Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Agenda kubwa ni kilimo,lakini kwa Tanzania imeonekana ndio nchi pekee afrika mashariki inayoongoza kuuza ardhi yake kwa nchi za kigeni.
Source;BBC SWAHILI
Source;BBC SWAHILI
Hii ni kweli kabisa
Agenda kubwa ni kilimo,lakini kwa Tanzania imeonekana ndio nchi pekee afrika mashariki inayoongoza kuuza ardhi yake kwa nchi za kigeni.
Source;BBC SWAHILI
Tz ndio yenye eneo kubwa kuliko nchi zote za ukanda wa Eac kwa hiyo sio ajabu,mkuu jaribu kufikiria kidogo tu kabla ya kuleta ***** hapa
Sijui kaenda kuuza pande gani sasa hivi...
Tz ndio yenye eneo kubwa kuliko nchi zote za ukanda wa Eac kwa hiyo sio ajabu,mkuu jaribu kufikiria kidogo tu kabla ya kuleta ***** hapa
My president is selling his own countrymen kwa manufaa yake....maajabu ya wanadamu.
Tz ndio yenye eneo kubwa kuliko nchi zote za ukanda wa Eac kwa hiyo sio ajabu,mkuu jaribu kufikiria kidogo tu kabla ya kuleta ***** hapa
vipi kuhusu population ya Tanzania kulinganisha na nchi nyingine za EAC?
Jaribu kufikiri kidogo kabla ya kujibu *****!
Tunarudi enzi za Chief Mangungo!
Tz ndio yenye eneo kubwa kuliko nchi zote za ukanda wa Eac kwa hiyo sio ajabu,mkuu jaribu kufikiria kidogo tu kabla ya kuleta ***** hapa
Population ina decrease,nadhani ndo ma planner ndo wanachomwaminisha prezidaa