Je, wajua kuwa hatma ya CHADEMA ipo mikononi kwa Lwakatare? Baada ya CHADEMA kumwaga ugali, Lwaka akiamua kumwaga mboga, CHADEMA kwishney!

Nimemuona P kwenye mada za CHADEMA. Utabiri wa mabaya. P ulituasa tuepuke prophecy of doom. Tusiwaase wengine huku sisi tunatenda.

Hakuna kosa kubwa tutalifanya kama kuombea CHADEMA ife. Hiyo laana haitakaa ituache, itakula nasi sahani moja. Kama tulikubali NCCR na CUF vinyongwe, tusikubali haya kwa CHADEMA.

Makala nyingi za kuiponda CHADEMA na kukiombea mabaya hata kama sio sehemu ya zile project zina ukakasi na kuacha maswali mengi kuliko majibu.

Je, kuna personal issues nje ya politik?

Jr
Mkuu Mshana Jr, kwanza heshima mbele, hakuna mtu yoyote anayeiombea Chadema ife, kosa langu ni kuwa mkweli too much.

Humu jf tuna members wa aina 3, tuna
  1. Simple minds, discuss people, wao badala ya kujadili hoja iliyo mezani, hawa watamjadili mtoa hoja.
  2. Ordinary minds, discuss events, hawa watadili matukio, nini kimetokea etc
  3. Great minds discuss ideas, hawa watajadili hoja iliyo mezani.
Hivyo naomba keep on being free, kujadili watu, matukio na hoja, katika mabandiko yangu, ukiweza kujibu hoja, nitashukuru, ila hata ukinijadili, sikulaumu na likes nakutwangia.
Ukipata muda karibu ujibu hoja za bandiko hili.

Asante
P
 
Update kuhusu angalizo la uchangiaji.

Japo jf was ment to be a home of great thinkers,
Lakini humu jf tuna members wa aina 3, tuna
  1. Simple minds, discuss people, wao badala ya kujadili hoja iliyo mezani, hawa watamjadili mtoa hoja.
  2. Ordinary minds, discuss events, hawa watadili matukio, nini kimetokea etc
  3. Great minds discuss ideas, hawa watajadili hoja iliyo mezani.
Mtu kuwa simple mind, ordinary mind na great minds ni the way one comprehend and thinking capacity, nimesema Lwakatare ameishika hatma ya Chadema mkononi mwake. Kwa vile Chadema wao wamemwaga ugali yeye akiamua Kumwaga mboga, Chadema keisha!.

Ma simple minds watamdiscus mleta mada, Pasco na Lwakatare, hivi na vile, sii lolote sii chochote, that is their level.

Ordinary mind wao wata discuss event ya Lwakatare kutimuliwa na atamwaga vipi mboga, atakakata tawi alilokalia etc.

Great minds wata discuss hiyo hatma ya Chadema, jee ni kweli ikijulikana Chadema kinakufa?, hiyo hatma yenyewe ya Chadema Lwakatare aliyo mayo ni nini haswa?, does have merits hadi Chadema ife, etc

Hivyo be free kujadili kwa kadri ya uwezo wako na kundi lako keep on being free, kujadili watu, matukio na hoja, katika mabandiko yangu, ukiweza kujibu hoja, nitashukuru, ila hata ukinijadili, sikulaumu na likes nakutwangia.
Ukipata muda karibu ujibu hoja za bandiko hili.

Asante
P
 
Update kuhusu angalizo la uchangiaji.

Japo jf was ment to be a home of great thinkers,
Lakini humu jf tuna members wa aina 3, tuna
  1. Simple minds, discuss people, wao badala ya kujadili hoja iliyo mezani, hawa watamjadili mtoa hoja.
  2. Ordinary minds, discuss events, hawa watadili matukio, nini kimetokea etc
  3. Great minds discuss ideas, hawa watajadili hoja iliyo mezani.
Mtu kuwa simple mind, ordinary mind na great minds ni the way one comprehend and thinking capacity, nimesema Lwakatare ameishika hatma ya Chadema mkononi mwake. Kwa vile Chadema wao wamemwaga ugali yeye akiamua Kumwaga mboga, Chadema keisha!.

Ma simple minds watamdiscus mleta mada, Pasco na Lwakatare, hivi na vile, sii lolote sii chochote, that is their level.

Ordinary mind wao wata discuss event ya Lwakatare kutimuliwa na atamwaga vipi mboga, atakakata tawi alilokalia etc.

Great minds wata discuss hiyo hatma ya Chadema, jee ni kweli ikijulikana Chadema kinakufa?, hiyo hatma yenyewe ya Chadema Lwakatare aliyo mayo ni nini haswa?, does have merits hadi Chadema ife, etc

Hivyo be free kujadili kwa kadri ya uwezo wako na kundi lako keep on being free, kujadili watu, matukio na hoja, katika mabandiko yangu, ukiweza kujibu hoja, nitashukuru, ila hata ukinijadili, sikulaumu na likes nakutwangia.
Ukipata muda karibu ujibu hoja za bandiko hili.

Asante
P
Naunga mkono hoja. Mara nyingi mtu akianzisha mada au kuchangia kitu ni watu wachache sana wanaoweza kuchangia hoja. Wengi wetu ni kuporomosha matusi nk. Hata huwa nafikiria kuwa sisi siyo 'critical/intelligent thinkers' maana hata hatujui namna ya kuchangia hoja, bali tukiona upande wetu unasifiwa tunaunga mkono na kama unakosolewa tunaporomosha matusi. Kufanya hivi siyo kujali hoja, bali ni kuonyesha ushabiki tulionao. Kuchangia hoja ni kujadili hoja, tena kwa lugha ya staha bila kumuudhi mchangiaji mwingine 'personally' bali ni kutiririka na kushusha points kama ilivyokuwa (enzi hizo) kwenye debates kama: jadili kuwa 'baiskeli ni bora kuliko kuwa na radio' - upande wa wanaoona kuwa na baiskeli ni bora watashusha points na upande wa wanaoona kuwa na radio ni bora watashusha points pia, na hakuna upande utakaoanza kuwatukana wa upande mwingine. Mijadala yetu yote inapaswa iwe hivyo.
 
Tangu mmeingia madarakani jitihada za kuiua chadema zimefanikiwa kwa asilimia ngapi hadi sasa? Umewahi kujiuliza baada ya wale wabunge wa cdm kuhamia ccm uchaguzi ukarudiwa ni kwanini militumia nguvu kubwa kiasi kile na kulazimisha kuwatangaza kuwa wabunge? imagine mbunge yuleyule akiwa cdm anapewa kura ila akihama tu anaacha kura zote cdm unajua ni kwanini? kwa sababu cdm siyo Mbowe wala Lwakatare bali ni wananchi. Angalia mnavyotumia nguvu kubwa hadi kubambikia watu kesi, hii dhambi mnayofanya ya kuwatesa viongozi na wafuasi/wanachama wa chadema au wapinzani wa ccm ndo inayowamalizeni, wananchi wanaona na wanajua kinachoendelea na hawapendi uonevu wenu. Kwa taarifa yako mnaweza kuamua kuwafunga jela viongozi wote wa cdm hadi wabunge na madiwani cdm ikakosa wagombea au mkaamua kukifuta chama kabisa na bado kwenye kura mkatumia nguvu ileile ya kulazimisha ushindi.
 
Tangu mmeingia madarakani jitihada za kuiua chadema zimefanikiwa kwa asilimia ngapi hadi sasa? Umewahi kujiuliza baada ya wale wabunge wa cdm kuhamia ccm uchaguzi ukarudiwa ni kwanini militumia nguvu kubwa kiasi kile na kulazimisha kuwatangaza kuwa wabunge? imagine mbunge yuleyule akiwa cdm anapewa kura ila akihama tu anaacha kura zote cdm unajua ni kwanini? kwa sababu cdm siyo Mbowe wala Lwakatare bali ni wananchi. Angalia mnavyotumia nguvu kubwa hadi kubambikia watu kesi, hii dhambi mnayofanya ya kuwatesa viongozi wa chadema ndo inayowamalizeni, wananchi wanaona na wanajua kinachoendelea na hawapendi uonevu wenu. Kwa taarifa yako mnaweza kuamua kuwafunga jela viongozi wote wa cdm hadi wabunge na madiwani cdm ikakosa wagombea au mkaamua kukifuta chama kabisa na bado kwenye kura mkatumia nguvu ileile ya kulazimisha ushindi.
Hizi kauli za kutabiri kifo cha CHADEMA zimeanza siku nyingi, na zinatokana na watu kuweka mwendelezo wa "vifo" vya vyama vya upinzani hapa nchini, ukianzia na chama cha NCCR-MAGEUZI.

NCCR-MAGEUZI ilikumbwa na "ngumi" mfululizo za CCM na mwisho "ikafa". Kifo hicho kilitokea sambamba na kuporomoka toka chama kikuu cha upinzani, hadi kilivyo sasa hivi, chama chenye mbunge mmoja na ndie mwenyekiti. Lakini pia sasa hivi kinajinasibisha kama CCM B, sawa na mwelekeo wa TLP ambayo imefilisika kabisa, kiasi cha kumpitisha Magufuli kuwa mgombea urais. Lakini hii ni "biashara" kama ambavyo mwenyekiti wake, Lyatonga Mrema, ameiita.

CUF, chama kilichoirithi NCCR-MAGEUZI kuwa chama kikuu cha upinzani, nacho kilipokea dozi kubwa ya "ngumi" za CCM, na kwa kweli tunaweza kusema nacho "kimekufa". Tofauti iliyopo hapa ni kuwa CUF haijafa, ila kuna MUTATION imetokea.

Kwanza ilitokea BINARY DIVISION, ambapo tulipata CUF LIPUMBA na CUF MAALIM. CUF LIPUMBA nayo ikawa CCM B, na CUF MAALIM ikaimeza ACT-WAZALENDO, na kubeba jina hilo katika hiyo mutation. Kwa maoni yangu, CUF MAALIM a.k.a. ACT-WAZALENDO, siyo rahisi kufa. Chama hiki kina viasili vinavyofanana na vile vya CHADEMA, na hivyo vyote siyo rahisi kufa.

Nasema siyo rahisi kufa, sijasema haiwezekani kufa.

CUF MAALIM ina CONSTITUANCE, ina watu ambao wamekula yamini kukilinda. Wanaangalia afya yake daima. Kina chimbuko katika mikinzano ya kisiasa huko Zanzibar. Pia kina misimamo imara ya upinzani. Hakiyumbishwi. Sifa hizi za mwisho zinakifanya chama chochote cha upinzani kuungwa mkono angalau na sehemu ya wananchi wa kawaida.

ACT-WAZALENDO kimeundwa ofisini, waliokiunda ni "waasi" kutoka CHADEMA. Kimsingi ACT haina Constituance, japo mwasisi mmoja, Zitto, amejaribu kuichomeka Kigoma kama Constituance ya ACT. Muasisi mwingine, Kitila Mkumbo, "aliasi" tena mara ya pili na kumwacha Solemba Zitto. Chama cha aina hii, chenye viasili vinavyofanana na vile vya NCCR-MAGEUZI, ni rahisi "kuuwawa".

Kabla ya "kuchinjwa", ACT imemezwa na CUF MAALIM, hapo tutarajie mabadiliko katika political landscape. CHADEMA na ACT ni heavyweights ambao wanahitaji kushirikiana.

CCM ya leo, ambayo huitwa pia CCM ya Magufuli, ilishaacha miaka mingi kuwa chama cha siasa. Ilishakufa kisiasa. Inapumulia mashine ya Dola. Magufuli alipoingia madarakani, ameigeuza kuwa SACCOS yake binafsi. Hata ile semblance tuu ya chama kama taasisi iliyokuwepo zamani, sasa haipo. Ushahidi kamilifu wa hili ni sakata la makatibu Wakuu wastaafu, Kinana na Makamba. Licha ya kuwa na misimamo binafsi, waliandika waraka ambao ungeweza kusaidia kuirejesha CCM kwenye reli. Lakini kwa kuwa CCM siyo taasisi tena, kauli zao binafsi ndio zikasikilizwa, na bila hata chembe ya aibu, zinarushwa hewani.

Hapakuwa na taratibu zozote za kitaasisi kuufanyia kazi waraka huo. SACCOS hii ya Magufuli, inaendeshwa kwa Majungu ya akina Musiba na wengine. Maamuzi yaliyotolewa dhidi ya makatibu hawa wakuu ni ya kimagufulimagufuli. Salama ya akina Nape, Ngeleja, Makamba Jr na Makamba Sr ikawa kulamba buti za Magufuli tu, si vinginevyo. Hiyo ndiyo SACCOS ya Magufuli inayoitwa CCM.

Huko ni kufilisika asilimia mia moja
 
Wanabodi,
Kuna vitu mimi huwa navisema humu na watu wanavichukulia poa, ila vikija kutokea ndipo wenye uelewa wanaanza kuelewa nilikuwa nazungumzia nini.

Hivi ni baadhi ya vitu nilivyovisema na kweli vikaja kutokea
  1. Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums
  2. Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam - JamiiForums
  3. Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii - JamiiForums
  4. Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? - JamiiForums
  5. Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba - JamiiForums
Sasa ninachokisema leo ni kuwa sio wengi wanajua kuwa hatma ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Wilfred Lwakatare?. Chadema imepakua ugali kwa kila mtu kupewa ugali kwenye sahani yake, Kamati Kuu ya Chadema, wakaamua kuipindua sahani ya ugali wa Lakwatare, na kuumwaga ugali ili Lwakatare asile, huku wengine wote wakiwa na ugali wao kwenye sahani zao, wakisubiri bakuli la mboga litetwe, huku haku mwenye kumbukumbu ni nani aliyetumwa jikoni kwenda kuleta bakuli ya mboga, watu wapakuliwe ndipo wale!.

Mara aliyeibuka jikoni na bakuli ya mboga ni Mhe. Wilfred Lwakatare!, Amelishika bakuli la mboga za moto kwa mikono yake, huku mikono yake inaungua lakini amestahimili na kuvumilia huku akitokwa machozi, jasho na damu, kwa ajili ya Chadema!. Kabla hajalitua bakuli la mboga ili watu watu wapakue wote wale, akandua kuwa ugali wake umemwagwa!.

Wakati wanamwaga ugali wake, hakuna aliyekumbuka kuwa anayesubiriwa kuleta mboga watu wale ni Lwakatare, hivyo sasa wote wamenyamaza kimya kusubiria Lwakatare, atafanya nini baada ya kubaini Chadema wamemwaga ugali wake, huku mwenye bakuli ya mboga ni yeye!, sasa hatima ya kama Chadema watakula ama hawali, ikomikononi mwa Lwakatare, baada ya wao kumwaga ugali, Lwakarare akiamua kumwaga mboga, then wanakosa wote!, Chadema ndio inakuwa kwishney!.

Ili uelewa mimi nazungumza nini, ni lazima kwanza ukijue kisa, ambacho ndio bakuli ya mboga.
Ngoma ilianzia Star TV tarehe 30 Dec, 2012
On Star TV: Zitto, Nchemba na Mtatiro ktk mjadala wa kutathmini ya Siasa Tanzania 2012 - JamiiForums

Ndipo hatimaye movie ikapandishwa you tube na hapa ukazungumzia mwanzo mwisho
Chadema wafichua mtandao wa ugaidi - JamiiForums
Mwigulu Nchemba amekiri kuhusika na movie ya Lwekatare - ashikwe na kuunganishwa kesi hiyo - JamiiForums

Kisa chenyewe ni hiki.
Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare - JamiiForums

Chadema ni chama cha ajabu sana!, kinayo katiba yake ambayo inaainisha taratibu zote za nidhamu ndani ya chama, kwanini hazifuatwi na badala yake mnakuja kuwatimua wanachama wenu kihuni huni tuu!, why?!. Kwanini CC ya Chadema inatoa maamuzi ya kihuni na kidikiteta bila kufuata sheria, taratibu na kanuni?.

Kuna watu unaweza kuwatimua kihuni huni tuu kwa kuwafukuza kama mbwa, lakini sio Lwakatare, na sababu ni moja tuu, ameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu!.

Chadema inapaswa kumyenyekea Lawakatare na kwasababu aliishatangaza kustaafu, Chadema walipaswa kumuacha tuu astaafu kwa amani, haswa kwa kuzingatia wamemfukuza wakati ambao Bunge hili limebakiza wiki3 tuu limalizike rasmi.

Umuhimu wa Lwakatare kuachwa tuu hata afanye nini au aseme nini, ni kumzuia asije kufungua mdomo wake!.

Ikitokea Lwakatare akaamua kufungua mdomo wake na kuyataja madudu ya ajabu Chadema inayoyafanya nyuma ya pazia, ikiwemo ile video mimi niliyoita hapo kuwa "bonafide genuine", Chadema Watakuwa mgeni wa nani?.
Mtu kama Lwakatare anafukuzwaje?.

Kufuatia hiyo video niliyoitaja kule juu, nilipokuta na Msajili wa vyama alisema
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...! - JamiiForums

Sasa hiyo endapo katika bandiko hilo, ndilo bakuli la mboga, Lwakatare amelishikilia, licha ya yeye kunwagiwa ugali wake, anaweza kuamua yeye ndio akose na kulala njaa, hivyo atalitua tuu hilo bakuli la mboga na wengine wote wale, na yeye tuu ndio akafie mbele, ila akiamua kuonyesheana ubabe, na mambo yanakuwa ni ubabe ubabe tuu, maadamu wamemwaka ugali, na yeye anamwaga mboga...
yatakuwa mengine!.

Lets keep watching tukisubiria Lwakatare ataamua nini, ila amini usiamini, hatima ya Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Lwakatare!, kubali, kataa!.

Paskali

Update kuhusu angalizo la uchangiaji.

Japo jf was ment to be a home of great thinkers,
Lakini humu jf tuna members wa aina 3, tuna
  1. Simple minds, discuss people, wao badala ya kujadili hoja iliyo mezani, hawa watamjadili mtoa hoja.
  2. Ordinary minds, discuss events, hawa watadili matukio, nini kimetokea etc
  3. Great minds discuss ideas, hawa watajadili hoja iliyo mezani.
Mtu kuwa simple mind, ordinary mind na great minds ni the way one comprehend and thinking capacity, nimesema Lwakatare ameishika hatma ya Chadema mkononi mwake. Kwa vile Chadema wao wamemwaga ugali yeye akiamua Kumwaga mboga, Chadema keisha!.

Ma simple minds watamdiscus mleta mada, Pasco na Lwakatare, hivi na vile, sii lolote sii chochote, that is their level.

Ordinary mind wao wata discuss event ya Lwakatare kutimuliwa na atamwaga vipi mboga, atakakata tawi alilokalia etc.

Great minds wata discuss hiyo hatma ya Chadema, jee ni kweli ikijulikana Chadema kinakufa?, hiyo hatma yenyewe ya Chadema Lwakatare aliyo mayo ni nini haswa?, does have merits hadi Chadema ife, etc

Hivyo be free kujadili kwa kadri ya uwezo wako na kundi lako keep on being free, kujadili watu, matukio na hoja, katika mabandiko yangu, ukiweza kujibu hoja, nitashukuru, ila hata ukinijadili, sikulaumu na likes nakutwangia.
Ukipata muda karibu ujibu hoja za bandiko hili.

Asante
P
Ahsante kwa kutuletea mjadala nzuri na wenye kuhitaji dhana Pana na tofauti katika kuujadili.

Kuna sehemu umeandika simple mind discussing people, great mind discuss ideas.
Tuanze na simple mind , kwa hiyo Lwakatare Ni mtu uliyeamua tumjadili kuhusu hatma ya CHADEMA ambayo Ni taasisi definitely inabaki kuwa philosophy ya simple mind ,Chadema has nothing to loose nothing to discuss about him fullstop.
Hii inachagizwa na uwepo wa watu watendaji wengi walio Kama yeye, mwache sense ili taasisi ikue.

Wapo waliosema akiondoka Makamba sijui Nani ataoweza Dar es Salaam. Ghafla Makonda huyooooo na mji umetulia Mara Mia ya ilivyokuwa kwa Makamba Tena huenda Makonda amemzidi Makamba maeneo mengi tu.
Haya nimeyasema kukumbusha maneno yako kwamba simple mind discuss people. Ukiwajidili watu Mara zote utapoteza uelekeo. Chadema hatuna sababu ya kumjadili Lwaka kwa sababu tuta justify philosophy ya simple mind discuss . Chadema never and will never deal with Lwakatare.

Turudi kwenye kitengo Cha Lwakatare, na video ya Lwaka Kama unavyomtaja. Unadhani Dr. Slaa hajui Nani kamtuma Lwakatare?????
Mbona kaenda CCM na kapewa ubalozi , huu so ndio muda nzuri wa yeye aliyekuwa karibu mkuu na mtendaji wa chama kuungana na LWAKATARE ili waibomoe CDM.

Alishindwa Slaa master politician mwenye Kila Siri ya Chama ,ndio atusumbue lwakare meeeen wewe Paskali sio huyu ninayekujua.


Secondly, great mind discussing ideas.
CDM Ni great mind na kunajadiliwa maswala mtambuka sio watu binafsi.CDM Ina zalisha watu Sina tofauti kulingana na mahitaji ya muda husika. Ukimya wa Chadema na uimara wao wa kuvuka vihunzi una reflect kuwa Taasisi ya CHADEMA imeimarika Mara dufu baada ya uchaguzi wa 2015.

*Information quality and security
Alipokuaja Lowassa , tulibezwa tumeacha asset na kuichukua liability Ila ukweli yule mzee ndiye mchawi wao.
Kwa jicho lililopevuka utakubaliana na Mimi Chadema iliimarika zaidi kwenye idara ya ulinzi na usalama wa chama kuliko siku zote alizowahi kuhudumu Lwakare na wale vijana wa ulinzi wa chama.
Paskali hivi hujui impact ya Apson Mwang'onda kwenye Chadema ??????
Hata Kama amefariki lakini I hope He did something to them na ndipo Lwakatare akapoteza ushawishi kwa Nini chama kimtegemee kwa idara.

Nadhani since then mpaka uchaguzi unaisha idara ya intelligence ya CHADEMA ilibaki na ujuzi mkubwa Sana.
Na hili linathibitishwa na vihunzi walivyokutana navyo Chadema na kuvishinda.

Taasisi imekuwa imara zaidi kuliko siku zote,kwa sababu they quality information about sabotage and they know how to handle it. Ndio maana nasema we are great thinker and discussing issues not personalities.

Endelea kuamini Chadema inakufa, halafu wenzio tunatoboa na hapo ndio utajua hujui kwa Ni CCM wanamshambulia Mbowe na sio kuinadi ilani yao na mgombea wao.

Ukinijibu nitarudi, ahsante kwa mada mujarabu bro Paskali.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,
Kuna vitu mimi huwa navisema humu na watu wanavichukulia poa, ila vikija kutokea ndipo wenye uelewa wanaanza kuelewa nilikuwa nazungumzia nini.

Hivi ni baadhi ya vitu nilivyovisema na kweli vikaja kutokea
  1. Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums
  2. Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam - JamiiForums
  3. Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii - JamiiForums
  4. Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? - JamiiForums
  5. Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba - JamiiForums
Sasa ninachokisema leo ni kuwa sio wengi wanajua kuwa hatma ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Wilfred Lwakatare?. Chadema imepakua ugali kwa kila mtu kupewa ugali kwenye sahani yake, Kamati Kuu ya Chadema, wakaamua kuipindua sahani ya ugali wa Lakwatare, na kuumwaga ugali ili Lwakatare asile, huku wengine wote wakiwa na ugali wao kwenye sahani zao, wakisubiri bakuli la mboga litetwe, huku haku mwenye kumbukumbu ni nani aliyetumwa jikoni kwenda kuleta bakuli ya mboga, watu wapakuliwe ndipo wale!.

Mara aliyeibuka jikoni na bakuli ya mboga ni Mhe. Wilfred Lwakatare!, Amelishika bakuli la mboga za moto kwa mikono yake, huku mikono yake inaungua lakini amestahimili na kuvumilia huku akitokwa machozi, jasho na damu, kwa ajili ya Chadema!. Kabla hajalitua bakuli la mboga ili watu watu wapakue wote wale, akandua kuwa ugali wake umemwagwa!.

Wakati wanamwaga ugali wake, hakuna aliyekumbuka kuwa anayesubiriwa kuleta mboga watu wale ni Lwakatare, hivyo sasa wote wamenyamaza kimya kusubiria Lwakatare, atafanya nini baada ya kubaini Chadema wamemwaga ugali wake, huku mwenye bakuli ya mboga ni yeye!, sasa hatima ya kama Chadema watakula ama hawali, ikomikononi mwa Lwakatare, baada ya wao kumwaga ugali, Lwakarare akiamua kumwaga mboga, then wanakosa wote!, Chadema ndio inakuwa kwishney!.

Ili uelewa mimi nazungumza nini, ni lazima kwanza ukijue kisa, ambacho ndio bakuli ya mboga.
Ngoma ilianzia Star TV tarehe 30 Dec, 2012
On Star TV: Zitto, Nchemba na Mtatiro ktk mjadala wa kutathmini ya Siasa Tanzania 2012 - JamiiForums

Ndipo hatimaye movie ikapandishwa you tube na hapa ukazungumzia mwanzo mwisho
Chadema wafichua mtandao wa ugaidi - JamiiForums
Mwigulu Nchemba amekiri kuhusika na movie ya Lwekatare - ashikwe na kuunganishwa kesi hiyo - JamiiForums

Kisa chenyewe ni hiki.
Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare - JamiiForums

Chadema ni chama cha ajabu sana!, kinayo katiba yake ambayo inaainisha taratibu zote za nidhamu ndani ya chama, kwanini hazifuatwi na badala yake mnakuja kuwatimua wanachama wenu kihuni huni tuu!, why?!. Kwanini CC ya Chadema inatoa maamuzi ya kihuni na kidikiteta bila kufuata sheria, taratibu na kanuni?.

Kuna watu unaweza kuwatimua kihuni huni tuu kwa kuwafukuza kama mbwa, lakini sio Lwakatare, na sababu ni moja tuu, ameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu!.

Chadema inapaswa kumyenyekea Lawakatare na kwasababu aliishatangaza kustaafu, Chadema walipaswa kumuacha tuu astaafu kwa amani, haswa kwa kuzingatia wamemfukuza wakati ambao Bunge hili limebakiza wiki3 tuu limalizike rasmi.

Umuhimu wa Lwakatare kuachwa tuu hata afanye nini au aseme nini, ni kumzuia asije kufungua mdomo wake!.

Ikitokea Lwakatare akaamua kufungua mdomo wake na kuyataja madudu ya ajabu Chadema inayoyafanya nyuma ya pazia, ikiwemo ile video mimi niliyoita hapo kuwa "bonafide genuine", Chadema Watakuwa mgeni wa nani?.
Mtu kama Lwakatare anafukuzwaje?.

Kufuatia hiyo video niliyoitaja kule juu, nilipokuta na Msajili wa vyama alisema
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...! - JamiiForums

Sasa hiyo endapo katika bandiko hilo, ndilo bakuli la mboga, Lwakatare amelishikilia, licha ya yeye kunwagiwa ugali wake, anaweza kuamua yeye ndio akose na kulala njaa, hivyo atalitua tuu hilo bakuli la mboga na wengine wote wale, na yeye tuu ndio akafie mbele, ila akiamua kuonyesheana ubabe, na mambo yanakuwa ni ubabe ubabe tuu, maadamu wamemwaka ugali, na yeye anamwaga mboga...
yatakuwa mengine!.

Lets keep watching tukisubiria Lwakatare ataamua nini, ila amini usiamini, hatima ya Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Lwakatare!, kubali, kataa!.

Paskali

Update kuhusu angalizo la uchangiaji.

Japo jf was ment to be a home of great thinkers,
Lakini humu jf tuna members wa aina 3, tuna
  1. Simple minds, discuss people, wao badala ya kujadili hoja iliyo mezani, hawa watamjadili mtoa hoja.
  2. Ordinary minds, discuss events, hawa watadili matukio, nini kimetokea etc
  3. Great minds discuss ideas, hawa watajadili hoja iliyo mezani.
Mtu kuwa simple mind, ordinary mind na great minds ni the way one comprehend and thinking capacity, nimesema Lwakatare ameishika hatma ya Chadema mkononi mwake. Kwa vile Chadema wao wamemwaga ugali yeye akiamua Kumwaga mboga, Chadema keisha!.

Ma simple minds watamdiscus mleta mada, Pasco na Lwakatare, hivi na vile, sii lolote sii chochote, that is their level.

Ordinary mind wao wata discuss event ya Lwakatare kutimuliwa na atamwaga vipi mboga, atakakata tawi alilokalia etc.

Great minds wata discuss hiyo hatma ya Chadema, jee ni kweli ikijulikana Chadema kinakufa?, hiyo hatma yenyewe ya Chadema Lwakatare aliyo mayo ni nini haswa?, does have merits hadi Chadema ife, etc

Hivyo be free kujadili kwa kadri ya uwezo wako na kundi lako keep on being free, kujadili watu, matukio na hoja, katika mabandiko yangu, ukiweza kujibu hoja, nitashukuru, ila hata ukinijadili, sikulaumu na likes nakutwangia.
Ukipata muda karibu ujibu hoja za bandiko hili.

Asante
P
Hivi Mh Lwakatare bado tu hajamwaga hiyo mboga?
 
Uzuri
Mkuu Mshana Jr, kwanza heshima mbele, hakuna mtu yoyote anayeiombea Chadema ife, kosa langu ni kuwa mkweli too much.

Humu jf tuna members wa aina 3, tuna
  1. Simple minds, discuss people, wao badala ya kujadili hoja iliyo mezani, hawa watamjadili mtoa hoja.
  2. Ordinary minds, discuss events, hawa watadili matukio, nini kimetokea etc
  3. Great minds discuss ideas, hawa watajadili hoja iliyo mezani.
Hivyo naomba keep on being free, kujadili watu, matukio na hoja, katika mabandiko yangu, ukiweza kujibu hoja, nitashukuru, ila hata ukinijadili, sikulaumu na likes nakutwangia.
Ukipata muda karibu ujibu hoja za bandiko hili.

Asante
P
Uzuri ni kwamba jf nzima inajua mshana kakuzidi IQ na unamuogopa.
 
Mkuu Mshana Jr, kwanza heshima mbele, hakuna mtu yoyote anayeiombea Chadema ife, kosa langu ni kuwa mkweli too much.

Humu jf tuna members wa aina 3, tuna
  1. Simple minds, discuss people, wao badala ya kujadili hoja iliyo mezani, hawa watamjadili mtoa hoja.
  2. Ordinary minds, discuss events, hawa watadili matukio, nini kimetokea etc
  3. Great minds discuss ideas, hawa watajadili hoja iliyo mezani.
Hivyo naomba keep on being free, kujadili watu, matukio na hoja, katika mabandiko yangu, ukiweza kujibu hoja, nitashukuru, ila hata ukinijadili, sikulaumu na likes nakutwangia.
Ukipata muda karibu ujibu hoja za bandiko hili.

Asante
P


Una maoni gani bwana paskali kama tu Bukoba ambapo ndio jikoni kabisa mboga inapomwagikia ndio hivi!!
 
Wanabodi,
Kuna vitu mimi huwa navisema humu na watu wanavichukulia poa, ila vikija kutokea ndipo wenye uelewa wanaanza kuelewa nilikuwa nazungumzia nini.

Hivi ni baadhi ya vitu nilivyovisema na kweli vikaja kutokea
  1. Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums
  2. Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam - JamiiForums
  3. Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii - JamiiForums
  4. Je, Wajua Bunge linaweza kutoa azimio batili? CAG yuko kikatiba. Je, Bunge lina uwezo kutopokea ripoti ya CAG? - JamiiForums
  5. Je, Wajua Bunge linaweza kuvunjwa Siku 7 Zijazo?. lisipopokea ripoti ya CAG, Bunge linavunjwa kwa mujibu wa Katiba - JamiiForums
Sasa ninachokisema leo ni kuwa sio wengi wanajua kuwa hatma ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Wilfred Lwakatare?. Chadema imepakua ugali kwa kila mtu kupewa ugali kwenye sahani yake, Kamati Kuu ya Chadema, wakaamua kuipindua sahani ya ugali wa Lakwatare, na kuumwaga ugali ili Lwakatare asile, huku wengine wote wakiwa na ugali wao kwenye sahani zao, wakisubiri bakuli la mboga litetwe, huku haku mwenye kumbukumbu ni nani aliyetumwa jikoni kwenda kuleta bakuli ya mboga, watu wapakuliwe ndipo wale!.

Mara aliyeibuka jikoni na bakuli ya mboga ni Mhe. Wilfred Lwakatare!, Amelishika bakuli la mboga za moto kwa mikono yake, huku mikono yake inaungua lakini amestahimili na kuvumilia huku akitokwa machozi, jasho na damu, kwa ajili ya Chadema!. Kabla hajalitua bakuli la mboga ili watu watu wapakue wote wale, akandua kuwa ugali wake umemwagwa!.

Wakati wanamwaga ugali wake, hakuna aliyekumbuka kuwa anayesubiriwa kuleta mboga watu wale ni Lwakatare, hivyo sasa wote wamenyamaza kimya kusubiria Lwakatare, atafanya nini baada ya kubaini Chadema wamemwaga ugali wake, huku mwenye bakuli ya mboga ni yeye!, sasa hatima ya kama Chadema watakula ama hawali, ikomikononi mwa Lwakatare, baada ya wao kumwaga ugali, Lwakarare akiamua kumwaga mboga, then wanakosa wote!, Chadema ndio inakuwa kwishney!.

Ili uelewa mimi nazungumza nini, ni lazima kwanza ukijue kisa, ambacho ndio bakuli ya mboga.
Ngoma ilianzia Star TV tarehe 30 Dec, 2012
On Star TV: Zitto, Nchemba na Mtatiro ktk mjadala wa kutathmini ya Siasa Tanzania 2012 - JamiiForums

Ndipo hatimaye movie ikapandishwa you tube na hapa ukazungumzia mwanzo mwisho
Chadema wafichua mtandao wa ugaidi - JamiiForums
Mwigulu Nchemba amekiri kuhusika na movie ya Lwekatare - ashikwe na kuunganishwa kesi hiyo - JamiiForums

Kisa chenyewe ni hiki.
Kasoro kubwa katika video ya Lwakatare - JamiiForums

Chadema ni chama cha ajabu sana!, kinayo katiba yake ambayo inaainisha taratibu zote za nidhamu ndani ya chama, kwanini hazifuatwi na badala yake mnakuja kuwatimua wanachama wenu kihuni huni tuu!, why?!. Kwanini CC ya Chadema inatoa maamuzi ya kihuni na kidikiteta bila kufuata sheria, taratibu na kanuni?.

Kuna watu unaweza kuwatimua kihuni huni tuu kwa kuwafukuza kama mbwa, lakini sio Lwakatare, na sababu ni moja tuu, ameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu!.

Chadema inapaswa kumyenyekea Lawakatare na kwasababu aliishatangaza kustaafu, Chadema walipaswa kumuacha tuu astaafu kwa amani, haswa kwa kuzingatia wamemfukuza wakati ambao Bunge hili limebakiza wiki3 tuu limalizike rasmi.

Umuhimu wa Lwakatare kuachwa tuu hata afanye nini au aseme nini, ni kumzuia asije kufungua mdomo wake!.

Ikitokea Lwakatare akaamua kufungua mdomo wake na kuyataja madudu ya ajabu Chadema inayoyafanya nyuma ya pazia, ikiwemo ile video mimi niliyoita hapo kuwa "bonafide genuine", Chadema Watakuwa mgeni wa nani?.
Mtu kama Lwakatare anafukuzwaje?.

Kufuatia hiyo video niliyoitaja kule juu, nilipokuta na Msajili wa vyama alisema
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!... Endapo ...! - JamiiForums

Sasa hiyo endapo katika bandiko hilo, ndilo bakuli la mboga, Lwakatare amelishikilia, licha ya yeye kunwagiwa ugali wake, anaweza kuamua yeye ndio akose na kulala njaa, hivyo atalitua tuu hilo bakuli la mboga na wengine wote wale, na yeye tuu ndio akafie mbele, ila akiamua kuonyesheana ubabe, na mambo yanakuwa ni ubabe ubabe tuu, maadamu wamemwaka ugali, na yeye anamwaga mboga...
yatakuwa mengine!.

Lets keep watching tukisubiria Lwakatare ataamua nini, ila amini usiamini, hatima ya Chadema, iko mikononi mwa Mhe. Lwakatare!, kubali, kataa!.

Paskali

Update kuhusu angalizo la uchangiaji.

Japo jf was ment to be a home of great thinkers,
Lakini humu jf tuna members wa aina 3, tuna
  1. Simple minds, discuss people, wao badala ya kujadili hoja iliyo mezani, hawa watamjadili mtoa hoja.
  2. Ordinary minds, discuss events, hawa watadili matukio, nini kimetokea etc
  3. Great minds discuss ideas, hawa watajadili hoja iliyo mezani.
Mtu kuwa simple mind, ordinary mind na great minds ni the way one comprehend and thinking capacity, nimesema Lwakatare ameishika hatma ya Chadema mkononi mwake. Kwa vile Chadema wao wamemwaga ugali yeye akiamua Kumwaga mboga, Chadema keisha!.

Ma simple minds watamdiscus mleta mada, Pasco na Lwakatare, hivi na vile, sii lolote sii chochote, that is their level.

Ordinary mind wao wata discuss event ya Lwakatare kutimuliwa na atamwaga vipi mboga, atakakata tawi alilokalia etc.

Great minds wata discuss hiyo hatma ya Chadema, jee ni kweli ikijulikana Chadema kinakufa?, hiyo hatma yenyewe ya Chadema Lwakatare aliyo mayo ni nini haswa?, does have merits hadi Chadema ife, etc

Hivyo be free kujadili kwa kadri ya uwezo wako na kundi lako keep on being free, kujadili watu, matukio na hoja, katika mabandiko yangu, ukiweza kujibu hoja, nitashukuru, ila hata ukinijadili, sikulaumu na likes nakutwangia.
Ukipata muda karibu ujibu hoja za bandiko hili.

Asante
P
[/QUO
Mkuu umetumia Nguvu kubwa sana unnecessarily.
Tangu utoke kupata adhabu ya wajumbe ni kama sana kudadavua mambo.Ivi umewai fikiri CDM ice Leo Tanzania itakuwaje?
 
Back
Top Bottom