Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 5,467
- 8,564
Barrick wahuni tuu, ajira zenyewe za kujuana yani ni takataka tuu
Kama ndo hivi Mungu aturehemu watanzania, bilioni 190 mpk millioni 300...?Kwa kuanzia tutalipwa dola milioni 300 zilizokuwa ni kishika uchumba, lakini sasa sio kishika uchumba tena bali ni kifuta machozi cha kusamehe lile deni kubwa la kodi la dola bilioni 190.
Wanabodi,
Issue ya Kile Kishika Uchumba cha Dola Milioni 300/
Kwa vile Watanzania tulimsikia wenyewe kwa masikio yetu, wala hatukuomba, naomba kabla ya kufikiwa kwa makubaliano yoyote, hatua ya kwanza ni huu mzigo wa dola milioni 300, uwekwe kwanza mezani, kuwapooza wajomba machungu ya binti yao kuzalishwa kwanza, ndipo kuposwa. Hii habari ya Acacia kuwa italipa baada ya kutoa madeni yake, iishie huko huko Acacia, maadam Prof wa Barrick aliahidi, then he must honour his promise!.
This is just a wake up call!, its not too late kuchukua tahadhari!.
Nawatakia Furahi Day Njema.
Paskali
Kitu muhimu sana ni Watanzania have the right to information the basis ya kumsamehe mwizi wetu!.Hata hivyo Dkt. Nchemba amesema, serikali ilikubali kupokea shilingi bilioni 700 kutoka Barrick baada ya makubaliano baina ya timu ya serikali iliyoundwa na Rais wa serikali ya awamu ya tano Hayati Dkt. John Magufuli kufikia makubaliano ya pande zote na Barrick kuhusiana na madai ya shilingi trilioni 360.