Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,701
- 36,119
Zamani enzi za ujinga tulikuwa tukiaminishwa ukiwa kipanga then ukisoma PGM (GEOGRAPHY, PHYSICS & MATHEMATICS) ndio ticket pekee ya kuwa rubani.
Vyuo vingi au karibu vyuo vyote vya urubani hawatoi degree ya urubani. Urubani huweza kusomewa na mtu yeyote ilimradi tu awe na akili timamu, idea kidogo ya mathematics na kuweza kumudu gharama za malipo ya ada na field.
Na level ya urubani hupanda kulingana na flights ulizofanya na short courses ulizofanya. Kama huna hela mwanao hata akiwa kipanga vipi kwa zama hizi mwambie kabisa asiote ndoto ya kuwa rubani wa ndege za kibiashara. Labda asubiri ndege za kivita au za jeshi.
Vyuo vingi au karibu vyuo vyote vya urubani hawatoi degree ya urubani. Urubani huweza kusomewa na mtu yeyote ilimradi tu awe na akili timamu, idea kidogo ya mathematics na kuweza kumudu gharama za malipo ya ada na field.
Na level ya urubani hupanda kulingana na flights ulizofanya na short courses ulizofanya. Kama huna hela mwanao hata akiwa kipanga vipi kwa zama hizi mwambie kabisa asiote ndoto ya kuwa rubani wa ndege za kibiashara. Labda asubiri ndege za kivita au za jeshi.