndivyo alivyoongoza nchi..

6.labda kuna watu wanadhani kua wao wamezaliwa kua viongozi wa wenzao tu..

7.weka sababu yako hapa
 
Hii mada bado inahitaji mchqngo wako japo niliiweka muda mrefu, naona bado inajadilika
 
Nadhani wameona ikulu kunalipa na ni raisi sana kuongoza watu na kufanya biashara utajirike kiurahisi watakavyo wao.
 
7.wanajua kuwa nchi hii wananchi wake ni wafu hivyo hawana ulazima wa kuogopa chochote

8.wanajua watanzania walishapoteza kumbukumbu toka zaman

9.wanajua watanzania ni masons na wajinga na huchagua viongoz bila kufikiri.
 
Sizitaki mbichi hizi.huu ni msemo kila mtu kausoma hapo mwanzo katika kitabi cha darala la tatu lakini leo ni ni yale yanayofanywa hadhari na sunguru wajiisio wajanja aisee wajitokeze tutajua nani sungura mjanja anaeweza kula ndizi mbichi
 
Nadhan wengi wao ni mamluki au vibaraka wa kundi fulan na wako kwa lengo fulan(maalum),,,
 
Tangu tupate uhuru tumewahi kupata raisi mmoja tu wengine wote ni wafanya biashara wa ikulu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom