TECNO Tanzania
Senior Member
- Jul 6, 2016
- 192
- 216
Toleo letu jipya la simu za CAMON 18 Series ndio simu janja kwa sasahivi yenye sifa kabambe. Sifa kubwa zinazopatikana katika simu za CAMON 18 Series ya kwanza ni GIMBAL CAMERA hii ni feature inawezesha video kuwa clear na steady, maana yake unaweza kurekodi video hata kama upo kwenye movement na video yako ikatoka ikiwa ipo safi bila ku “shake shake” kwa lugha ya kigeni Zaidi
Muonekano wa mbele na nyuma wa camon 18
Sifa nyengine ambayo hauwezi kukutana nayo kwenye simu janja zengine ni uwezo wa simu kuongeza uwezo wa RAM katika simu yako. Ukiwa na CAMON 18 Series unauwezo wa kuongeza uwezo wa RAM kuanzia 2GB, 3GB na 5GB.Kama simu yako inauwezo wa 4GB unauwezo wa kuongeza 2GB ikawa na jumla ya 6GB, ama kama unapendelea kuwa na RAM kubwa basi unauwezo wa kuongeza 5GB na simu yako ikawa na jumla ya 9GB RAM.
Ukitaka kuongeza RAM kwenye simu yako ya CAMON 18 Series, ingia SETTING alafu shuka chini mpaka kwenye sehemu ya SPECIAL FUNCTION, hapo utaona sehemu imeandikwa MemFusion. Ukiingia hapo utakuwa na uwezo wa kuchagua kati ya 2GB, 3GB au 5GB.
Kufahamu Zaidi wasiliana nasi kupitia namba zetu: 0744545254 au 0678035208
Muonekano wa mbele na nyuma wa camon 18
Sifa nyengine ambayo hauwezi kukutana nayo kwenye simu janja zengine ni uwezo wa simu kuongeza uwezo wa RAM katika simu yako. Ukiwa na CAMON 18 Series unauwezo wa kuongeza uwezo wa RAM kuanzia 2GB, 3GB na 5GB.Kama simu yako inauwezo wa 4GB unauwezo wa kuongeza 2GB ikawa na jumla ya 6GB, ama kama unapendelea kuwa na RAM kubwa basi unauwezo wa kuongeza 5GB na simu yako ikawa na jumla ya 9GB RAM.
Ukitaka kuongeza RAM kwenye simu yako ya CAMON 18 Series, ingia SETTING alafu shuka chini mpaka kwenye sehemu ya SPECIAL FUNCTION, hapo utaona sehemu imeandikwa MemFusion. Ukiingia hapo utakuwa na uwezo wa kuchagua kati ya 2GB, 3GB au 5GB.
Kufahamu Zaidi wasiliana nasi kupitia namba zetu: 0744545254 au 0678035208