Je, wajua kuwa mazungumzo yetu na Barrick ni mazungumzo tu? Mwenye uamuzi wa mwisho ni Acacia!, Kwanini hakushirikishwa?!. Je, Tutalipwa?.

Mkuu Pascal Mayalla karibu tena na hongera kwa kutukumbusha machungu.

Kwa wafuatiliaji wa taarifa za nchi za wenzetu watakubaliana na mimi kwamba kuna vyombo vya habari ambavyo kazi zao ni pamoja na kureport progress za maagizo na ahadi za viongozi wa serikali.

Sisi hapa kwetu hatuna hii kitu, waandishi wakishakaa press mkuu yeyote akatoa agizo, hawarudi tena kuandika/kutangaza juu ya utekelezaji wa agizo lile, wala hawatoi mrejesho wa kipi au hatua zipi kiongozi amechukua kwa agizo lake kutotekelezwa, na hii imesababisha kila kiongozi anatoa tamko tu.

Tuna watu kama kina Makonda (RC); show rooms Kigamboni, Kukagua Guests saa za kazi, shisha, madawa, ombaomba Dar, walotelekeza watoto, kupima tezi dume, kukusanya vijana wasio na ajira etc

Kigwangala; Umiliki Loliondo, Ardhi Monduli, MRI Mbeya (akiwa naibu Afya), majangiri, etc

Kangi; Huyu sitaandika chochote.

Jafo, kuna waziri wa kufufua Viwanda, na wengine wote, tulitakiwa tuwe na chombo cha kufuatilia maagizo yao na wapi iliishia au inaendeleaje.

Kazi unayoifanya Pasco ilitakiwa ifanywe na vyombo vikubwa vya habari, na ingesaidia sana kuzuia matamko ya kimuhemko kwa sababu mtoaji angekaa akiwaza siku ya kujibu progress ataumbuka.

Na kwa style hii ndipo tunapopigwa ngwala na watawala wetu!! Halafu tunabaki kulia lia.
 
Ishu si kulipwa TU...Ishu ni kwamba atleast tumeonyesha kuthamini RASILIMALI ZETU....tatzo sisi Watanzania ni watu wa ajabu sana Tunakaa kusubiri kuona mambo yakiharibika tu tupate sehemu ya kusemea PUMBA zetu LAKINI hatutaki kabsa kupongeza hatua zilizo chukuliwa kuzuia KUIBIWA RASILIMALI ZETU na hawa mabwana wakubwa....Tumpongeze JPM kwenye hili jamani
Hata kama BARRICK anaenda kuuza hisa zake kwa hao WACHINA hii ni kwa sababu tu MIANYA YAO YA KIJINGA KUTUPIGA SISI WATANZANIA IMESHTUKIWA angethubutu vipi kuuza HISA ZAKE kama tusingemshtukia????Hata huyo mchina atakaekuja LAZIMA tuanze nae VIZURI
Kwa miaka karibu 20 hamkushituka?? Na walioidhinisha wizi huu kwa upande wetu wapo na wanalindwa na katiba.
Bado naamini jiwe naye anafanya politiki tu na KIKI za muda. Sijaona nia ya dhati. Ni kama GPA ya 32 tu.
 
umesahau kuwa wabnuge wa upinzani waliposema sheria ni mbovu walizomewa na wakafukuzwa bungeni na ccm wakapitisha sheria ambazo leo mnaziona ni mbovu JPM akiwa mmoja wao
Eti hao ndio wanaoimbiwa na mapambio kuwa ni wazalendo.
Waliojitahidi kuwafumbua macho kuhusu yatakayotupata kwa kuwa tatizo letu ni mikataba mibovu, wakaitwa wasaliți, vibaraka. Mmoja akapigwa hata risasi na kwa tabia za visasi za ki gadhafi, akamnyima hata haki yake ya gharama za matibabu. Lakini ukweli utabaki uleule kuwa HATUTALIPWA.
Juzijuzi Propesa Kalamaganda katika bidii ya kuficha matope ya fedheha akadai eti malipo ya hao jamaa hayatokuja tangazwa.
Kwa wenzetu wa ulaya magharibi wote waloshiriki akiwamo na Jiwe, katika ghiriba hii walikuwa weshajiuzulu nyadhifa zao na kuweka hadharani maigizo yote. Lakini huku kwetu hao CCM ndio "wazalendo" kinyume KABISA maadili mema na hata AHADI za mwana TANU/CCM.
Amen.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishu si kulipwa TU...Ishu ni kwamba atleast tumeonyesha kuthamini RASILIMALI ZETU....tatzo sisi Watanzania ni watu wa ajabu sana Tunakaa kusubiri kuona mambo yakiharibika tu tupate sehemu ya kusemea PUMBA zetu LAKINI hatutaki kabsa kupongeza hatua zilizo chukuliwa kuzuia KUIBIWA RASILIMALI ZETU na hawa mabwana wakubwa....Tumpongeze JPM kwenye hili jamani
Hata kama BARRICK anaenda kuuza hisa zake kwa hao WACHINA hii ni kwa sababu tu MIANYA YAO YA KIJINGA KUTUPIGA SISI WATANZANIA IMESHTUKIWA angethubutu vipi kuuza HISA ZAKE kama tusingemshtukia????Hata huyo mchina atakaekuja LAZIMA tuanze nae VIZURI
Mkuu ripoti ya makinikia na Tanzanite ilitaja wanasiasa zaidi ya 20 ambao kwa namna moja ama nyingine wametuhujumu hadi kutufikisha hapa tulipo hasara ya zaidi Trillion 200+ je hatua gani magufuli kachukua dhidi ya hao mafisadi?? Ina maana hao mafisadi wana nguvu kiasi gani hadi waogopeke??
 
Mkuu mbona tumeshalipwa kitambo! Awamu hii tuna viongozi makini na wenye busara sana. Jambo lililoanza kwa usiri mkubwa wasingetangaza baada ya kulipwa. Mazungumzo yalifanyika kwa siri, malipo yamefanyika kwa siri, matumizi yamefanyika kwa siri na makinikia yameondoshwa kwa siri.
 
Ishu si kulipwa TU...Ishu ni kwamba atleast tumeonyesha kuthamini RASILIMALI ZETU....tatzo sisi Watanzania ni watu wa ajabu sana Tunakaa kusubiri kuona mambo yakiharibika tu tupate sehemu ya kusemea PUMBA zetu LAKINI hatutaki kabsa kupongeza hatua zilizo chukuliwa kuzuia KUIBIWA RASILIMALI ZETU na hawa mabwana wakubwa....Tumpongeze JPM kwenye hili jamani
Hata kama BARRICK anaenda kuuza hisa zake kwa hao WACHINA hii ni kwa sababu tu MIANYA YAO YA KIJINGA KUTUPIGA SISI WATANZANIA IMESHTUKIWA angethubutu vipi kuuza HISA ZAKE kama tusingemshtukia????Hata huyo mchina atakaekuja LAZIMA tuanze nae VIZURI

Ndio nyie mnaotombewa mke alafu unajisifu kwamba umechukua hatua ya kumkanya asirudie tena. ishu hapa si kuchukua hatua tu (god damn it) zinatakiwa hatua zinazotoa suluhisho.... PUMBurAVU wewe..... mtu anakutia kidole cha matako af unamgeukia na kumnyooshea kidole kumwambia aache ujinga...? next time he's gonna put dic in yo as** na huku ukiangalia...... kuchukua hatua ni pale unapomgeukia na kuhakikisha sura imechakaa kwa mkong'oto, hiyo ndo kuchukua hatua, na hatorudia......

Tufike mahali tusifie hatua zenye dhamira ya kweli baada ya kuzitathmini na kuzichambua.... viongozi wote wa sasa ni wapuuzi tu..... hakuna maendeleo watakayoleta zaidi ya kufanya mambo yale yale kwa kuwa kiongozi wao mkuu ni jiwe.
 
broo utaitwa tena na Kamati ya Bunge..
.
binafsi nimekata tamaa
nilisubiri trilioni 450 a k a bajeti ya miaka kumi ya serikali, hazikuja..
wataalamu wakasema ilikuwa ni tatizo la kuelewa kizungu hasa cha yule prof..
nikasubiri bilioni 700 a k a fedha za kuboresha uaminifu wa kibiashara a k a rushwa iliyotakatishwa, nayo hadi leo haijawasili..
.
wacha tuhamie ccm kwanza tukatumbue kodi za wananchi a k a kodi za walalahoi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maybe Chinese company/ies may takeover but it will be very unlikely for a foreign entity to do that, especially with our laws prohibiting international arbitration. Anyway, time will tell.
 
Mi nadhani mbwa akiiba nyama, anayeshurutishwa kulipa nyama ni mwenye mbwa, maana mbwa hana maana kuitwa kwenye Kikao,

Lakin tunataka kujiuliza kwani mazungumzo bado yanaendelea? Au washaondoka?
 
40 Reactions
Reply
Back
Top Bottom