Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
''..kwa mujibu wa hoja iliyotolewa kwenye bunge la baraza la wawakilishi leo na waziri husika,ni kwamba serikali ya muungano haitoi msaada wowote wa ruzuku ili kuisaidia SMZ kujiendesha...''ITAENDELEA!
wewe jiulize tu kama 'madai ya wazanzibari ' kuhusu marekebisho ya baadhi ya vipengele vya makubaliano ya muungano ni genuine?au inakuwaje?
................stay tuned!
Nitarudi
wewe jiulize tu kama 'madai ya wazanzibari ' kuhusu marekebisho ya baadhi ya vipengele vya makubaliano ya muungano ni genuine?au inakuwaje?
................stay tuned!
Nitarudi