Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,216
- 7,907
1:Tuliwapelekea kuni,
2:Tuliwachotea maji,
3:Tuliwalimia mashamba,
4:Tuliwafanyia kazi za nyumbani wote walikaa quarters,
5:Rambirambi walikusanya wao,
6:Tofali tuliwafyatulia hata za kuuza,
7:Tulifanya vibarua kukuza mradi wa shule ambao hatukujua matumizi,
8:Tuliwapelekea hata vitu kama kuku, mayai na maziwa Wazazi walitupa tukawapelekea.
Mwalimu alitisha kuliko hata Polisi.
Hivi sasa vitu hivyo vimebaki historia.. Na kamwe havitoweza kujirudia.
```UKISIKIA VYA KALE NI DHAHABU HII NDO MANAAKE```
*KILA MWANZO MPYA UMETOKANA NA MWANZO ULIOISHA*
Sent using Jamii Forums mobile app
2:Tuliwachotea maji,
3:Tuliwalimia mashamba,
4:Tuliwafanyia kazi za nyumbani wote walikaa quarters,
5:Rambirambi walikusanya wao,
6:Tofali tuliwafyatulia hata za kuuza,
7:Tulifanya vibarua kukuza mradi wa shule ambao hatukujua matumizi,
8:Tuliwapelekea hata vitu kama kuku, mayai na maziwa Wazazi walitupa tukawapelekea.
Mwalimu alitisha kuliko hata Polisi.
Hivi sasa vitu hivyo vimebaki historia.. Na kamwe havitoweza kujirudia.
```UKISIKIA VYA KALE NI DHAHABU HII NDO MANAAKE```
*KILA MWANZO MPYA UMETOKANA NA MWANZO ULIOISHA*
Sent using Jamii Forums mobile app