lingamba lidodi
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 964
- 1,137
Wapinzani ni waithiopia? Haya ndiyo yanawafanya wenzenu watafute sympathy kwa WENYE nguvu duniani,kwakuwa mnawaona kama mashetani. KWA MANENO YENU YANAYOJAA SHOMBO MTATULETEA MACHAFUKO YASIYO NA LAZIMA. TUMIENI AKILI KIDOGO MLIYONAYO BHANAMagufuli akileta maendeleo bila kuwashughulikia wapinzani siwezi kumuelewa kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app