Uchaguzi 2020 Je, wajua kuwa Mfumo wa Serikali ya Majimbo unatumika kwenye Nchi zenye kukosa Umoja wa Kitaifa?

Tusiende huko Mbali, tuangalia County Government hapa Kenya zinavyofanya vizuri. Au hata tuwe na mfumo kama wa South Africa.

Mambo ya USA utatuambia litakapokuja swala la East Africa Federation sio leo.

Leo kwanini unatuletea mkuu wa Mkoa kama picha hana dira ya maendeleo hana uwezo wa kuamua chochote cha maendeleo, DC anawaza chama kishinde kwisha.

Sisi tunataka tujiamulie Vipaumbele vyetu wenyewe, mfano Kilimanjaro shule, umeme, Barabara, Hospital sio kipaumbele tena wao wanataka kwenda next leval wakati sisi Shinyanga Mabwawa ya maji ni kipaumbele chetu kwa ajili ya Mifugo na umwagiliaji
Hamu na nia ya maendeleo ya mikoa ya Tanzania haina tofauti na haipishani sana. Huyo RC au DC anayeletwa huko mkoani au wilayani ni Mtanzania wa kawaida na anayajua mahitaji ya mkoa husika, kama hayajui basi asaidiwe na RCC au DCC yake. Mfumo huu wa akina Lissu na Amsterdam ni mtego wa kurudisha UKABILA na UTENGANO Tanzania.
 
Waungwana,

Chunguzeni leo hii nchi zote ambazo ni kinara wa mfumo wa Serikali za majimbo (federal government) duniani ni nchi ambazo zilikuwa zinakabiliwa Sana na tatizo la kukosa umoja wa Kitaifa kutokana na Vita, udini au Kukosa lugha ya kuwaunganisha.

Marekani walikuwa mataifa huru 50. Kuwaunganisha ni lazima uwaachie baadhi ya madaraka yao, hivyo mfumo wa Serikali ya Majimbo ni sahihi kwao.

Canada wanashida ya lugha. Kuna majimbo hawajui au hawaongei kabisa kiingereza, wenyewe wanaongea kifaransa. Hawa ni muhimu kuwa na majimbo ili wawe huru kutumia lugha waipendayo.

Ujerumani walitawanyika na kuwa nchi mbili tofauti na ukuta ukajengwa Kati ya Ujerumani ya Mashariki na ile ya magharibi. Hawa ili kuwaunganisha mfumo wa Serikali ya Majimbo ulikuwa lazima ila maeneo hayo yabaki na sehemu ya utawala wake wa awali.

Nigeria imepitia mengi sana sana Kati ya waislamu wa kaskazini na wakristo wa kusini. Waafrika kusini vilevile wamepitia mengi Kuhusu ukoloni na ukaburu. Wazungu wengi walibaki Afrika Kusini baada ya Uhuru kamili mwaka 1994. Kwa misingi hiyo, unaweza kabisa kuona Nigeria na Afrika kusini walihitaji utawala wa majimbo.

Sisi Tanzania tunahitaji utawala wa majimbo ili iweje? Je, changamoto za kiuchumi, utamaduni na kisiasa zinatokana na mazingira hayo niliyoyataja hapo juu?

Wazungu hawana makabila na karibu wote wana dini au imani sawa. Kuwawekea utawala wa majimbo sio mbaya. Hapa kwetu tunajadili sio to dini Bali hata dhehebu. Kuna baadhi ya watu walisema katika uchaguzi wa 2015, Sasa ni zamu ya M-KKKT kuwa wa -RC wametawala Sana. Sasa kwenye nchi Kama hii uanze umajimbo, tunategemea nini kitokee?

Majimbo yatatutenga zaidi badala ya kutuleta pamoja. Mfumo wa Serikali za mitaa kwa Tanzania ni mzuri na toshelevu. Kama Kuna changamoto basi ni Kuboresha tuu.

Ninawashangaa Sana wapinzani, sijui wamekunywa wanzuki ya wapi. Tasilimali za kila eneo husaidia eneo hilo na maeneo mengine. Hii ni kwasababu watu wanaingiliana na wanaweza kuishi popote. Mtoto wa Kagera anapangiwa kazi Tanga na maisha yanaenda. Mtu wa Mtwara anahamia Mbeya anakuwa mnyaki maisha yanaenda.

Watanzania tuukumbatie umoja, amani na mshikamano wetu kwa kuchagua mafiga matatu hapo 28 Oktoba, 2020. Tuwaadhibu wapinzani wanaotaka kutugawa kwa kuwanyima kura.

Amani Msumari

Tanga (kwasasa Kigamboni kumtafutia Rais Magufuli kura za bonus).
Waungwana,

Chunguzeni leo hii nchi zote ambazo ni kinara wa mfumo wa Serikali za majimbo (federal government) duniani ni nchi ambazo zilikuwa zinakabiliwa Sana na tatizo la kukosa umoja wa Kitaifa kutokana na Vita, udini au Kukosa lugha ya kuwaunganisha.

Marekani walikuwa mataifa huru 50. Kuwaunganisha ni lazima uwaachie baadhi ya madaraka yao, hivyo mfumo wa Serikali ya Majimbo ni sahihi kwao.

Canada wanashida ya lugha. Kuna majimbo hawajui au hawaongei kabisa kiingereza, wenyewe wanaongea kifaransa. Hawa ni muhimu kuwa na majimbo ili wawe huru kutumia lugha waipendayo.

Ujerumani walitawanyika na kuwa nchi mbili tofauti na ukuta ukajengwa Kati ya Ujerumani ya Mashariki na ile ya magharibi. Hawa ili kuwaunganisha mfumo wa Serikali ya Majimbo ulikuwa lazima ila maeneo hayo yabaki na sehemu ya utawala wake wa awali.

Nigeria imepitia mengi sana sana Kati ya waislamu wa kaskazini na wakristo wa kusini. Waafrika kusini vilevile wamepitia mengi Kuhusu ukoloni na ukaburu. Wazungu wengi walibaki Afrika Kusini baada ya Uhuru kamili mwaka 1994. Kwa misingi hiyo, unaweza kabisa kuona Nigeria na Afrika kusini walihitaji utawala wa majimbo.

Sisi Tanzania tunahitaji utawala wa majimbo ili iweje? Je, changamoto za kiuchumi, utamaduni na kisiasa zinatokana na mazingira hayo niliyoyataja hapo juu?

Wazungu hawana makabila na karibu wote wana dini au imani sawa. Kuwawekea utawala wa majimbo sio mbaya. Hapa kwetu tunajadili sio to dini Bali hata dhehebu. Kuna baadhi ya watu walisema katika uchaguzi wa 2015, Sasa ni zamu ya M-KKKT kuwa wa -RC wametawala Sana. Sasa kwenye nchi Kama hii uanze umajimbo, tunategemea nini kitokee?

Majimbo yatatutenga zaidi badala ya kutuleta pamoja. Mfumo wa Serikali za mitaa kwa Tanzania ni mzuri na toshelevu. Kama Kuna changamoto basi ni Kuboresha tuu.

Ninawashangaa Sana wapinzani, sijui wamekunywa wanzuki ya wapi. Tasilimali za kila eneo husaidia eneo hilo na maeneo mengine. Hii ni kwasababu watu wanaingiliana na wanaweza kuishi popote. Mtoto wa Kagera anapangiwa kazi Tanga na maisha yanaenda. Mtu wa Mtwara anahamia Mbeya anakuwa mnyaki maisha yanaenda.

Watanzania tuukumbatie umoja, amani na mshikamano wetu kwa kuchagua mafiga matatu hapo 28 Oktoba, 2020. Tuwaadhibu wapinzani wanaotaka kutugawa kwa kuwanyima kura.

Amani Msumari

Tanga (kwasasa Kigamboni kumtafutia Rais Magufuli kura za bonus).

Kura za bonus???😂😂!! Vijana mna nini???
 
D by D siyo SERIKALI ZA MAJIMBO. Zaidi ni kuwa Serikali za Mitaa ni venue ya kupeleka serikali kwenye ngazi ya chini na mwanzo kabisa kwa nia na lengo la KUWASHIRIKISHA WANANCHI katika uendeshaji wa serikali yao kwa njia ya kuwa na wawakilishi viongozi at that level.
Hiki ndiyo kituko cha mwaka sasa...
Yaani ujui kua ata Federal system ndiyo inafanya D by D kwa ufasaha.....daah Ahsante Lissu kwakweli
 
Hamu na nia ya maendeleo ya mikoa ya Tanzania haina tofauti na haipishani sana. Huyo RC au DC anayeletwa huko mkoani au wilayani ni Mtanzania wa kawaida na anayajua mahitaji ya mkoa husika, kama hayajui basi asaidiwe na RCC au DCC yake. Mfumo huu wa akina Lissu na Amsterdam ni mtego wa kurudisha UKABILA na UTENGANO Tanzania.
Mkuu anasema kuchagua Upinzani ni majuto...
Yaani watu wamenyimwa Maendeleo kisa chaguo lao ni opposition... Very primitive
 
Waungwana,

Chunguzeni leo hii nchi zote ambazo ni kinara wa mfumo wa Serikali za majimbo (federal government) duniani ni nchi ambazo zilikuwa zinakabiliwa Sana na tatizo la kukosa umoja wa Kitaifa kutokana na Vita, udini au Kukosa lugha ya kuwaunganisha.

Marekani walikuwa mataifa huru 50. Kuwaunganisha ni lazima uwaachie baadhi ya madaraka yao, hivyo mfumo wa Serikali ya Majimbo ni sahihi kwao.

Canada wanashida ya lugha. Kuna majimbo hawajui au hawaongei kabisa kiingereza, wenyewe wanaongea kifaransa. Hawa ni muhimu kuwa na majimbo ili wawe huru kutumia lugha waipendayo.

Ujerumani walitawanyika na kuwa nchi mbili tofauti na ukuta ukajengwa Kati ya Ujerumani ya Mashariki na ile ya magharibi. Hawa ili kuwaunganisha mfumo wa Serikali ya Majimbo ulikuwa lazima ila maeneo hayo yabaki na sehemu ya utawala wake wa awali.

Nigeria imepitia mengi sana sana Kati ya waislamu wa kaskazini na wakristo wa kusini. Waafrika kusini vilevile wamepitia mengi Kuhusu ukoloni na ukaburu. Wazungu wengi walibaki Afrika Kusini baada ya Uhuru kamili mwaka 1994. Kwa misingi hiyo, unaweza kabisa kuona Nigeria na Afrika kusini walihitaji utawala wa majimbo.

Sisi Tanzania tunahitaji utawala wa majimbo ili iweje? Je, changamoto za kiuchumi, utamaduni na kisiasa zinatokana na mazingira hayo niliyoyataja hapo juu?

Wazungu hawana makabila na karibu wote wana dini au imani sawa. Kuwawekea utawala wa majimbo sio mbaya. Hapa kwetu tunajadili sio to dini Bali hata dhehebu. Kuna baadhi ya watu walisema katika uchaguzi wa 2015, Sasa ni zamu ya M-KKKT kuwa wa -RC wametawala Sana. Sasa kwenye nchi Kama hii uanze umajimbo, tunategemea nini kitokee?

Majimbo yatatutenga zaidi badala ya kutuleta pamoja. Mfumo wa Serikali za mitaa kwa Tanzania ni mzuri na toshelevu. Kama Kuna changamoto basi ni Kuboresha tuu.

Ninawashangaa Sana wapinzani, sijui wamekunywa wanzuki ya wapi. Tasilimali za kila eneo husaidia eneo hilo na maeneo mengine. Hii ni kwasababu watu wanaingiliana na wanaweza kuishi popote. Mtoto wa Kagera anapangiwa kazi Tanga na maisha yanaenda. Mtu wa Mtwara anahamia Mbeya anakuwa mnyaki maisha yanaenda.

Watanzania tuukumbatie umoja, amani na mshikamano wetu kwa kuchagua mafiga matatu hapo 28 Oktoba, 2020. Tuwaadhibu wapinzani wanaotaka kutugawa kwa kuwanyima kura.

Amani Msumari

Tanga (kwasasa Kigamboni kumtafutia Rais Magufuli kura za bonus).
Post yako ni sawa na tone la maji katika bahari
 
Hivi ndivyo vichwa vinavyochambua siasa uchwara za uchumi na majimbo.Mwalimu aliwahi kusema kuna wanaotaka Zanzibar ijitenge, wakifanikiwa wajue Unguja na Pemba haitakuwa moja. Na bara nayo haitakuwa moja. Sasa watu hao wameanza kujidhihirisha dhahiri. Bara na Visiwani.
 
Hata ivyo wewe mleta uzi ni shabiki ndaki ndaki wa CCM kwa hiyo hata ukiandika madudu gani , zaidi unakuwa Umeandika uhalo ,utopolo kwa sababu , akili yako imefungwa na uchama, otherwise ufungue akili yako na kuanza kuingiza vitu vipya , hapo utaonekana wa maana zaidi,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ndivyo vichwa vinavyochambua siasa uchwara za uchumi na majimbo.Mwalimu aliwahi kusema kuna wanaotaka Zanzibar ijitenge, wakifanikiwa wajue Unguja na Pemba haitakuwa moja. Na bara nayo haitakuwa moja. Sasa watu hao wameanza kujidhihirisha dhahiri. Bara na Visiwani.

Kifaurongo ninakushukuru sana kwa kumleta Kafulila. Ameongea vizuri na ameongeza nyama kwenye haya tunayoyajadili.

CHADEMA hawana Sababu yoyote ya kuwa na serikali ya majimbo zaidi ya kutaka kumuenzi muasisi wao.
 
Hata ivyo wewe mleta uzi ni shabiki ndaki ndaki wa CCM kwa hiyo hata ukiandika madudu gani , zaidi unakuwa Umeandika uhalo ,utopolo kwa sababu , akili yako imefungwa na uchama, otherwise ufungue akili yako na kuanza kuingiza vitu vipya , hapo utaonekana wa maana zaidi,

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa CCM au chama kingine sio hoja. Kudharau post yangu kwasababu ya uchama. Wewe jadili hoja zangu uone Kama Zina uzito au laa?
 
Tusiende huko Mbali, tuangalia County Government hapa Kenya zinavyofanya vizuri. Au hata tuwe na mfumo kama wa South Africa.

Mambo ya USA utatuambia litakapokuja swala la East Africa Federation sio leo.

Leo kwanini unatuletea mkuu wa Mkoa kama picha hana dira ya maendeleo hana uwezo wa kuamua chochote cha maendeleo, DC anawaza chama kishinde kwisha.

Sisi tunataka tujiamulie Vipaumbele vyetu wenyewe, mfano Kilimanjaro shule, umeme, Barabara, Hospital sio kipaumbele tena wao wanataka kwenda next leval wakati sisi Shinyanga Mabwawa ya maji ni kipaumbele chetu kwa ajili ya Mifugo na umwagiliaji
Hapo ndipo uasi utakapoanzia. Kwa jinsi ulivyoeleza, Kilimanjaro wanaona serikali ya kitaifa inawachelewesha wao wanamambo wanataka.

Swali

Waliwezaje kufikia hayo maendeleo waliyonayo sasa wakiwa chini ya serikali hii hii?

Angalizo
Mkoa wa Kilimnjaro (ambako nako ni asili yangu) uliwahi kumtuma chifu Mareale kwenda UN kudai uhuru wake.
Mkoa huo ndio anaotoka muasisi wa CHADEMA
Mkoa huo ndio anatoka mwenyekiti mwenye nguvu kuliko wote waliopata kutokea CHADEMA
Mkoa huo na jirani yake yaani Arusha ndiko sehemu CHADEMA inanguvu kuliko maeneo mengi ya nchi.

Nyie wengine na kina Lissu mmelishwa tuu matango pori. Vigogo wenyewe Wana lao la ndani kwenye kutaka serikali ya majimbo.

Ikitokea leo hii kukawa na serikali ya majimbo, Jimbo la kwanza litakalotaka kujitenga, nahofia litakuwa ni Jimbo la kaskazini.

I stand to be corrected
 
Hapo ndipo uasi utakapoanzia. Kwa jinsi ulivyoeleza, Kilimanjaro wanaona serikali ya kitaifa inawachelewesha wao wanamambo wanataka.

Swali

Waliwezaje kufikia hayo maendeleo waliyonayo sasa wakiwa chini ya serikali hii hii?

Angalizo
Mkoa wa Kikimnjaro (ambako nako ni asili yangu) uliwahi kumtuma chifu Mareale kwenda UN kudai uhuru wake.
Mkoa huo ndio anaotoka muasisi wa CHADEMA
Mkoa huo ndio anatoka mwenyekiti mwenye nguvu kuliko wote waliopata kutokea CHADEMA
Mkoa huo na jirani yake yaani Arusha ndiko sehemu CHADEMA inanguvu kuliko maeneo mengi ya nchi.

Nyie wengine na kina Lissu mmelishwa tuu matango pori. Vigogo wenyewe Wana lao la ndani kwenye kutaka serikali ya majimbo.

Ikitokea leo hii kukawa na serikali ya majimbo, Jimbo la kwanza litakalotaka kujitenga, nahofia litakuwa ni Jimbo la kaskazini.

I stand to be corrected
Kilimanjaro wana Rasilimali gani kuizidi Singida? Au Shinyanga?

Je Kilimanjaro ina Rasilimali kuizidi Songea au Mtwara?

Ukweli ni kwamba watu wa Kilimanjaro wamekuwa na Spirit ya kupenda kwao na wanaamini maendeleo yanaanzia na wewe binafsi. Sasa wakiendelea wengine tutaenda kujifunza kwao badala ya kwenda Ulaya
 
Kilimanjaro wana Rasilimali gani kuizidi Singida? Au Shinyanga?

Je Kilimanjaro ina Rasilimali kuizidi Songea au Mtwara?

Ukweli ni kwamba watu wa Kilimanjaro wamekuwa na Spirit ya kupenda kwao na wanaamini maendeleo yanaanzia na wewe binafsi. Sasa wakiendelea wengine tutaenda kujifunza kwao badala ya kwenda Ulaya
Nakuelewa sana tena sana lakini salama hii itaendelea kudumu Kama hakutakuwa na mfumo wa majimbo.

Kujifunza hata sasa kunaendelea. Mfano ni suala la usafi wa mji
 
Mfumo wa majimbo utaleta ushindani kati ya jimbo na jimbo.

Kama serikali ya jimbo fulani itazembea kwenye kuibua vyanzo vya mapato, basi watakuwa nyuma kimaendeleo.

Na pia itapunguza mzigo kwa serikali kuu. Yenyewe itaangalia mambo makubwa haswa ya mambo ya ulinzi na ushirikiano wa kimataifa hivyo kuongeza ufanisi kwa masuala makubwa makubwa.
 
Mfumo wa majimbo utaleta ushindani kati ya jimbo na jimbo.

Kama serikali ya jimbo fulani itazembea kwenye kuibua vyanzo vya mapato, basi watakuwa nyuma kimaendeleo.

Na pia itapunguza mzigo kwa serikali kuu. Yenyewe itaangalia mambo makubwa haswa ya mambo ya ulinzi na ushirikiano wa kimataifa hivyo kuongeza ufanisi kwa masuala makubwa makubwa.
Tunayo majimbo ya uchaguzi (constituency) huo ushindani ufanyike huko Kati ya jimbo na jimho
 
Tunayo majimbo ya uchaguzi (constituency) huo ushindani ufanyike huko Kati ya jimbo na jimho

Majimbo hayo hata yakibuni vyanzo vya mapato, sehemu kubwa inaenda serikali kuu.
Majimbo yawe na nguvu ya kukusanya mapato na kuendeleza jimbo husika. Sehemu fulani ya mapato hayo ndio iende serikali kuu.
 
Hapo ndipo uasi utakapoanzia. Kwa jinsi ulivyoeleza, Kilimanjaro wanaona serikali ya kitaifa inawachelewesha wao wanamambo wanataka.

Swali

Waliwezaje kufikia hayo maendeleo waliyonayo sasa wakiwa chini ya serikali hii hii?

Angalizo
Mkoa wa Kilimnjaro (ambako nako ni asili yangu) uliwahi kumtuma chifu Mareale kwenda UN kudai uhuru wake.
Mkoa huo ndio anaotoka muasisi wa CHADEMA
Mkoa huo ndio anatoka mwenyekiti mwenye nguvu kuliko wote waliopata kutokea CHADEMA
Mkoa huo na jirani yake yaani Arusha ndiko sehemu CHADEMA inanguvu kuliko maeneo mengi ya nchi.

Nyie wengine na kina Lissu mmelishwa tuu matango pori. Vigogo wenyewe Wana lao la ndani kwenye kutaka serikali ya majimbo.

Ikitokea leo hii kukawa na serikali ya majimbo, Jimbo la kwanza litakalotaka kujitenga, nahofia litakuwa ni Jimbo la kaskazini.

I stand to be corrected
Kwa nini unalisha watu uongo? Nigeria tangu vita vya Biafra vilipo malizika na wakaanzisha mfumo wa Federation mwaka 1970 hadi leo hii hatujawahi kusikia kuna jimbo huko linataka kujitenga.

Kabla ya hapo Nigeria ilikuwa na Unitary System of Government kama tuliyo nayo leo na ndio ilikuwa chachu iliyochochea ukabila na kupelekea wauwane wenyewe kwa wenyewe kabla ya kuachana na huo mfumo na kuanzisha majimbo ambayo imewapa ahueni hadi leo hii.
 
Majimbo hayo hata yakibuni vyanzo vya mapato, sehemu kubwa inaenda serikali kuu.
Majimbo yawe na nguvu ya kukusanya mapato na kuendeleza jimbo husika. Sehemu fulani ya mapato hayo ndio iende serikali kuu.
Unafikiri hayo mapato yakienda serikali kuj yanaenda kufanya Nini? Hebu tuanzie hapo
 
Waungwana,

Chunguzeni leo hii nchi zote ambazo ni kinara wa mfumo wa Serikali za majimbo (federal government) duniani ni nchi ambazo zilikuwa zinakabiliwa Sana na tatizo la kukosa umoja wa Kitaifa kutokana na Vita, udini au Kukosa lugha ya kuwaunganisha.

Marekani walikuwa mataifa huru 50. Kuwaunganisha ni lazima uwaachie baadhi ya madaraka yao, hivyo mfumo wa Serikali ya Majimbo ni sahihi kwao.

Canada wanashida ya lugha. Kuna majimbo hawajui au hawaongei kabisa kiingereza, wenyewe wanaongea kifaransa. Hawa ni muhimu kuwa na majimbo ili wawe huru kutumia lugha waipendayo.

Ujerumani walitawanyika na kuwa nchi mbili tofauti na ukuta ukajengwa Kati ya Ujerumani ya Mashariki na ile ya magharibi. Hawa ili kuwaunganisha mfumo wa Serikali ya Majimbo ulikuwa lazima ila maeneo hayo yabaki na sehemu ya utawala wake wa awali.

Nigeria imepitia mengi sana sana Kati ya waislamu wa kaskazini na wakristo wa kusini. Waafrika kusini vilevile wamepitia mengi Kuhusu ukoloni na ukaburu. Wazungu wengi walibaki Afrika Kusini baada ya Uhuru kamili mwaka 1994. Kwa misingi hiyo, unaweza kabisa kuona Nigeria na Afrika kusini walihitaji utawala wa majimbo.

Sisi Tanzania tunahitaji utawala wa majimbo ili iweje? Je, changamoto za kiuchumi, utamaduni na kisiasa zinatokana na mazingira hayo niliyoyataja hapo juu?

Wazungu hawana makabila na karibu wote wana dini au imani sawa. Kuwawekea utawala wa majimbo sio mbaya. Hapa kwetu tunajadili sio to dini Bali hata dhehebu. Kuna baadhi ya watu walisema katika uchaguzi wa 2015, Sasa ni zamu ya M-KKKT kuwa wa -RC wametawala Sana. Sasa kwenye nchi Kama hii uanze umajimbo, tunategemea nini kitokee?

Majimbo yatatutenga zaidi badala ya kutuleta pamoja. Mfumo wa Serikali za mitaa kwa Tanzania ni mzuri na toshelevu. Kama Kuna changamoto basi ni Kuboresha tuu.

Ninawashangaa Sana wapinzani, sijui wamekunywa wanzuki ya wapi. Tasilimali za kila eneo husaidia eneo hilo na maeneo mengine. Hii ni kwasababu watu wanaingiliana na wanaweza kuishi popote. Mtoto wa Kagera anapangiwa kazi Tanga na maisha yanaenda. Mtu wa Mtwara anahamia Mbeya anakuwa mnyaki maisha yanaenda.

Watanzania tuukumbatie umoja, amani na mshikamano wetu kwa kuchagua mafiga matatu hapo 28 Oktoba, 2020. Tuwaadhibu wapinzani wanaotaka kutugawa kwa kuwanyima kura.

Amani Msumari

Tanga (kwasasa Kigamboni kumtafutia Rais Magufuli kura za bonus).
If you are being paid something to write on if, please justify the payment by writing something that has been researched and noble. Do not write crap and you expect as to be baloney.
If you look at those countries that are using federal type of governance, kindly note that RSA,Zambia, Kenya, Nigeria, Angola, Germany, Australia, USA, Brazil, Argentina, Canada to mention just afew have seen governance ro be entrenched at the grassroots level to the gubernatorial positions where all through are elective positions where their loyalties are on the people that they represent. Not political apoointments which play in but rather elective and that is what we need.
 
Kwa nini unalisha watu uongo? Nigeria tangu vita vya Biafra vilipo malizika na wakaanzisha mfumo wa Federation mwaka 1970 hadi leo hii hatajawahi kusikia kuna jimbo huko linataka kujitenga.

Kabla ya hapo Nigeria ilikuwa na Unitary System of Government kama tuliyo nayo leo na ndio ilikuwa chachu iliyochochea ukabila na kupelekea wauwane wenyewe kwa wenyewe kabla ya kuachana na huo mfumo na kuanzisha majimbo ambayo imewapa ahueni hadi leo hii.
Historia ya Nigeria ni tofauti sana na sisi. Huko uasi ulikuwa juu sana ukisababishwa na udini, ukabila na uwepo wa rasilimali. Kila mtu akivutia kwake. Ili kuepusha vurugu ndio ikaamuliwa basi wapewe madaraka flani ili roho zao zitulie
If you are being paid something to write on if, please justify the payment by writing something that has been researched and noble. Do not write crap and you expect as to be baloney.
If you look at those countries that are using federal type of governance, kindly note that RSA,Zambia, Kenya, Nigeria, Angola, Germany, Australia, USA, Brazil, Argentina, Canada to mention just afew have seen governance ro be entrenched at the grassroots level to the gubernatorial positions where all through are elective positions where their loyalties are on the people that they represent. Not political apoointments which play in but rather elective and that is what we need.
My original post is in Swahili, I would expect u to comment in the same order. Anyway, since ur role model insinuated that we r uncaple of communicating in English, I will respond in English just for nothing else but to prove him wrong
 
Back
Top Bottom