je wajua hili??!!!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,906
22,029
Je, wajua!
Wanawake wengi huanza kusisimka kwa maongezi tu, kama vile kuongelea jinsi anavyokuvutia, au vitu unapenda kufanya na yeye mkiwa wawili tu, na ukishaanza kumkumbatia na kumbusu you may lose her hahahaha!

Wanawake wengine hawapendi kuanza kusisimuliwa clit… moja kwa moja kwanza kabla ya kusisimuliwa sehemu zingine na wengine huwa wanapenda kusuguliwa kwa pembeni kwanza na si moja kwa moja juu kwa mgandamizo mkubwa, uliza kabla ya kurukia huko!

Wanawake hupenda mwanaume kuendelea na stimulation hata kama yupo kileleni tayari au hata kama ameshafika, kama upo ndani (usiniulize ndani ya nini kwani tunaongelea kitu gani hapa) usitoe endelea kumpa stimulation kwani ukitoa anaweza kupoteza raha yake au atadondoka kileleni!

Wanawake wengi hawawapi sifa sana wanaume wanaoendelea kusimamisha zaidi ya saa moja huku wanawake wenyewe wakiwa hoi wamechoka, eti kwa sababu bado amesimamisha huendelea tu bila kujali, hayo ni mateso na inaweza kuwa sababu ya mwanamke kugoma next time!
Mwanaume lazima ajue kusoma mazingira!

Wanawake wengi huwa na matiti ambayo ni sensitive sana kabla na baada ya kupata siku zao, hata hivyo raha na msisimko anaopata umetenganishwa na uzi mwambamba sana na kuumizwa, hivyo kama mwanaume hatakuwa gentle na hilo watermelon lake anaweza kumuumiza badala ya kumpa raha mpenzi wake!

Eti baadhi ya wanawake hugoma oral sex kwa sababu ya kuhofia mwanaume anaweza kukutana na harufu au taste ya ajabu, hata hivyo mwanaume anahitajika kutoa sifa kwa jinsi anavyijisia kuhusiana na smell/taste ya huko, kwa wote usafi ni kiroho pia.

Wanawake wengi hawaridhiki sana na miili yao, hivyo mwanaume akimwambia mwanamke ana mapaja mazuri kuliko mwanamke yeyote duniani mwanamke hujisikia yupo turned on, mmm bila kusifiwa najisikii raha?
kweli mambo ya word of praise mkiwa faragha muhimu!
Mimi simo!

Ute wa yai (egg white) ni natural lubricant salama, bure na ya uhakika kuliko K-Y Jelly.
 
Back
Top Bottom