Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?

Leo Tarehe 26 April, 2020 ni sikukuu ya Muungano, sikukuu hii ndio sikukuu muhimu kuliko hata uhuru kwasababu hii ni siku JMT ilipozaliwa. Lakini kutokana na janga hili la Corona, siku hii inaadhimishwa kimya kimya.
Naawatakia Muungano mwema huku nikisisitiza
Nautakia huu muungano wetu adhimu udumu milele na hivyo kukitokea yoyote anayetaka kuuchokoa muungano, namshauri chokochoko amchokoe pweza, muungano hutauweza kwasababu tutaulinda kwa gharama yoyote.
Nawatakia muungano mwema.
P
Pascal Mayalla kwa uzoefu wako uliotukuka huoni kuwa huu Muungano ulinzi wake unazidi kupukutika kila uchwao??

Kwa kifupi ni kwamba kizazi hiki cha sasa na kijacho Muungano kwao utakuwa ni Historia tu. Naweza kulinganisha na nyumba ya miti. Hivi sasa imeshashambuliwa na mchwa wakati wowote inaanguka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pasco nimekusoma kwa umakini hoja yako. Lakini naona kuwa unajichanganya mwenyewe na hao unaotaka waambatane na wewe pia unawachanganya hususani wale wasio na uelewa mpana katika masuala ya ulingo wa sheria;

Look my friend, "An Agreement is Contract" period! Na moja ya sifa za mkataba (Contract) ili uitwe mkabata "Ni lazima;
(a) Uwe Unaweza kutekelezeka (implementation)
(b) Uwe na nguvu zenye msukumo wa kisheria (law enforced agreement)

Na ili uweze kupata kitu kinachoweza kuitwa Mkataba (Contract), basi ni lazima kwanza kuwepo na list ya mambo ya kutekelezwa makubaliano, yaani (list of Agreement/s)

Hivyo mantiki yako ya kuwa "Not every Agreement is contract" DO NOT exist (Haipo)! Kwa maneno mengine if an agreement/s DO NOT FIT to be 'termed' under so called Contract, then; is NOT A CONTRACT. Period! You could just simply name it something el

Kwa lugha nyingine nyepesi pengine inaweza ku-apply pale tu ambapo labda kuwa mkataba (contract) wenyewe ni wa kuuziana bangi au mihadarati...kwa maana nyingine ni biashara ambayo haina UHALALI. Biashara isiyo tekekeleka kisheria. Na wala makubaliano (Agreements) yake hayawezi kubeba heshima ya kutambulika kisheria. Na wala kuweza kuwa na nguvu za msukumo wa kisheria (law enforcing agreement).

Lakini nikupe mfano mwingine; pale inapotekea umepangisha mtu chumba katika nyumba yako kwa makubaliano ya kulipwa mathalani Tshs.60,000.00 kila tarehe moja ya mwezi, kwa muda wa mkataba wa miaka miwili (including umeme na maji). Hayo ni makubaliano yenye uhalali na yenye kuweza kupata tiba, utetezi na msukumo wa kisheria endapo mkataba ama makubaliano (agreements) hayo yatakiukwa na upande mmoja wapo kati ya pande mbili zilizokuwa kwenye mkataba (contract).

Mwisho napenda kuhitimisha hoja / mada uliyoileta kwa kwa kuweka bayana pasipo shaka kuwa kilichopo Tanzania ni 'Mkataba halali wa Muungano' na si habari ya ati kuwa ni 'Makubaliano ya Muungano' tu. Kumbuka kwamba bila ya makubaliano means hakuna Mkataba (No Agreements means no Contract). Lakini si unaona mtiririko wa list ya Makubaliano (Agreements) yapo means Mkataba (Contract exist). Na yote ni mambo yanayotekelezeka kisheria. Na yote yanaweza kupata tiba na nguvu zenye msukumo wa kisheria.

Muulize Maalim Seif Sharif Hamadi kipindi fulani miaka ya nyuma alishapata kujitapa kuwa siku za mkataba feki wa Muungano zinahesabika kwani wamesha retains lawyers (Wanasheria) wazito na magwiji huko katika miji ya London na New York. Alidai wako tayari kusaidia ku challenge huo mkataba katika mahakama za kimataifa. Na waliiandikia hata ofisi za UN New York kushawishi wasiendelee kutambua hati hiyo ya Muungano.
Ni kitambo sijawasikia tena hata kutaja kuwa hiyo misheni yao iliishia wapi. Sasa hapo Pasco jiulize ndugu yangu na pia na ku challenge kuwa iwapo akina Maalim Seif walisha retain Wanasheria mashuhuri JE? unafikiri wao kiliwashinda nini? Je? hawakuona wepesi wa kutokea shimo hili (kuvunja muungano kiana na ki tekinikali) kuwa kilichomo humo ni makubaliano (agreement) tu na si MKATABA (Contract) kwa namna unayotuaminisha na kutusomesha hapa leo?

Mwisho, pengine wengi wetu hujiuliza kuwa Je? mkataba huo unaweza kutokea kuwa 'Challenge at the court of law" jibu ni jepesi nalo ni YES. Na nafikiri Zanzibar kuna jamaa kadhaa wamefungua kesi kwenye Mahakama ya Zanzibar tayari....lakini wacha niishie hapa pasipo kuchujua wala kupoteze hoja/mada.
Maalim Seif hajawahi pinga muumgano anachopinga siku zote ni muundo wa muungano.
 
Leo Tarehe 26 April, 2020 ni sikukuu ya Muungano, sikukuu hii ndio sikukuu muhimu kuliko hata uhuru kwasababu hii ni siku JMT ilipozaliwa. Lakini kutokana na janga hili la Corona, siku hii inaadhimishwa kimya kimya.
Naawatakia Muungano mwema huku nikisisitiza
Nautakia huu muungano wetu adhimu udumu milele na hivyo kukitokea yoyote anayetaka kuuchokoa muungano, namshauri chokochoko amchokoe pweza, muungano hutauweza kwasababu tutaulinda kwa gharama yoyote.
Nawatakia muungano mwema.
P
Mkuu ulisema hakuna mkataba wa muungano. Vipi hakuna henga au hata kamfuko ka rambo ka kuhifadhia koti letu pindi likitubana na kulazimika kulivua?
 
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni muungano halalali kabisa na ndio maana Hayati karume na hayati Mwalimu Nyerere walikutana ukumbi wa karimjee na kubadilishana legal documents za kuanzisha muungano huu.
Kuhusu hoja kuwa Revolutionary council ya Zanzibar wakati huo haikuratify articles of union sil kweli, tume ya Jaji Francis Nyalali ilithibitisha kuwa Revolutionary council ya Zanzibar iliratify. Na kuna baadhi ya wajumbe walitoa ushahidi juu ya hili. Mmojawapo ni Abdulhaman Babu.
Mkuu chagu wa malunde , hii ndio naiona leo. Vikao vya BLM ni kama Bunge, vina hansard. There is no any Documentary evidence ya ratification ilifanyika Zanzibar.
Happy New Year.
P
 
Kwa vile leo ni mwisho wa mwaka, nafanya tuu marejeo, niliwa kushauri nini, nini kilifanyika, na matokeo ni nini.
Kwaheri 2020, karibu 2021.
Mimi na familia yangu tawatakia Heri ya Mwaka Mpya.
Paskali
 
Wanabodi,

Wakati tukijiandaa rasmi kuingia kwenye serikali 3, tutake tusitake, lazima tutarudi nyuma kuungazia muungano wetu, na kabla hatujaingia katika serikali tatu, lazima kwanza tuwe na Mkataba rasmi wa Muungano, ndipo zifuate hizo serikali 3. Hiki kilichopo, kinachoitwa Mkataba wa Muungano, "Articles of Union", kiukweli, nasema bila kumung'unya maneno, sio Mkataba wa Muungano (contract), bali ni Makubaliano ya Muungano (Agreement) tuu.

Kuna tofauti kubwa kati ya Mkataba na Makubaliano, kila mkataba ni makubaliano, ila sio kila makubaliano ni mkataba!. Yaani "Every contract is agreement, but not every agreement is a contract!".
Kama ilivyo kwa uraia wa Tanzania, kila Mzanzibari ni Mtanzania lakini sio kila Mtanzania ni Mzanzibari.

Ili makubaliano yaitwe mkataba, ni lazima makubaliano hayo yawe na sifa kuu nne za mkataba. Kwa bahati mbaya sana, Makubaliano ya Muungano wetu, yamekosa baadhi ya sifa hizo muhimu.

Ambatana nami katika kuyachambua haya makubaliano ya muungano kwa nini ni makubaliano tuu na sio mkataba, na ni kwa nini lazima kwanza tuwe na mkataba wa muungano ndipo tuweze kwenda kwenye serikali tatu.

Kwa wale wenye nafasi, mnaweza kuanza kuyapitia haya makubaliano ya muungano, kisha tutapelekana kidogo kidogo kwa lugha rahisi kwa kila mtu kulielewa hili.

NB. Mambo mengine, yako kisheria zaidi, ila bado I stand to be corrected na "the learned brothers and sisters"

Kwa wale ambao sio wanasheria, unaweza pia kuwa mwanasheria bila kusomea chuo chochote cha sheria, bali kwa kujisomea tuu mambo ya kisheria kama hapa.
kwa kuanzia jisomee mwenyewe
  1. What is a contract?
  2. What is an agreement?
  3. What are the differences between Contacts and Agreements?
  4. Why every contract is an agreement but not all agreements are contracts
  5. Baada ya kusoma hayo hapo juu, tunaweza kwenda pamoja kujua kwa nini makubaliano ya muungano sio mkataba!
NB. Japo makubaliano haya ya muungano sio mkataba, na japo hayakuridhiwa rasmi na upande wa Zanzibar (ratification), bado ni makubaliano halali, hivyo muungano wetu ni halali na nchi yetu Tanzania ni nchi halali (de facto) ila sio halali kisheria (de jure).

Happy New Year!
Pasco.
Nawatakia maadhimisho mema ya sikukuu ya muungano.
Paskali
 
Hiki kilichopo, kinachoitwa Mkataba wa Muungano, "Articles of Union", kiukweli, nasema bila kumung'unya maneno, sio Mkataba wa Muungano (contract), bali ni Makubaliano ya Muungano (Agreement) tuu.

Kuna tofauti kubwa kati ya Mkataba na Makubaliano, kila mkataba ni makubaliano, ila sio kila makubaliano ni mkataba!. Yaani "Every contract is agreement, but not every agreement is a contract!".
Kama ilivyo kwa uraia wa Tanzania, kila Mzanzibari ni Mtanzania lakini sio kila Mtanzania ni Mzanzibari.

NB. Japo makubaliano haya ya muungano sio mkataba, na japo hayakuridhiwa rasmi na upande wa Zanzibar (ratification), bado ni makubaliano halali, hivyo muungano wetu ni halali na nchi yetu Tanzania ni nchi halali (de facto) ila sio halali kisheria (de jure).

Pasco.
Wanabodi,
Leo sikukuu ya Muungano, nafanya mapitio ya baadhi ya mabandiko ya muungano.

Japo waasisi wa muungano wetu huu adhimu ni Nyerere na Karume, muungano ni kama ndoa, kuna mtu ana proposes, mwingine anakubali, ndoa inafungwa. Kwenye muungano wetu huu adhimu, aliye proposes ni Nyerere, Karume akakubali. Nia ya Nyerere ni kwenda kwenye serikali moja. Wito kwa viongozi wetu, kama nia ya kweli ni kudumisha muungano, twende kwenye serikali moja. Tumuenzi Mwalimu Nyerere kwa kuyaishi maono yake!. Nawatakia Muungano Mwema.

Paskali
 
Wanabodi,

Wakati tukijiandaa rasmi kuingia kwenye serikali 3, tutake tusitake, lazima tutarudi nyuma kuungazia muungano wetu, na kabla hatujaingia katika serikali tatu, lazima kwanza tuwe na Mkataba rasmi wa Muungano, ndipo zifuate hizo serikali 3. Hiki kilichopo, kinachoitwa Mkataba wa Muungano, "Articles of Union", kiukweli, nasema bila kumung'unya maneno, sio Mkataba wa Muungano (contract), bali ni Makubaliano ya Muungano (Agreement) tuu.

Kuna tofauti kubwa kati ya Mkataba na Makubaliano, kila mkataba ni makubaliano, ila sio kila makubaliano ni mkataba!. Yaani "Every contract is agreement, but not every agreement is a contract!".
Kama ilivyo kwa uraia wa Tanzania, kila Mzanzibari ni Mtanzania lakini sio kila Mtanzania ni Mzanzibari.

Ili makubaliano yaitwe mkataba, ni lazima makubaliano hayo yawe na sifa kuu nne za mkataba. Kwa bahati mbaya sana, Makubaliano ya Muungano wetu, yamekosa baadhi ya sifa hizo muhimu.
eo ni Sikukuu ya Muungano, nachukua fursa hii kuutafakari Muungano wetu adhimu, kupitia hoja mbalimbali za kimuungano.

Nawatakia maadhimisho mema ya muungano na mapumziko mema.
P
 
Kwa wale ambao sio wanasheria, unaweza pia kuwa mwanasheria bila kusomea chuo chochote cha sheria, bali kwa kujisomea tuu mambo ya kisheria kama hapa.
kwa kuanzia jisomee mwenyewe
  1. What is a contract?
  2. What is an agreement?
  3. What are the differences between Contacts and Agreements?
  4. Why every contract is an agreement but not all agreements are contracts
Nipe tofauti Kati ya "makubaliano" na "mkataba"
Karibu
P
 
Wanabodi,

Wakati tukijiandaa rasmi kuingia kwenye serikali 3, tutake tusitake, lazima tutarudi nyuma kuungazia muungano wetu, na kabla hatujaingia katika serikali tatu, lazima kwanza tuwe na Mkataba rasmi wa Muungano, ndipo zifuate hizo serikali 3. Hiki kilichopo, kinachoitwa Mkataba wa Muungano, "Articles of Union", kiukweli, nasema bila kumung'unya maneno, sio Mkataba wa Muungano (contract), bali ni Makubaliano ya Muungano (Agreement) tuu.

Kuna tofauti kubwa kati ya Mkataba na Makubaliano, kila mkataba ni makubaliano, ila sio kila makubaliano ni mkataba!. Yaani "Every contract is agreement, but not every agreement is a contract!".
Kama ilivyo kwa uraia wa Tanzania, kila Mzanzibari ni Mtanzania lakini sio kila Mtanzania ni Mzanzibari.

Ili makubaliano yaitwe mkataba, ni lazima makubaliano hayo yawe na sifa kuu nne za mkataba. Kwa bahati mbaya sana, Makubaliano ya Muungano wetu, yamekosa baadhi ya sifa hizo muhimu.

Ambatana nami katika kuyachambua haya makubaliano ya muungano kwa nini ni makubaliano tuu na sio mkataba, na ni kwa nini lazima kwanza tuwe na mkataba wa muungano ndipo tuweze kwenda kwenye serikali tatu.

Kwa wale wenye nafasi, mnaweza kuanza kuyapitia haya makubaliano ya muungano, kisha tutapelekana kidogo kidogo kwa lugha rahisi kwa kila mtu kulielewa hili.

NB. Mambo mengine, yako kisheria zaidi, ila bado I stand to be corrected na "the learned brothers and sisters"

Kwa wale ambao sio wanasheria, unaweza pia kuwa mwanasheria bila kusomea chuo chochote cha sheria, bali kwa kujisomea tuu mambo ya kisheria kama hapa.
kwa kuanzia jisomee mwenyewe
  1. What is a contract?
  2. What is an agreement?
  3. What are the differences between Contacts and Agreements?
  4. Why every contract is an agreement but not all agreements are contracts
  5. Baada ya kusoma hayo hapo juu, tunaweza kwenda pamoja kujua kwa nini makubaliano ya muungano sio mkataba!
NB. Japo makubaliano haya ya muungano sio mkataba, na japo hayakuridhiwa rasmi na upande wa Zanzibar (ratification), bado ni makubaliano halali, hivyo muungano wetu ni halali na nchi yetu Tanzania ni nchi halali (de facto) ila sio halali kisheria (de jure).

Happy New Year!
Pasco.
Rejea
- Je, wajua kuwa kuna uwezekano Tanzania sio nchi halali Kisheria (De Jure) Bali ni De Factor?!
Huyu ni Makamu wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar ambaye maelezo yake yamenukuliwa na account ya Jussa.


"Wanaozungumza Mkataba mbovu, basi katika mikataba mibovu ya Tanzania, hakuna mkataba mbovu kama huu Mkataba wa Muungano; hakuna Mkataba mbovu zaidi ya huu!"



My Take
Nini itakuwa hatima ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar?

Karma ya Nyerere itamfuata Kila mtu anaetetea Utengano Hadi kwenye familia yake

Huyu naye ni kilaza tuu wa sheria kama wale vilaza wa IGA, kisheria hati za muungano sio mkataba, ni makubaliano tuu!. Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?!. tumeyasema humu 10 years back!, wakati huo yeye akimtumikia kafiri!.

Tena nilimpendekeza huyu ndiye ampokee Mwinyi kule Zanzibar ili Mwinyi aje huku kumpokea Mama ile 2025, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
Wanabodi

Hili la Mwinyi kuja huku, sio la sauti, hili ni langu tuu, maana usikute pia ni mpango ya YEYE, kumfanya huyu jamaa Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii maana
wakati nikiandika hayo, Dr. Shein alikuwa hajui, hivyo hata saa hizi ninapoandika hapa, usikute huyu jamaa wala hajajijua kuwa yeye ndiye anapaswa aje awe rais ajaye wa Zanzibar!. Hii nibkufuatia dhulma kubwa iliyokuwa ikifanyika Zanzibar kwa miaka na miaka, Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda lakini sasa kwavile Samia ni mpenda haki, msema haki na mtenda haki, for the first time in Zanzibar tangu baada ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya January 12, 1964, uchaguzi wa 2025 unaweza kuwatendea haki!.
Lakini kwa kauli hizi, huyu jamaa ni hatufai, hatufai, hatufai kabisa!.
P
 
Huyu naye ni kilaza tuu wa sheria kama wale vilaza wa IGA, kisheria hati za muungano sio mkataba, ni makubaliano tuu!. Je, Wajua Kuwa Tanzania Hatuna Mkataba wa Muungano?. Kilichopo ni Makubaliano Tuu ya Muungano?!. tumeyasema humu 10 years back!, wakati huo yeye akimtumikia kafiri!.

Tena nilimpendekeza huyu ndiye ampokee Mwinyi kule Zanzibar ili Mwinyi aje huku kumpokea Mama ile 2025, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Lakini kwa kauli hizi, huyu jamaa ni hatufai, hatufai, hatufai kabisa!.
P
Hawafai kina nani?

Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom