britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,634
- 29,999
Usishangae Kwamba hata Kesi nyingi za uhujumu uchumi na uhaini data zake za upelelezi zinatunzwa sehem moja tu kupunguza uwezo wa Kuwa sehem mbali mbali kuharibu hatua za upelelezi kama watunza kumbu kumbu wengi watakuwa si waaminifu?
Kama nakosea ntaomba kusahihishwa
Lakin pia hii ya kuitunza sehem moja madhara yake makubwa ni kwamba mtuhumiwa akiusoma mchezo
Let say Rugemalila Au Sing Seth akajua ishu hii kwanza wanafurahiiii
Pili inakuwa hatua ya pili ya Kupanga nani wa kuwafanyia kazi ama ya kuchoma office husika au Kuiba kitunzio,
Vingi vinakuwa na Back up lakin tujiulize
Madhara yapi Kama mtuhumiwa ataweza kujua njia wanazozitumia kumchunguza na vielelezo vilivyoambatanishwa?
Kwa mtu mjanja wala haitaji kuiba kila kitu anaiba kinachomwezesha kujua trend ya upelelezi wake unafanyikaje na Vielelezo gani muhim
Hapa Kwa suala la DPP tumepigwa kama si mchezo wa serikali
Kama nakosea ntaomba kusahihishwa
Lakin pia hii ya kuitunza sehem moja madhara yake makubwa ni kwamba mtuhumiwa akiusoma mchezo
Let say Rugemalila Au Sing Seth akajua ishu hii kwanza wanafurahiiii
Pili inakuwa hatua ya pili ya Kupanga nani wa kuwafanyia kazi ama ya kuchoma office husika au Kuiba kitunzio,
Vingi vinakuwa na Back up lakin tujiulize
Madhara yapi Kama mtuhumiwa ataweza kujua njia wanazozitumia kumchunguza na vielelezo vilivyoambatanishwa?
Kwa mtu mjanja wala haitaji kuiba kila kitu anaiba kinachomwezesha kujua trend ya upelelezi wake unafanyikaje na Vielelezo gani muhim
Hapa Kwa suala la DPP tumepigwa kama si mchezo wa serikali