Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,442
- 113,452
Wanabodi,
Salaam.
Tuendelee kuelimishana kidogo kidogo kuhusu kura ya maoni ya kuikubali hii katiba mpya au kuikataa!. Nimenote kampeni za waziwazi kuikataa zimeanza kila upande kwa wapinzani, wana UKAWA na wana harakati, huku CCM na washirika wake wakipiga kampeni ya ndio.
Pamoja na malalamiko yote kuhusu hii katiba mpya, haswa upande wa mapungufu, lakini pia kuna kaukweli kidogo, kuwa ukiilinganisha na katiba iliyopo sasa, hii katiba mpya ni much much better kuliko katiba iliyopo!, hivyo nineshauri, wale wote wenye kuhamashisha kupiga kura ya "Hapana" kwa mara zote mbili, kwa Katiba Mpya!, pia wawaelimisha wafuasi wao kuwa ile kura yao ya "Hapana" maana yake sio tuu ni kuipinga katiba mpya, bali kura yao ya "Hapana" ikipigwa mara mbili, inahesabika kama ni kura ya "Ndiyo!" Kwa Katiba iliyopo sasa iendelee!.
Hii inamaanisha ni kuwapa CCM ule uhalali wa kuendelea na ule mtindo wa kuchakachua kura za urais, unaokubalika kisiasa duniani kote!, unaitwa "the end justifies the means!", haijalishi ni mbinu gani zimetumika, mtu akiishatangazwa ameshinda urais, ndiye rais na hakuna tena mjadala!. Huu ndio msimamo wa katiba iliyopo!. Hiki ndicho kilichofanyika kwenye kuipitisha katiba mpya kule ndani ya BMK na pia ndicho kitakachofanyika kuipitisha kwenye kura za maoni, "zisipotosha!, zinatosheshwa!".
Sasa kwenye katiba mpya angalau kuna kipengele kinaruhusu, mgombea urais mwenye ushahidi usiotia shaka kuwa "hazikutosha bali zimetosheshwa" anapewa fursa kutinga mahakamani, kuhoji matokeo ya urais!, waungwana wetu hili nalo hawalitaki!, wanaipinga katiba mpya yote kama ilivyo on its totality!.
Ushauri wangu mimi ni ule ule, "if you can't get what you want, just take what you get!", yaani usipopata kile ulichotaka, bora uchukue kile kilichopatikana" kwa minaajili ya "moja shika sii kumi nenda rudi!", Watanzania tulitaka "Katiba Bora!", hii tuliyoletewa ni "Bora Katiba!", bora tuikubali, tuipigie kura za ndio, ipite tupate katiba mpya kwa hoja ya "something is better than nothing!", Katiba ya zamani ni nothing!. Watanzania tukiikataa katiba mpya!, tutaendelea na katiba ya zamani!, hivyo uamuzi wa ama tuikubali katiba mpya ama tuikatae, utokane na kipi bora katika katiba mpya na katiba ya zamani!, na sio kuipitisha au kuikataa!.
Wengi wanaoipinga katiba mpya, wanatumia kigezo cha rasimu ya Warioba ilikuwa ni better kuliko katiba mpya ya CCM, wakidhani ukiipigia kura ya hapana katiba mpya, basi tutarudi kwenye ile rasimu ya Warioba!. No way!. Tukiikataa katiba mpya, tunarudi bach pili ya back to squire one!, kwa Bunge lili lile la Katiba, kupitia kwa watu wale wale, kujirudia kufanya yale yale, hivyo kuturejesha kwenye katiba hii hii iliyopo!, wanasheria wanaita "ab initio!" yaani haikuwahi kuwepo!, hivyo tuaendelea na katiba ya zamani as if nothing happened na hapa ndipo CCM itatawala milele ya kweli!.
Nawashauri wapinzani wote wa katiba mpya, tuipinge hii "Bora Katiba!" objectively, huku tukiwaeleza kinaga ubaga, watu tunaowashawishi, kuwa kupiga kura ya "Hapana!" na "Hapana" tena, kwa "katiba Mpya, kura hiyo ya "Hapana!" maana yake ni kura ya "Ndio!" kwa katiba hii mbovu iliyopo!.
Kwa msisitizo!, Jee Wajua Kuwa Kura ya "Hapana" Kwa Katiba Mpya! Ni Kura ya "Ndiyo!" Kwa Katiba Iliyopo?!. Nikimaanisha jee mnajua kuwa katiba mpya ikikataliwa jumla, ni katiba ya zamani ndiyo inayoendelea?!.
Msingi wa hoja hii, ni kuna watu wanadhani, ukiikataa hii "Bora Katiba" ya CCM, basi ndio unaipata ile katiba ya kwenye rasimu ya Warioba!. No way!, tukiikataa hii katiba, na kuikataa tena!, tunarudishwa kwenye hii hii katiba mbovu iliyopo!.
Kwa kulizingatia hili, mimi naunga mkono juhudi zozote zinazofanywa ipite, hadi ule mpango mkakati kabambe wa "zisipotosha!, zinatosheshwa!"
Pasco.
Salaam.
Tuendelee kuelimishana kidogo kidogo kuhusu kura ya maoni ya kuikubali hii katiba mpya au kuikataa!. Nimenote kampeni za waziwazi kuikataa zimeanza kila upande kwa wapinzani, wana UKAWA na wana harakati, huku CCM na washirika wake wakipiga kampeni ya ndio.
Pamoja na malalamiko yote kuhusu hii katiba mpya, haswa upande wa mapungufu, lakini pia kuna kaukweli kidogo, kuwa ukiilinganisha na katiba iliyopo sasa, hii katiba mpya ni much much better kuliko katiba iliyopo!, hivyo nineshauri, wale wote wenye kuhamashisha kupiga kura ya "Hapana" kwa mara zote mbili, kwa Katiba Mpya!, pia wawaelimisha wafuasi wao kuwa ile kura yao ya "Hapana" maana yake sio tuu ni kuipinga katiba mpya, bali kura yao ya "Hapana" ikipigwa mara mbili, inahesabika kama ni kura ya "Ndiyo!" Kwa Katiba iliyopo sasa iendelee!.
Hii inamaanisha ni kuwapa CCM ule uhalali wa kuendelea na ule mtindo wa kuchakachua kura za urais, unaokubalika kisiasa duniani kote!, unaitwa "the end justifies the means!", haijalishi ni mbinu gani zimetumika, mtu akiishatangazwa ameshinda urais, ndiye rais na hakuna tena mjadala!. Huu ndio msimamo wa katiba iliyopo!. Hiki ndicho kilichofanyika kwenye kuipitisha katiba mpya kule ndani ya BMK na pia ndicho kitakachofanyika kuipitisha kwenye kura za maoni, "zisipotosha!, zinatosheshwa!".
Sasa kwenye katiba mpya angalau kuna kipengele kinaruhusu, mgombea urais mwenye ushahidi usiotia shaka kuwa "hazikutosha bali zimetosheshwa" anapewa fursa kutinga mahakamani, kuhoji matokeo ya urais!, waungwana wetu hili nalo hawalitaki!, wanaipinga katiba mpya yote kama ilivyo on its totality!.
Ushauri wangu mimi ni ule ule, "if you can't get what you want, just take what you get!", yaani usipopata kile ulichotaka, bora uchukue kile kilichopatikana" kwa minaajili ya "moja shika sii kumi nenda rudi!", Watanzania tulitaka "Katiba Bora!", hii tuliyoletewa ni "Bora Katiba!", bora tuikubali, tuipigie kura za ndio, ipite tupate katiba mpya kwa hoja ya "something is better than nothing!", Katiba ya zamani ni nothing!. Watanzania tukiikataa katiba mpya!, tutaendelea na katiba ya zamani!, hivyo uamuzi wa ama tuikubali katiba mpya ama tuikatae, utokane na kipi bora katika katiba mpya na katiba ya zamani!, na sio kuipitisha au kuikataa!.
Wengi wanaoipinga katiba mpya, wanatumia kigezo cha rasimu ya Warioba ilikuwa ni better kuliko katiba mpya ya CCM, wakidhani ukiipigia kura ya hapana katiba mpya, basi tutarudi kwenye ile rasimu ya Warioba!. No way!. Tukiikataa katiba mpya, tunarudi bach pili ya back to squire one!, kwa Bunge lili lile la Katiba, kupitia kwa watu wale wale, kujirudia kufanya yale yale, hivyo kuturejesha kwenye katiba hii hii iliyopo!, wanasheria wanaita "ab initio!" yaani haikuwahi kuwepo!, hivyo tuaendelea na katiba ya zamani as if nothing happened na hapa ndipo CCM itatawala milele ya kweli!.
Nawashauri wapinzani wote wa katiba mpya, tuipinge hii "Bora Katiba!" objectively, huku tukiwaeleza kinaga ubaga, watu tunaowashawishi, kuwa kupiga kura ya "Hapana!" na "Hapana" tena, kwa "katiba Mpya, kura hiyo ya "Hapana!" maana yake ni kura ya "Ndio!" kwa katiba hii mbovu iliyopo!.
Kwa msisitizo!, Jee Wajua Kuwa Kura ya "Hapana" Kwa Katiba Mpya! Ni Kura ya "Ndiyo!" Kwa Katiba Iliyopo?!. Nikimaanisha jee mnajua kuwa katiba mpya ikikataliwa jumla, ni katiba ya zamani ndiyo inayoendelea?!.
Msingi wa hoja hii, ni kuna watu wanadhani, ukiikataa hii "Bora Katiba" ya CCM, basi ndio unaipata ile katiba ya kwenye rasimu ya Warioba!. No way!, tukiikataa hii katiba, na kuikataa tena!, tunarudishwa kwenye hii hii katiba mbovu iliyopo!.
Kwa kulizingatia hili, mimi naunga mkono juhudi zozote zinazofanywa ipite, hadi ule mpango mkakati kabambe wa "zisipotosha!, zinatosheshwa!"
Wasalaam.[video=youtube_share;Wf6EtEmxSOw]http://youtu.be/Wf6EtEmxSOw[/video]
Pasco.