Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,557
Wanabodi,
Haya ninayoandika ni kama utani vile lakini ndio ukweli wenyewe!,
Jee wajua ya kuwa, kuna watu wenye bahati na na wengine hawana bahati?. Wenye bahati, mambo yao yanakwenda vizuri na kusema ni bahati tuu, na wasio na bahati, mambo yao yanakwenda vibaya, na kuishia kusema ni bahati mbaya. Jee wewe umewahi kujipima kama una bahati au hauna bahati?.Kwa upande wa Waswahili wana msemo wao usemao , "Asiye na bahati, habahatishi", msemo huu ukimaanisha, wale wanaoonekana kuwa na bahati, sio kuwa wamebahatisha, bali ni watu wenye bahati zao.
Kipimo rahisi cha kwanza cha kujipima kama una bahati au laa, ni kwa kujaribu kucheza michezo ya kubahatisha, ikiwemo kucheza wa bahati nasibu.
Sasa kwa wiki yote hii, Kampuni ya mafuta ya TotalEnergies inakuletea mchongo wa kwenda kupima bahati yako bure, kwa wenye magari, nenda kajaze mafuta kwenye kituo chochote cha mafuta cha TotalEnergies kilichokaribu nawe, kwa wiki hii yote, na kwa wasio na magari, nenda ukanunue bidhaa yoyote kwenye duka la Bonjou, ambalo lipo kwenye kila kituo cha TotalEnergy, utakutana na mtambo wa kupimia bahati, uitwao, "The Wheel of Fortune", utajaribisha bahati yako, kama una bahati, utapata zawadi, kama hauna bahati, utakosa zawadi.
Kwa wenye bahati, jishindie zawadi yako na uendelee na maisha yako, lakini wale wasio na bahati, nifuatena tukutane huku Bahati (luck) ni nini ?
tusemezane.
Wasome TotalEnergy wenyewe
Awamu ya tatu ya wiki ya huduma kwa wateja ya
TotalEnergies Marketing Tanzania Limited.
Dar es Salaam, Novemba 22, 2021
“Tuijenge kesho pamoja!"
Dar es Salaam, Novemba 22nd 2021: Tahere 22 Novemba hadi 26 Novemba 2021 ni Wiki ya Huduma kwa Wateja ya TotalEnergies Marketing Tanzania Ltd.
Kampuni ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited ambayo awali ilijulikana kama Total Tanzania Limited imezindua wiki ya huduma kwa wateja ya TotalEnergies kwa mwaka 2021, yenye kaulimbiu: Tujienge kesho pamoja.
Hii ni awamu ya tatu ya wiki ya huduma kwa mteja ya TotalEnergies tangu ianzishwe mwaka 2019. TotalEnergies inaendelea kuonyesha dhamira yake kwa Tanzania kwa kuwakaribisha wateja wao ili kushiriki maono yao ya mustakabali wa kampuni ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited nchini. Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa kampuni, Jean-Francois Schoepp alisema kuwa, "Kama baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kusema kuwa "Ikiwa maendeleo ya kweli yatatokea, ni lazima wananchi washirikishwe." Pia tunaamini kwamba TotalEnergies Marketing Tanzania Limited itaendelea kukuwa zaidi endapo tutawashirikisha wateja wetu wateja wetu na kuwa tayari kukidhi mahitaji kikamilifu.”
Wafanyakazi wa TotalEnergies Marketing Tanzania Limited wakiongozwa na mkurugenzi mkuu, Bw. Jean-Francois Schoepp walitoa huduma kwa wateja waliotembelea kituo cha TotalEnergies East Oysterbay siku ya Jumatatu na kupata fursa ya kusikiliza maoni ya wateja, kuboresha mahusiano na wateja wao kwa nia ya kuziba mapengo yoyote yaliwepo na kuweza kujenga TotalEnergies Marketing Tanzania Limited kwa pamoja na wateja wao. Zaidi ya hayo, wateja walipata nafasi ya kucheza gurudumu la bahati katika kituo hicho na walijishindia zawadi kadhaa zikiwemo fulana, chupa za maji, kofia, bidhaa za kutunza magari kama vile baridi na air freshener, na vocha ya zawadi zilizowawezesha kununua bidhaa zozote katika duka la Cafe Bonjour lilipo kituoni hapo.
Bila shaka, TotalEnergies Marketing Tanzania Limited imekuja na taswira mpya na kuwa wabunifu zaidi, hii inaakisiwa kikamilifu na ushirikishwaji wa wateja wao kwa nia ya kuboresha ubora wa bidhaa na huduma zao ili kukidhi kila Mtanzania anayehitaji huduma za mafuta, vilainishi, pamoja na bidha zipatikanazo madukani.
Hakika, TotalEnergies Marketing Tanzania Limited imekuja na taswira mpya na kuendelea kuwa kampuni inayoongoza kwa ubora, hii inaonekana kikamilifu katika dhamira yake ya kutoa bidhaa na huduma bora kila mahali nchini Tanzania.
Contact TotalEnergies Marketing Tanzania Limited
Media Relations: Getrude Mpangile l +255784 670 582 l getrude.mpangile@totalenergies.co.tz
Paskali
Wakati wa uzinduzi, mimi nilikuwepo
Haya ninayoandika ni kama utani vile lakini ndio ukweli wenyewe!,
Jee wajua ya kuwa, kuna watu wenye bahati na na wengine hawana bahati?. Wenye bahati, mambo yao yanakwenda vizuri na kusema ni bahati tuu, na wasio na bahati, mambo yao yanakwenda vibaya, na kuishia kusema ni bahati mbaya. Jee wewe umewahi kujipima kama una bahati au hauna bahati?.Kwa upande wa Waswahili wana msemo wao usemao , "Asiye na bahati, habahatishi", msemo huu ukimaanisha, wale wanaoonekana kuwa na bahati, sio kuwa wamebahatisha, bali ni watu wenye bahati zao.
Kipimo rahisi cha kwanza cha kujipima kama una bahati au laa, ni kwa kujaribu kucheza michezo ya kubahatisha, ikiwemo kucheza wa bahati nasibu.
Sasa kwa wiki yote hii, Kampuni ya mafuta ya TotalEnergies inakuletea mchongo wa kwenda kupima bahati yako bure, kwa wenye magari, nenda kajaze mafuta kwenye kituo chochote cha mafuta cha TotalEnergies kilichokaribu nawe, kwa wiki hii yote, na kwa wasio na magari, nenda ukanunue bidhaa yoyote kwenye duka la Bonjou, ambalo lipo kwenye kila kituo cha TotalEnergy, utakutana na mtambo wa kupimia bahati, uitwao, "The Wheel of Fortune", utajaribisha bahati yako, kama una bahati, utapata zawadi, kama hauna bahati, utakosa zawadi.
Kwa wenye bahati, jishindie zawadi yako na uendelee na maisha yako, lakini wale wasio na bahati, nifuatena tukutane huku Bahati (luck) ni nini ?
tusemezane.
Wasome TotalEnergy wenyewe
Awamu ya tatu ya wiki ya huduma kwa wateja ya
TotalEnergies Marketing Tanzania Limited.
Dar es Salaam, Novemba 22, 2021
“Tuijenge kesho pamoja!"
Dar es Salaam, Novemba 22nd 2021: Tahere 22 Novemba hadi 26 Novemba 2021 ni Wiki ya Huduma kwa Wateja ya TotalEnergies Marketing Tanzania Ltd.
Kampuni ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited ambayo awali ilijulikana kama Total Tanzania Limited imezindua wiki ya huduma kwa wateja ya TotalEnergies kwa mwaka 2021, yenye kaulimbiu: Tujienge kesho pamoja.
Hii ni awamu ya tatu ya wiki ya huduma kwa mteja ya TotalEnergies tangu ianzishwe mwaka 2019. TotalEnergies inaendelea kuonyesha dhamira yake kwa Tanzania kwa kuwakaribisha wateja wao ili kushiriki maono yao ya mustakabali wa kampuni ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited nchini. Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa kampuni, Jean-Francois Schoepp alisema kuwa, "Kama baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kusema kuwa "Ikiwa maendeleo ya kweli yatatokea, ni lazima wananchi washirikishwe." Pia tunaamini kwamba TotalEnergies Marketing Tanzania Limited itaendelea kukuwa zaidi endapo tutawashirikisha wateja wetu wateja wetu na kuwa tayari kukidhi mahitaji kikamilifu.”
Wafanyakazi wa TotalEnergies Marketing Tanzania Limited wakiongozwa na mkurugenzi mkuu, Bw. Jean-Francois Schoepp walitoa huduma kwa wateja waliotembelea kituo cha TotalEnergies East Oysterbay siku ya Jumatatu na kupata fursa ya kusikiliza maoni ya wateja, kuboresha mahusiano na wateja wao kwa nia ya kuziba mapengo yoyote yaliwepo na kuweza kujenga TotalEnergies Marketing Tanzania Limited kwa pamoja na wateja wao. Zaidi ya hayo, wateja walipata nafasi ya kucheza gurudumu la bahati katika kituo hicho na walijishindia zawadi kadhaa zikiwemo fulana, chupa za maji, kofia, bidhaa za kutunza magari kama vile baridi na air freshener, na vocha ya zawadi zilizowawezesha kununua bidhaa zozote katika duka la Cafe Bonjour lilipo kituoni hapo.
Bila shaka, TotalEnergies Marketing Tanzania Limited imekuja na taswira mpya na kuwa wabunifu zaidi, hii inaakisiwa kikamilifu na ushirikishwaji wa wateja wao kwa nia ya kuboresha ubora wa bidhaa na huduma zao ili kukidhi kila Mtanzania anayehitaji huduma za mafuta, vilainishi, pamoja na bidha zipatikanazo madukani.
Hakika, TotalEnergies Marketing Tanzania Limited imekuja na taswira mpya na kuendelea kuwa kampuni inayoongoza kwa ubora, hii inaonekana kikamilifu katika dhamira yake ya kutoa bidhaa na huduma bora kila mahali nchini Tanzania.
Contact TotalEnergies Marketing Tanzania Limited
Media Relations: Getrude Mpangile l +255784 670 582 l getrude.mpangile@totalenergies.co.tz
Paskali
Wakati wa uzinduzi, mimi nilikuwepo